Hopeless comment!!Ben yuko hai hata waliomteka ili kumuua hawajui alipo
Ipo siku atajitokeza na ushahidi utakaoivua nguo serikali hii ya awamu ya tano iliyodhamiria kuua kimya kimya wapinzani wake au kuwalazimisha kujiunga na ccm
Leo yule waliemtisha kumuua asipohama chadema ameshahama kwa sababu za kipuuzi
[emoji22] [emoji22] Tuambie mlikompeleka Ben saananeBen acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Wapalestina kila siku wanauliwa na waisraeli!
Na wale waliobeza taarifa yake hii wala hawaonekani tena.Mwaka; masiku yanayoyoma ni Giza nene;
Ben Saanane no where to be seen.
Huyu ni suspectBen acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
TumainiEli kumbe mmbaya hiviHuyu ni suspect
Hiyo post yake inatishaTumainiEli kumbe mmbaya hivi
Kwa hii sala,na hakika wahusika watakuwa wanazika wapendwa wao au wanauguza mda huu,ikiwa ni laana yatokananyo na walichomfanya mtoto wa watuOh, Elohim
The Creator, I call you with your highest name that only your chosen ones know.
Oh Alhayyu Alqayuum
YaHuwa Yaa Manlaa Huwa Illa Huwa
Deliver Justice to Ben Saanane oh Adonai
Oh Lord of Arch Angel Michael
Oh Lord of Arch Angel Gabriel
Oh Lord of the Holly Messiah Christ
Oh Lord of our father Abraham
Oh Lord of the high Priest Melzedeck
I call upon your justice
Deliver Justice to Ben Saanane
Aamen
Msome TumainiEliKwa hii sala,na hakika wahusika watakuwa wanazika wapendwa wao au wanauguza mda huu,ikiwa ni laana yatokananyo na walichomfanya mtoto wa watu
Hii dua.... SijuiOh, Elohim
The Creator, I call you with your highest name that only your chosen ones know.
Oh Alhayyu Alqayuum
YaHuwa Yaa Manlaa Huwa Illa Huwa
Deliver Justice to Ben Saanane oh Adonai
Oh Lord of Arch Angel Michael
Oh Lord of Arch Angel Gabriel
Oh Lord of the Holly Messiah Christ
Oh Lord of our father Abraham
Oh Lord of the high Priest Melzedeck
I call upon your justice
Deliver Justice to Ben Saanane
Aamen
we unaonaje labda?Duuh! Hivi hii habari ni kweli?
Mpo vizuri Jombaaa,mume mua na laana hampati.Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali