Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Mnaoweka RIP this guy is no more au mnakisia !

"poleni Sana familia ya huyu Kijana "
 
Kwenye kitabu cha Kabendera ameandika jiwe alimfyatua jamaa .

Nilihoji humu kama PhD ya jiwe ilikuwa na uhalali kwanini ifichwe?

Professor George Saitoti PhD yake aliyopata 1975 London tasnifu yake imebandikwa mtandaoni.


Hata William Ruto alitumia miaka 6 kupata PhD yake baada ya kutotimiza vigezo sahihi vya kupata PhD yake na akasisitiza hajutii kwani ndio ilibidi afikie vigezo sahihi ndio apewe na alifuata hatua zote hadi kufanya defence na tasnifu yake iko wazi mtandaoni.

Kwanini tasnifu ya jiwe imetiwa kapuni?

Kama viongozi wanaghushi taaluma wananchi wa kawaida wangapi watakuwa wasomi makanjanja?

R.I.P Ben Saanane
 
Yote hayo ni ujinga tu mkuu! Magufuli alishafikia kiwango cha kuwa Rais kwahiyo hata Ben angehoji vipi asingeweza kuacha kuwa rais sababu ya ben kuhoji PhD yake.

Kwa afrika hii huwa nasema ni upumbavu kwa kijana kuhatarisha maisha eti unapigania haki!

Ona sasa leo hii Ben hayupo na Mbowe ndio huyo tunasanuka kwamba kumbe ni mamluki wa ccm.
 
Yote hayo ni ujinga tu mkuu! Magufuli alishafikia kiwango cha kuwa Rais kwahiyo hata Ben angehoji vipi asingeweza kuacha kuwa rais sababu ya ben kuhoji PhD yake.
Unaweza ukaonyesha ujinga wangu kwa kuonyesha tasnifu ya jiwe ilipo kama ilivyo desturi ya machapisho ya kitaaluma kuwa wazi kwa ajili ya rejea au najadiliana na mtu aliyeishia kidato cha nne na akapiga bashite maana hawezi kujua umuhimu wa hivi vitu.
Kwa afrika hii huwa nasema ni upumbavu kwa kijana kuhatarisha maisha eti unapigania haki!
Kwahiyo ni halali viongozi kukandamiza raia kwa kigezo Africa hakuna haki sasa kile kiapo cha "Nitaihifadhi na kuilinda katiba kwa mujibu wa sheria zilizowekwa" kina umuhimu gani?

Hujui Tanzania kama mwanachama wa umoja wa mataifa ilisaini mikataba ya haki za binadamu na inatakiwa iifuate?

Kwani hujiulizi Makonda alivyofungiwa kwenda Marekani unafikiri walikaa tu wakabuni?
Ona sasa leo hii Ben hayupo na Mbowe ndio huyo tunasanuka kwamba kumbe ni mamluki wa ccm.
Kwahiyo kupotea kwa Ben kumekufurahisha?

Na kuhusu Mbowe kuwa mamluki wa CCM inakuwa ni kesi tofauti , aliyemuu Ben sio Mbowe ni Magufuli umamluki wa Mbowe tutaujadili ila hapa ni issue ya aliyemuua Ben na aliuwawa ikulu sasa Mbowe aliwahi kuishi ikulu 2016?
 
Hii thread kila nkiisoma na kuitafakari machozi hunitoka.
Unamuua mwenzako leo kesho kutwa unakufa kwa ugonjwa.
Betting wanaita "All team to score-GG"
 
Leta picha tuthibitishe magufuli alimuua Ben saa nane sababu yote tunaona maandishi tu ambayo hata Mimi naweza kuapka nikaandika lasivyo ni uzushi na chai hizi hatunywi
 
Leta picha tuthibitishe magufuli alimuua Ben saa nane sababu yote tunaona maanadishi tu ambayo hata Mimi naweza kuapka nikaandika lasivyo ni uzushi na chai hizi hatunywi
Ukiletewa picha utasema edited ama Ai watu wa namna yako hawajawai kukosa vijisababu ili kuficha adhma zao .
 
Ukiletewa picha utasema edited ama Ai watu wa namna yako hawajawai kukosa vijisababu ili kuficha adhma zao .
Leta picha kelele za nini hatuwezi kuamini maandishi ambayo hata Mimi naweza kuamka nikaandika na anaeandikiwa ni marehemu hawezi kujitetea leta picha tuamini
 
Leta picha tuthibitishe magufuli alimuua Ben saa nane sababu yote tunaona maandishi tu ambayo hata Mimi naweza kuapka nikaandika lasivyo ni uzushi na chai hizi hatunywi
Na mimi nakupa kazi nyepesi mletee Ben Saanane utegue kitendawili hiki maana mtu hajaonekana tangu 2016 na hatujui alipo halafu mtu kasema aliuwawa wewe unabisha basi tueleze alipo ikiwezekana umlete.

Na huu uzi ni anaeleza anatishiwa kuuwawa huwezi kutumia akili ya kuzaliwa baada ya tishio la kuuwawa na mtu mwaka wa 8 hajaonekana ameenda wapi kama hajauwawa.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…