Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
dah aiseeHili ni mojawapo ya bandiko alolokuwa akimjibu Ben...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah aiseeHili ni mojawapo ya bandiko alolokuwa akimjibu Ben...
Mkuu, kwa sasa unatumia nini ku access JF? App au Browser?Good question mkuu. Lakini nadhani hiyo kwa wengine inaonekana kama "a check mark" ama alama ya tiki ya kijani, ambayo mara nyingi huwa ina indicate kuwa huyu ni "a verified member"
I stand to be corrected coz sijawahi kuona hiyo alama mimi binafsi. Na hiyo ya doti kama unavyosema, inamaanisha kuwa yuko online.
Good observations.
Browser hapa nilipo for now. You might be right.Mkuu, kwa sasa unatumia nini ku access JF? App au Browser?
Kuna mtu alisema kuwa, kama utatumia browser basi, inaweza ikaonyesha taarifa zilizo tofauti na vile ambavyo ukitumia App!!
Kwa kifupi ni kwamba, App ya JF ni kama vile ina bug sehemu fulani, na eti limeshaongelewa sana hili na mods!!
Kwahiyo kama mtu atataka kupata uhakika basi hana budi kutumia browser!!
Yes, natumia App tena latest version!Browser hapa nilipo for now. You might be right.
Wewe unatumia app?
Mategemeo yao(kutokana na hilo bandiko huyo jamaa) ni sisi tusahau na kudhani kwamba "Ben ameshakufa kama binadamu wengine"!dah aisee
mhn!Interesting. Anyways, alama ya green dot kama ulivyosema, ni indication kuwa the person/member is currently online.Yes, natumia App tena latest version!
Hapa kuna siri nzito sana aya mandishi yataishi mileleHili ni mojawapo ya bandiko alolokuwa akimjibu Ben...
Kwa % nyingi sana huyu anausika na kupotea kwa benMategemeo yao(kutokana na hilo bandiko huyo jamaa) ni sisi tusahau na kudhani kwamba "Ben ameshakufa kama binadamu wengine"!
Hilo tunatakiwa tulikatae kwa nguvu zetu zote! Tukatae kusahau! Tukatae kusahau kwasababu tu wamekataa kumuachia au hata kuutoa mwili wake ili ndugu wakauzike kama binadamu wengine!
Mkuu mimi binafsi ninaamini hivyo. Na siyo kwasababu ya bandiko hili peke yake. Nilishamfuatilia sana. Ni mmojawapo bila chembe ya shaka.Kwa % nyingi sana huyu anausika na kupotea kwa ben
Ndiyo uzuri wa hili jukwaa na mtandao huu!Mungu aendelee kumbariki na kumlinda Maxence Melo !Hapa kuna siri nzito sana aya mandishi yataishi milele
Hii damu aitaenda hivi hivi ipo siku atailipaMkuu mimi binafsi ninaamini hivyo. Na siyo kwasababu ya bandiko hili peke yake. Nilishamfuatilia sana. Ni mmojawapo bila chembe ya shaka.
Ben Saanane, Brother, naona hisia za kweli ulizokuwa nazo juu ya Tanzania kwenye haya maneno, your truly an inspiration. I'm still praying for country.Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania.I love you more than words can wield the matter,dearer than eyesight,space and Liberty.Oh I love you Tanzania.My Pride ,My fountain of inspiration."
Msimlishe maneno.... Alishasema gazeti lina taratibu zake na wahariri wake ma taarifa ikiandikwa huko sio necessarily iwe imeandikwa na kubenea ni sawa na kusema kila habari ya ITV imeandaliwa na mengi..... Tujitahidi kuseparate majukumu ya watu. Kama huyo Ben yuko kijiweni si polisi wamkamate wamsweke ndani sasa kipi kigumu??Said Kubenea Mbunge wa Ubungo wa Chama chako nae anaamini Ben yupo kijiweni kajificha apate kick ya Kisiasa
Makonda na magufuli awataishi milele wasijione wao ni mungu watuUkweli kuhusu Ben Saanane lazima ufahamike. Lije jua ije mvua!