Kizuio
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 845
- 521
Ben yuko hai hata waliomteka ili kumuua hawajui alipo
Ipo siku atajitokeza na ushahidi utakaoivua nguo serikali hii ya awamu ya tano iliyodhamiria kuua kimya kimya wapinzani wake au kuwalazimisha kujiunga na ccm
Leo yule waliemtisha kumuua asipohama chadema ameshahama kwa sababu za kipuuzi
Ipo siku atajitokeza na ushahidi utakaoivua nguo serikali hii ya awamu ya tano iliyodhamiria kuua kimya kimya wapinzani wake au kuwalazimisha kujiunga na ccm
Leo yule waliemtisha kumuua asipohama chadema ameshahama kwa sababu za kipuuzi