Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Alphonce Mawazo (rip) ameuwawa kinyama na hakuna mtuhumiwa wala uchunguzi wo wote. Ben Sanane ametoweka katika mazingira tatanishi na hakuna mtuhumiwa wala uchunguzi wo wote. Tundu Lissu amemiminiwa risasi kuliko afanywavyo jambazi sugu na hakuna mtuhumiwa wala uchunguzi wo wote. Leo hii libinadamu linaamka asubuhi na kutangaza eti linajivua uanachama na ubunge wa CDM ili kuunga mkono jitihada za sijui nani!!! Nisingekuwa naogopa ban, ningeyatukana matusi ya nguoni.
Ukisikiliza clip ya Zitto amezungumzia nani waliompoteza Ben Saanane...."Ukifatilia polisi wanasema sisi tumefikia mwisho lakini uelekeo unaonyesha amechukuliwa na usalama wa taifa,Mh mwenyekiti kwa mujibu wa sheria usalama wa taifa hawatakiwi kumkamata mtu"--Mh Zitto
 
Maumivu manyanyaso chuki vipigo udhalilishaji vifo . vyote Mungu atavijibu juu yenu muipiganiayo haki na kuishia kupata dhahma.
 
sikuwa namfuatilia huyu jamaa Ben Saanane lakini nilishangaa kila nikipita kununua gazeti naona kupotea kwa Ben saanane.Nimeamini kuna watu wakiamua kukuwinda huwezi vuka hata umbali wa kiwanja,,ukifuatilia uzi huu na wachangiaji unaweza pata picha kuwa kuna waliokuwa wanaelewa ambacho kingempata Ben Saanane na walianza kumuonya mapema,,achilia mbali waliokuwa wanamwona mpuuzi;Kama kuna sehemu watu wenye ajenda kama za Ben wanafichwa,basi huyu Mtanzania atakuwa hai lakini kwenye mateso yasiyoelezeka,lakini kama alishazimisha jumla apumzike kwa amani,hata watesi wake watamkuta huko ahera.
Mtu akinionyesha waliomteka na mimi nitawatafuta. Lakini nahisi kuna siku watalipa tu. Uzuri wa JF maanidshi haya hayafutiki, kuna mtu atakuja kuni quote hapa kuwa "ulisema"
 
Hv chadema walishndwa kufuatilia hyo namba mpaka wakagundua japo kitu au intelejisia ya chadema imeondoka na dr slaa
 
Back
Top Bottom