Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben yuko hai hata waliomteka ili kumuua hawajui alipo
Ipo siku atajitokeza na ushahidi utakaoivua nguo serikali hii ya awamu ya tano iliyodhamiria kuua kimya kimya wapinzani wake au kuwalazimisha kujiunga na ccm
Leo yule waliemtisha kumuua asipohama chadema ameshahama kwa sababu za kipuuzi
 
Ben yuko hai hata waliomteka ili kumuua hawajui alipo
Ipo siku atajitokeza na ushahidi utakaoivua nguo serikali hii ya awamu ya tano iliyodhamiria kuua kimya kimya wapinzani wake au kuwalazimisha kujiunga na ccm
Leo yule waliemtisha kumuua asipohama chadema ameshahama kwa sababu za kipuuzi
Hopeless comment!!
 
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
[emoji22] [emoji22] Tuambie mlikompeleka Ben saanane
 
Wapalestina kila siku wanauliwa na waisraeli!
 
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Huyu ni suspect
 
Oh, Elohim
The Creator, I call you with your highest name that only your chosen ones know.
Oh Alhayyu Alqayuum
YaHuwa Yaa Manlaa Huwa Illa Huwa
Deliver Justice to Ben Saanane oh Adonai
Oh Lord of Arch Angel Michael
Oh Lord of Arch Angel Gabriel
Oh Lord of the Holly Messiah Christ
Oh Lord of our father Abraham
Oh Lord of the high Priest Melzedeck
I call upon your justice
Deliver Justice to Ben Saanane
Aamen
Kwa hii sala,na hakika wahusika watakuwa wanazika wapendwa wao au wanauguza mda huu,ikiwa ni laana yatokananyo na walichomfanya mtoto wa watu
 
Oh, Elohim
The Creator, I call you with your highest name that only your chosen ones know.
Oh Alhayyu Alqayuum
YaHuwa Yaa Manlaa Huwa Illa Huwa
Deliver Justice to Ben Saanane oh Adonai
Oh Lord of Arch Angel Michael
Oh Lord of Arch Angel Gabriel
Oh Lord of the Holly Messiah Christ
Oh Lord of our father Abraham
Oh Lord of the high Priest Melzedeck
I call upon your justice
Deliver Justice to Ben Saanane
Aamen
Hii dua.... Sijui
 
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Mpo vizuri Jombaaa,mume mua na laana hampati.
 
Haki ya kumtowesha Ben Saanane inatoka wapi? Machozi na kilio chake cha uchungu mikononi mwa watesi wake, kama havikupenya ktk Ngoma za masikio yao na mabwana zao, basi yamefikilia kiti cha enzi cha Mungu Mwenye enzi.

Machozi ya wapenda haki, machozi ya wazazi wa Ben, ndugu na jamaa zake, yanatiririka na kuunda kijito cha machozi kuelekea makazi ya Hakimu wa kweli, Mwamuzi wa haki, Mungu mwenye enzi, ambaye kwa wakati wake, na kwa namna yake, atawahukumu wadhalimu.

Vv
 
Back
Top Bottom