Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

It really pain a lot
 
Wahusika kabla hawajaondoka duniani lzm watakinywea kikombe,hiki ni wangetumia uchawi wa kizungu,MTU akipiga kelele unamsogeza mezani akishiba utulia,ukishaoga damu ya MTU utotakata maisha yako yote,na utaishi kwa kuweweseka na huzuni kuu maisha yako yote
 
Kichaa jiwe anauwa sana watanzania



Swissme
Yatakuja kufunuliwa siku moja LAZIMA mkuu. Ninaamini kabisa kuwa shida ni ushamba. Hiyo ni namna nzuri ya kumelezea huyo mtu na utawala wake bila lugha kali zaidi!

Yani kumuuwa huyu kijana kwasababu ya kukosoa degree yake?

Nadhani wanasema wasukuma wanapenda sana misifa! Kwahiyo ndo maana! Hakutaka kuaibishwa eti ndo maana wakaamuwa hivyo.

Kina Bashite wanajuwa watalipa one day.
 
Dot ya kijani kwenye profile pic, inamaanisha nini?View attachment 915503
Good question mkuu. Lakini nadhani hiyo kwa wengine inaonekana kama "a check mark" ama alama ya tiki ya kijani, ambayo mara nyingi huwa ina indicate kuwa huyu ni "a verified member"

I stand to be corrected coz sijawahi kuona hiyo alama mimi binafsi. Na hiyo ya doti kama unavyosema, inamaanisha kuwa yuko online.

Good observations.
 
inonesha status kama hivyo. Hiyo ni kwa upande wa pp
 
mkuu hebu weka screenshot. Pole ben kama bado upo hai. siamini kuwa hawa dhalimu waliondoa uhai wako.
Hili ni mojawapo ya bandiko alilokuwa akimjibu Ben...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…