Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa si alisilimu na kuwa ustaadh?au zilikuwa kiki tu.Anaandika Millard Ayo
"Mwimbaji Staa wa Bongofleva Ben Pol amefungua shauri la talaka Mahakamani dhidi ya Mke wake Anerlisa ambae ni Raia wa Kenya ambapo kwa mujibu wa taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kilichoongea na millardayo.com shauri hilo limefunguliwa na Benard Paul Mnyang’anga katika Mahakama moja ya Mwanzo Jijini Dar es salaam, hata hivyo bado haijafahamika sababu za Mwimbaji huyu kuamua kuivunja ndoa hiyo.
Ben Pol na Anerlisa walifunga ndoa mwishoni mwa mwezi May mwaka 2020 katika Kanisa Katoliki la St. Gaspar Mbezi Beach, Dar es salaam na kuhudhuriwa na Watu wachache kutoka upande wa familia zote mbili pamoja na Marafiki wachache wa karibu wa familia."
Ni nini kimemkumba mwamba , au anataka mabillion ya Anerlisa , au kachapiwa ?? Ikumbukwe penzi hili ni kama lilimtoa mwamba kwenye ramani ya mziki....
"Usifanye makosa kumwacha mwanamke aliyekamilika sababu ya mwanamke mzuri " by Billnas
Chini hana maajabu🤣🤣🤣 maajabu gani tena wakati tumesema cha msingi mwanamke awe na takoDemu anaonekana ana kiu ya kuwekwa ndani ila kimuonekano wake Ni km chini hana maajabu, wanawake wenye pesa wengi wana bahati mbaya na mapenzi
HahahaaIsije ikawa sababu ni yeye hana korodani, au bibie hana kiharage...
Talaka za wanandoa wa siku hizi zina visa sana...
Mgogo hajawahi kuwa na akili hata kidogo.Anaandika Millard Ayo
"Mwimbaji Staa wa Bongofleva Ben Pol amefungua shauri la talaka Mahakamani dhidi ya Mke wake Anerlisa ambae ni Raia wa Kenya ambapo kwa mujibu wa taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kilichoongea na millardayo.com shauri hilo limefunguliwa na Benard Paul Mnyang’anga katika Mahakama moja ya Mwanzo Jijini Dar es salaam, hata hivyo bado haijafahamika sababu za Mwimbaji huyu kuamua kuivunja ndoa hiyo.
Ben Pol na Anerlisa walifunga ndoa mwishoni mwa mwezi May mwaka 2020 katika Kanisa Katoliki la St. Gaspar Mbezi Beach, Dar es salaam na kuhudhuriwa na Watu wachache kutoka upande wa familia zote mbili pamoja na Marafiki wachache wa karibu wa familia."
Ni nini kimemkumba mwamba , au anataka mabillion ya Anerlisa , au kachapiwa ?? Ikumbukwe penzi hili ni kama lilimtoa mwamba kwenye ramani ya mziki....
"Usifanye makosa kumwacha mwanamke aliyekamilika sababu ya mwanamke mzuri " by Billnas
Kuna watu tuna zaidi ya macho mawiliChini hana maajabu🤣🤣🤣 maajabu gani tena wakati tumesema cha msingi mwanamke awe na tako
Ah siwezi kukubishia ila jamaa alikuwa amepata chombo jamani...tako na hela juu yaani yee alikuwa na kazi moja tuu ya kumpelekeea motoKuna watu tuna zaidi ya macho mawili
Bahati mbaya Ndoa kudumu haiangalii vitu hivyo mkuuAh siwezi kukubishia ila jamaa alikuwa amepata chombo jamani...tako na hela juu yaani yee alikuwa na kazi moja tuu ya kumpelekeea moto
[emoji23][emoji23][emoji23]Ah siwezi kukubishia ila jamaa alikuwa amepata chombo jamani...tako na hela juu yaani yee alikuwa na kazi moja tuu ya kumpelekeea moto
Inategemea nini tena wakati sababu kuu ya kuoana ni kugegedana?Bahati mbaya Ndoa kudumu haiangalii vitu hivyo mkuu
Utakuwa mdogo sana kiumri eehInategemea nini tena wakati sababu kuu ya kuoana ni kugegedana?
Kama hela ipo sasa shoda iko wapi maana visababishi viwili vikuu vya ndoa kuvunjika ni ukosefu wa hivyo vitu
Udogo wapi wakati ata wewe mwenyewe naweza kukupeleka labour🤣🤣🤣🤣🤣Utakuwa mdogo sana kiumri eeh
Kama Ni ishu ya kunipeleka leba hata miaka 16 anaweza kunipeleka, nimeuliza hivyo sababu unaona pesa tena za mwanamke na tako ndo vigezo vya ndoa kudumuUdogo wapi wakati ata wewe mwenyewe naweza kukupeleka labour🤣🤣🤣🤣🤣
Tako na pesa ndio vya msingi...sasa ben pol sii nae hela anayo ata kama sio kama ya demuKama Ni ishu ya kunipeleka leba hata miaka 16 anaweza kunipeleka, nimeuliza hivyo sababu unaona pesa tena za mwanamke na tako ndo vigezo vya ndoa kudumu
Wajuvi watufungue kati ya Ben pol na huyu mkenya ni nani atapoteza zaidi baada ya mgawanyo wa mali ?
Bado hujakua kimtizamo hata kiumri,Tako na pesa ndio vya msingi...sasa ben pol sii nae hela anayo ata kama sio kama ya demu