eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Watu kutoka Lumumba akili zao ni zero mkuuHuyu jamaa huwa anajifanya kujua..au ndio alihusika..maana alijiamininsaana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kutoka Lumumba akili zao ni zero mkuuHuyu jamaa huwa anajifanya kujua..au ndio alihusika..maana alijiamininsaana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa huwa anajifanya kujua..au ndio alihusika..maana alijiamininsaana
Sent using Jamii Forums mobile app
We una marinda wewe?I fell so sad for ben, walimshangilia wengi ila wanaolia ni familia yake. Mwenyekiti anasaini ruzuku milion 300 ... naomba niishie hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani, Mbowe?
DaaahHuyu jamaa huwa anajifanya kujua..au ndio alihusika..maana alijiamininsaana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mlimuondoa kwasababu alikuwa anashangiliwa na wengi?I fell so sad for ben, walimshangilia wengi ila wanaolia ni familia yake. Mwenyekiti anasaini ruzuku milion 300 ... naomba niishie hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
YalishatimiaHuyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
Makaburi yamefukuliwaGentamycine ulichangia hivi nakukumbusha tu Mkuu na kweli yaliyofuata yalifuata na inasemekana chatu alialipata kitoweo kuna Uzi humu. Binafsi kila nikirudia kusoma aliyoandika Ben na mlivyombeza mwili hunisisimka sana
Kuna siku nilitoa hoja akanibeza,kumbe ni mpumbavu hivi!!Huyu jamaa huwa anajifanya kujua..au ndio alihusika..maana alijiamininsaana
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah sala yako imeniliza hasa ulipokumbushia kifo cha KAMANDA mawazo pale KATORO geita napata huzuni sana We Mungu usieshindwa kitu twakuomba uwape azabu huyu jiwe na washenzi wenzake wanaoisumbua Tanzania yetu kisa haya madaraka ya kupola ameen
Sio ID ni thread ambayo itaishi milele kama zingine ilianzishwa na Ben ambayo makondo alisema inasemekana katupwa na kumezwa na chatu
Ukiangalia last seen ya id hiyo utaonaSio ID ni thread ambayo itaishi milele kama zingine ilianzishwa na Ben ambayo makondo alisema inasemekana katupwa na kumezwa na chatu
jiwe aliamrisha aliwe na chatu ili let wa hapa hapa nadhani
Figure out yoself kitu gani? Yuko wapi Ben. We Genta ni zero kabisa. Pumbavu wahed.' Figure out ' yourself.