Ben Pol aomba Talaka Mahakamani dhidi ya Mke wake Anerlisa

Ben Pol aomba Talaka Mahakamani dhidi ya Mke wake Anerlisa

Ben nilidhani ni mtu makini sana,lakini mwaka juzi ndo niligundua kumbe jamaa ni kilaza wa hali ya juu..
 
Anaandika Millard Ayo
"Mwimbaji Staa wa Bongofleva Ben Pol amefungua shauri la talaka Mahakamani dhidi ya Mke wake Anerlisa ambae ni Raia wa Kenya ambapo kwa mujibu wa taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kilichoongea na millardayo.com shauri hilo limefunguliwa na Benard Paul Mnyang’anga katika Mahakama moja ya Mwanzo Jijini Dar es salaam, hata hivyo bado haijafahamika sababu za Mwimbaji huyu kuamua kuivunja ndoa hiyo.

Ben Pol na Anerlisa walifunga ndoa mwishoni mwa mwezi May mwaka 2020 katika Kanisa Katoliki la St. Gaspar Mbezi Beach, Dar es salaam na kuhudhuriwa na Watu wachache kutoka upande wa familia zote mbili pamoja na Marafiki wachache wa karibu wa familia."


Ni nini kimemkumba mwamba , au anataka mabillion ya Anerlisa , au kachapiwa ?? Ikumbukwe penzi hili ni kama lilimtoa mwamba kwenye ramani ya mziki....

"Usifanye makosa kumwacha mwanamke aliyekamilika sababu ya mwanamke mzuri " by Billnas
Huyu jamaa si alisilimu na kuwa ustaadh?au zilikuwa kiki tu.
 
Anaandika Millard Ayo
"Mwimbaji Staa wa Bongofleva Ben Pol amefungua shauri la talaka Mahakamani dhidi ya Mke wake Anerlisa ambae ni Raia wa Kenya ambapo kwa mujibu wa taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kilichoongea na millardayo.com shauri hilo limefunguliwa na Benard Paul Mnyang’anga katika Mahakama moja ya Mwanzo Jijini Dar es salaam, hata hivyo bado haijafahamika sababu za Mwimbaji huyu kuamua kuivunja ndoa hiyo.

Ben Pol na Anerlisa walifunga ndoa mwishoni mwa mwezi May mwaka 2020 katika Kanisa Katoliki la St. Gaspar Mbezi Beach, Dar es salaam na kuhudhuriwa na Watu wachache kutoka upande wa familia zote mbili pamoja na Marafiki wachache wa karibu wa familia."


Ni nini kimemkumba mwamba , au anataka mabillion ya Anerlisa , au kachapiwa ?? Ikumbukwe penzi hili ni kama lilimtoa mwamba kwenye ramani ya mziki....

"Usifanye makosa kumwacha mwanamke aliyekamilika sababu ya mwanamke mzuri " by Billnas
Mgogo hajawahi kuwa na akili hata kidogo.
 
Bahati mbaya Ndoa kudumu haiangalii vitu hivyo mkuu
Inategemea nini tena wakati sababu kuu ya kuoana ni kugegedana?
Kama hela ipo sasa shoda iko wapi maana visababishi viwili vikuu vya ndoa kuvunjika ni ukosefu wa hivyo vitu
 
Kama Ni ishu ya kunipeleka leba hata miaka 16 anaweza kunipeleka, nimeuliza hivyo sababu unaona pesa tena za mwanamke na tako ndo vigezo vya ndoa kudumu
Tako na pesa ndio vya msingi...sasa ben pol sii nae hela anayo ata kama sio kama ya demu
 
Back
Top Bottom