Ben Pol: Harmonize, Sheta na Caligraph Jones wanamtongoza mpenzi wangu DM

Ben Pol: Harmonize, Sheta na Caligraph Jones wanamtongoza mpenzi wangu DM

Tatizo unakurupuka unaongea vitu kishabiki kinazi yani.

nimeeleza utajiri wa anerlisa si wake ni wafamilia yao uwe unasoma unaelewa.
hana uwezo wa kumkodi harmonize awe anamwimbia wiki nzima narudia HANA we unarahisisha mambo sana.

harmonize ni Youngest rich kid in E.A kwa sasa kwa taarifa yako, kama wewe ni mfanayakazi wa serikali Trust me mpaka utakufa pesa anazomiliki mpaka leo hii saa 13:10 hutaweza kuzifikia hata kwa ndumba

wenzako tunajiongeza.
Wewe kweli chenga
Anerlisa anamiliki kiwanda Cha maji hakuna mkono wa wazazi wake.
Narudia Tena huyu Dada anauwezo wa kumkodi Harmonize wiki nzima akawa anawambia hause girl zake tu ndani na akamlipa pesa nzuri
Yaani analinganisha binti alieingia miongoni wa mabinti matajiri Africa na Harmonize anaishi kwa Sarah?
Mtu akaajiri mamia ya wakenya unalinganisha na mtu aliajiri madance na mabodigani?
Fanya research yako vizuri
 
Wewe kweli chenga
Anerlisa anamiliki kiwanda Cha maji hakuna mkono wa wazazi wake.
Narudia Tena huyu Dada anauwezo wa kumkodi Harmonize wiki nzima akawa anawambia hause girl zake tu ndani na akamlipa pesa nzuri
Yaani analinganisha binti alieingia miongoni wa mabinti matajiri Africa na Harmonize anaishi kwa Sarah?
Mtu akaajiri mamia ya wakenya unalinganisha na mtu aliajiri madance na mabodigani?
Fanya research yako vizuri
Unachekesha kumiliki kiwanda cha kutengeneza maji hata si gharama ndugu mtanzagiza.

shinyanga kuna viwanda vya kutengeneza maji vingi mno ukiachilia mbali sayona, Mwanza ndio hadi kero je hao nao ni matajiri kumbuka wanauza TZ nzima acha masikhara acha utoto kwenyd majambo kama haya.


Harmonize haishi kwa sara, Sara anaishi kwa harmonize, Sara ana apartment Zanzibar ya kukodi na si Dar
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kabisa wasanii wengi wa bongo miyeyusho wakianza kuumwa ndo utajua kipato Chao
Sasa Kuna watu wakiona mtu anazunguka na mabodigadi 5 wanajua jamaa ana pesa chafu
Wewe kwa uwezo wako wa laki 5 per month unaweza kumkodi angalau mwarabu fighter kwa masaa matatu?

analipwa million moja kwa masaa 12 wewe hizi kuzipata mpaka ukeshe sana NMB kuziomba na ujaze form za kutosha stop joking men
 
Wewe kwa uwezo wako wa laki 5 per month unaweza kumkodi angalau mwarabu fighter kwa masaa matatu?

analipwa million moja kwa masaa 12 wewe hizi kuzipata mpaka ukeshe sana NMB kuziomba na ujaze form za kutosha stop joking men
Doh
 
Harmonize ana pesa kumzidi anerlisa hili halina ubishi sasa labda anamtaka ili aoshe rungu tu ama ni kiki inatengenezwa harmonize na Ben paul ni washikaji sanaaaa.
Alafu khaligraphy jones sizani kama anaweza fanya hivyo hii nahisi ni kiki.

Ila huyu andunje shetta nina mashaka nae anaweza kuwa kamtaka kweli
BTW Ben paul kapotea kwenye game hakuna anaemzungumzia hana lolote sasa hivi hii nahisi ni KIKI
Harmonize ana pesa kuzidi ane??
Acha utani jombaaa
 
Kama wewe ulimpa akasuuza rungu tafadhali usitusemee na sie wengine,,, tatizo lenu mnaamini wanawake wote tunababaika na umaarufu,,, domo kwa mtu km mimi na umaskini wote nilionao namkataa kilaini kabisa bila kushtuka
Diamond anauwezo wa kumkaza demu yeyote maarufu na asiye maarufu Afrika mashariki na kati hata walioolewa.
 
Kama wewe ulimpa akasuuza rungu tafadhali usitusemee na sie wengine,,, tatizo lenu mnaamini wanawake wote tunababaika na umaarufu,,, domo kwa mtu km mimi na umaskini wote nilionao namkataa kilaini kabisa bila kushtuka
Ndo kwanza utafurahi umaskini wa kula dagaa utapungua kwenu.
 
Kama wewe ulimpa akasuuza rungu tafadhali usitusemee na sie wengine,,, tatizo lenu mnaamini wanawake wote tunababaika na umaarufu,,, domo kwa mtu km mimi na umaskini wote nilionao namkataa kilaini kabisa bila kushtuka
Yani wewe ungekuwa mrembo, angeshakukaza zamani za kale bahati mbaya sana uliyonayo umeshachuja huna market tena.

Sura baby face Uke Ume_expire 😝😝😝 huna namna
 
Yani wewe ungekuwa mrembo, angeshakukaza zamani za kale bahati mbaya sana uliyonayo umeshachuja huna market tena.

Sura baby face Uke Ume_expire [emoji13][emoji13][emoji13] huna namna
Hongera sana naona lako limekaza,,,
 
Unachekesha kumiliki kiwanda cha kutengeneza maji hata si gharama ndugu mtanzagiza.

shinyanga kuna viwanda vya kutengeneza maji vingi mno ukiachilia mbali sayona, Mwanza ndio hadi kero je hao nao ni matajiri kumbuka wanauza TZ nzima acha masikhara acha utoto kwenyd majambo kama haya.


Harmonize haishi kwa sara, Sara anaishi kwa harmonize, Sara ana apartment Zanzibar ya kukodi na si Dar
Mkuu umewapangua kisawa sawa, wabongo huwa tunapenda kushushana tuu, harmonize ana mpunga mrefu sana kwa sasa aisee, siwezi jua networth ya Huyo anelisa na huenda ana networth kubwa, issue inakuja amezipataje, mbali na miradi aliyo nayo huyo manzi ila kwa sasa konde boy anaingiza pesa ndefu kumzidi Huyo mrembo......Mtu analipwa karbia one billion for a single hit song na youtube, out of show, advertisement n.k....
 
Back
Top Bottom