luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,940
Dah Ben Mungu ailaze roho yako mahali Pema Peponi bashite na baba yake watayajibu haya hapa dunia ni mashetani wakubwa
Ninawaza kiroho, ya kwamba Mungu asiipumzishe mpaka atakapohitimisha kazi yake ya kuwaweka alama ya kudumu watesi wake ili muhukumu atende naye kazi yake. Nawaza tu kiroho