Dah Ben Mungu ailaze roho yako mahali Pema Peponi bashite na baba yake watayajibu haya hapa dunia ni mashetani wakubwa
mkuu ben saanane hayupo
kwani unajua yuko wapi?
kafa?
kafichwa?
kajificha,?
kahama nchi?
inaonekana unajua yuko wapi
ebu jibu
Ninawaza kiroho, ya kwamba Mungu asiipumzishe mpaka atakapohitimisha kazi yake ya kuwaweka alama ya kudumu watesi wake ili muhukumu atende naye kazi yake. Nawaza tu kiroho
Ndo maana halisi ya ushamba aliosema Zitto .Yani wao wanadhani wakisema "tumejenga SGR" au sijui "flyover", basi ndiyo justification ya kusahau utu na maisha ya binadamu wengine. Hawajiulizi kama hayo yangefanya kazi, basi wananchi wote wa Libya wangempenda Ghadafi kuliko hata mungu wanayemwabudu kwa namna ambavyo alifanya mambo makubwa kule Libya. Kutokuweza kuona hili kunaweza kukawa kumechangiwa na ushamba.
Sidhani kwamba eti kama kuna vitu vya maendeleo vimefanyika, basi ndiyo iwe kigezo cha kusahau huu unyama.
Haya ya haki kutendeka yatawezekana only hawa wakitoka madarakani.
Kwa kauli hii mkuu, umeelewa vyema kabisa. Ndivyo hivyo hivyo kabisa akili za kishamba zinavyo function. Umepatiaa!Daaah you pointed the truth man... USHAMBA!
Ni rahisi kutafakari ukiwa huna ushamba akilini mwako. Ni rahisi kujiuliza mfano nikikukata mkono then nikakununulia gari jee hilo litatosha kukupa furaha??
Ushamba wa hali ya juu
Mkuu nashukuru sana kwa kunifumbua macho. Now I am connecting the dots as well.Achana na Huyo Choko mkuu maana Imenichukua Muda Kidogo Kuja Kugundua Kuwa WABEROYA ndiye GENTAMYCINE.
Amen and Amen!Naomba Watanzania tufanye maombi kila siku mpaka Mwenyezi Mungu atakaposikia kilio chetu.
Mungu akusameheIla ukifuatilia mambo ya huyu ndugu hapa JF pekee motives zipo nyingi ;
Mfano ; alikua na kandarasi na balozi ya eneo lililojitangazia uhuru wake toka Morocco nani anajua nini kimempata
Mungu amsamehe ama ambariki!!Mungu akusamehe
Muelekeo wa swali lako ni kuwa Ben bado anatafuta kiki right?
Sasa kama serikali inajua Mbowe ndio anahusika kwanini isimkamate? Tena vizuri upepelezi ungeanzia kwenye namba ya simu hiyo.Mkt Chadema anajua sana kudeal na wabaya wake,anatengeneza mazingira kuonyesha una ugomvi na serikali then anakushukia, unapotea halafu anarudi forefront kupiga yowe dhidi ya serikali.
🙏🏾🙏🏾Dah sala yako imeniliza hasa ulipokumbushia kifo cha KAMANDA mawazo pale KATORO geita napata huzuni sana We Mungu usieshindwa kitu twakuomba uwape azabu huyu jiwe na washenzi wenzake wanaoisumbua Tanzania yetu kisa haya madaraka ya kupola ameen