Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Umeeleweka mpambanaji ila fahamu kuwa tuko nyuma yako.

Na Usije fanya kama Kuna pro dk katikati ya mapambano wakatusariti dhambi yao inawala.
 
mnaobeza vitisho msisahau kuwa kuna watu walitishiwa na kweli ya kuwapata yaliwapata, wengine kwa kuwa hawakuandikiwa kufa walipona.

Ukiwa na akili ya kushikiwa matokeo yke unakuwa controlled remotely. Dogo anatakiwa awe kama mbayuwayu akaongee hata na mwendesha kipindi cha wanawake na maendeleo nini mume wake alipata.

Aliishia kupata kibano na hao viongozi awakutake trouble kumtoa.

Kijana mdogo chini ya 35 badala ya kufanya kazi unaishia kupiga porojo mitandaoni.

Hebu ngoja nikatege mingo.mingo zangu jioni.nihesabu mahela asubuhi hii
 
Naona unajitekenya Mwenyewe MKUU......hivi ni SERIKALI GANI DUNIANI inaweza fanya assasination like you have claimed above? Ebu ficha ujinga wako na ACHA KUTAFTA KIKI ZA KIPUUUZI....who are you by the way? Kama ungekuwa una cha maana cha kuleta kwenye nchii hii chama chako kisinge kutupa CHOONI kwenye uchaguzi wa kupata nafasi za UBUNGE.

Ebu tuambie ni lipi la maana mpaka sasa ushalisema mpka kufikia kutishiwa na SERIKALI? SERIKALI HUWA HAITISHI.......ebu acha kutuona sisi mapoyoyo afu TAMBUA KUANZIA LEO HIYO YA KUFANYA ASSASINATION IPO HUKO KWENU......afu hakuna CHAMA NDANI ya nchi hii ni mafundi wa kutengeneza propaganda za UWONGO hiki CHAMA..sasa naona mpka wanachama nao wameambukizwa KILA SIKU KUSEMA UWONGO KUTAFTA KIKI NA HURUMA ZA WANANCHI.
 
Hivi hii Leo Ben saane atishiwe uhai wake kisa anaandika propaganda humu JF na FB, je wakina lisu, heche na wengine wanaosema hadharani kwanini wasitishwe huu ni uongo wa kupikwa wa hali ya juuh kabisaa! Hivi hawa kama waliweza ku edit picha za mafuriko kipindi cha kampeni 2015 ili waonekane wana watu wengi watashindwaje kutengeneza mizengwe za vitisho ili ionekane wanatishwa Mimi siliamini ata kidogo hawa vijana yafaa kuwapuuza kabisaa.
 
Hivi hii Leo Ben saane atishiwe uhai wake kisa anaandika propaganda humu JF na FB, je wakina lisu, heche na wengine wanaosema hadharani kwanini wasitishwe huu ni uongo wa kupikwa wa hali ya juuh kabisaa! Hivi hawa kama waliweza ku edit picha za mafuriko kipindi cha kampeni 2015 ili waonekane wana watu wengi watashindwaje kutengeneza mizengwe za vitisho ili ionekane wanatishwa Mimi siliamini ata kidogo hawa vijana yafaa kuwapuuza kabisaa

itakuwa Kapigwa biti msela tu wanagombea
demu
Hivi hii Leo Ben saane atishiwe uhai wake kisa anaandika propaganda humu JF na FB, je wakina lisu, heche na wengine wanaosema hadharani kwanini wasitishwe huu ni uongo wa kupikwa wa hali ya juuh kabisaa! Hivi hawa kama waliweza ku edit picha za mafuriko kipindi cha kampeni 2015 ili waonekane wana watu wengi watashindwaje kutengeneza mizengwe za vitisho ili ionekane wanatishwa Mimi siliamini ata kidogo hawa vijana yafaa kuwapuuza kabisaa
 
Ben hawezi kudanganya ili kutafuta kick, kuna kitu, haya maneno sio bure. Hizi ni sign za uongozi uliofikia climax na sasa unaelekea kuporomoka.
 
Bongo flavor za Kisiasa, Ben bado anajaribu kuuza Jina lake la Kisiasa nje ya JamiiForums lakini bado hajafanikiwa. Uki log off JF ndio umem switch off Ben
 
Mnapomuita muongo huo uchunguzi umekamilika? Mnahitimisha mambo wakat aliapokea taarifa ni yeye kaileta hapa kama kuna watu wa usalama waifanyie kazi kama ni muongo tumshambulia Afrika ni kawaida yetu tiba halafu inafuata kinga.
 
Siasa za kizamani kama zile za Dr. Slaa za kujitumia sms halafu unakuja hapa kuandika kuwa umetumiwa! Jichunguze na wagomvi wako ndani ya chama chako.
 
Hii ndiyo inaitwa unaweza ukasoma alafu elimu isikusaidie kwa sababu ya sifa za kijinga.

Awe ametishiwa kweli au hajatishiwa, awe ametishiwa na serikali au CHADEMA wenyewe au mpuuzi yoyote wa mtaani, kwa kuandika taarifa hii hapa namuona Saa Nane Ben anakitafuta kifo kwa nguvu zote huku mwenyewe akizani anapata Kiki za kisiasa.

Kinachoweza kutokea hapa ni kwamba CHADEMA wenyewe wanaweza wakamua na wakasimama kidete wakisema Serikali ndiyo imemua, ili wapate agenda ya kisiasa. Hapo atakuwa ametolewa kafara kwa manufaa ya CHADEMA.

Au Serikali inaweza ikamuua na kusema wamemua CHADEMA wenyewe ili kupata Kiki za kisiasa, kwa hoja kwamba Serikali ikitaka kukuua haiwezi kukutumia sms ya kipumbavu kama hii kabla ya kukuua.

Au anaweza kukuua mtu yoyote ambae una ugomvi nae huko kitaa au kwenye siasa zenu za maji taka, akiwa na uhakika kabisa kifo chako kitakuwa cha utata na yeye hatapatikana.

Mwisho kabisa umekuja kuvuruga uchunguzi wa polisi kwa kuandika taarifa hii hapa na kuweka namba ya mtuhumiwa, kama ni kweli basi hiyo line ya simu na simu aliyotumia atakuwa imeshaiingiza chooni.

Jamani hizi elimu zetu ziwe zinatusaidia katika maisha ya kila siku, alafu tusitafute Kiki za kisiasa hata kwa gharama za uhai wetu.
 
Unacho shangaa nini? mbona mission I nyingi za mauaji zimefanywa bila weledi

Na hao wauaji wenu kumbuka walivyoumbuka kwa Dr. Ulimboka, Mwangosi na Mawazo. Kumuua mwenye haki ni kazi kubwa, ndo maana wauaji huweweseka kabla kutekeleza azma yao.
 
Ni kweli kabisa Mkuu.

Hebu niulize swali moja, hivi wale jamaa waliomwua Alphonce Mawazo kule Geita walishawahi kukamatwa na Jeshi la Polisi na kufikishwa mahakamani?
Na hili ndio swali kila mtu anapaswa kujiuliza.
 
Back
Top Bottom