Ile sala kuu ya Kikatoliki ina maneno "utusamehe makosa yetu kama sisi tunavyowasamehe waliotukosea"...kama wewe ni Mkatoliki.Hakuna kuonesha utu kwa mpuuzi nilimshauri sana ben mara makamba hakusoma mara mwigulu mara magufuli alijifanya yeye ndio kasoma .pumbavu zake yule dogo
Mbona sauti kama ya musibaSijafaidika chochote lakini kujifanya wewe ni mkubwa kuliko selikali ni utaahira hasa kwa Afrika hapa.
Alafu alichokuwa anapigania sasa ni uharo mtupu, eti anahoji phd ya mkulu?
Si uchizi huu? Hata kama aliipata kwa magumashi wewe ukihoji hata kwa kuvua nguo hadharani itasaidia nini na mtu keshakuwa rais? Ajiuzulu au?
Ujinga tu
Mbaya zaidi kakikuwa kamejaa matusi, dharau, kejeli. Yani mtu kakuzidi mamlaka na kila kitu alafu wewe mtoto mdogo unakuja kumnyea kichwani unategemea nini?
Huwa tunaonya kila siku vijana kuweni na mipaka mnapokosoa, siyo unazuzuka na vi likes unavyopewa kisha una vimba bichwa,.
Nafikri Mdude pia atakuwa kajifunza jambo
Habari yako mkuuHuyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
Akikujibu unitagSjui Leo unawaza Nini kwa hiki uliandika Gentamycin
Ngoja nimsubiri 🌜akikujibu unitag
Kuna jamaa kule kwenye Andiko lako la kuihadhari serikali kutotumia TISS kuwakamata au kuwadhuru raia wake ameandika wewe ndio muuaji ila sasa umetupwa nje ya box ndio maana unabwabwaja, akaulizwa kama anakujua akajibu tuje kukuangalia kwenye post Za Ben saanane nimekuja kumbe ni kweli kabisa. Dah asee sasa Ben yuko wapi Mkuu TumainiElBen acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Duh.. Jamaa anajina la kipooole kabisa ila kumbe sio.Kuna jamaa kule kwenye Andiko lako la kuihadhari serikali kutotumia TISS kuwakamata au kuwadhuru raia wake ameandika wewe ndio muuaji ila sasa umetupwa nje ya box ndio maana unabwabwaja, akaulizwa kama anakujua akajibu tuje kukuangalia kwenye post Za Ben saanane nimekuja kumbe ni kweli kabisa. Dah asee sasa Ben yuko wapi Mkuu TumainiEl
Mwenyezi Mungu uturehemu kwa dhambi hiiDunia hii bhana,acha tu.
Hakika siyo kazi yetu kuhukumu ila natamani hii dua ikakubaliwe.RIP Ben Saanane, Mwenyezi Mungu akashushe upanga wa moto kwa wauaji wako, watoto na wajukuu wao.
Wakaishi maisha ya dhiki na kutangatanga na kutengwa na kila kiumbe.
Mola wanyime usingizi kabisa, wawe ni watu wa kuzongwa na mawazo usiku kucha!