Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh siasa ni mbaya sana! Enyi wanasiasa muwe na mioyo ya kuvumiliana!Ben ukweli ulisema as long bado tupo hai tutaandika tutasema tu Magufuli aliidhinisha upo tee kwenye uso wa dunia imempa faraja ya siku lakini rohoni hatakusahau maana auwaye kwa upanga ataondoka kwa upanga
Inauma sana huyu kijana kuuliwa kwa sababu tu ya kuhoji PhD jamani Magufuli era ni bloodshed tuDuuh siasa ni mbaya sana! Enyi wanasiasa muwe na mioyo ya kuvumiliana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Siri hapa dunianiMmmmmmhhhh. Hatareeee.
Pole mkuu. Mungu atawaumbua tu miungu watu hawa siku moja.
Usirudi nyuma.
Uzuri watendaji kwenye ulimwengu huu wametendwa vivyo Tena kwa dharili na pasiwepo na vizazi vyao walikuwepo akina hilterer walitenda kama hawa watendavyo leo hata kabuli lake halijulikaniHuyu alilazimisha kutendwa! Naona na Bw Heavy naye anafuata nyayo kwa kasi ya ajabu. Atafutaye hupata
Historia ni muhimu sana. Kuna leo na kuna keshoHuyu alilazimisha kutendwa! Naona na Bw Heavy naye anafuata nyayo kwa kasi ya ajabu. Atafutaye hupata
No, for the sake of their personal interestsfor the sake of national security
Ngoja litoke mahabusu, ndo utaona kazi. Na hivi mwaka huu tuna uchaguzi ndani ya chama na wa serikali za mitaa. Tutegemee matukio mengi sana.BEN SAANANE YOU ARE REMEMBERED !
PEPO LA UTEKAJI TUNALISHUGHULIKIA NA LIMEZEEKA GHAFLA !
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwatenda wewe hufii ?! Yuko wapi Mobutu ?!Huyu alilazimisha kutendwa! Naona na Bw Heavy naye anafuata nyayo kwa kasi ya ajabu. Atafutaye hupata
Hata keshokutwa! Aombaye hupewa, Bw Mwepesi atapewa kile anachokiombaHistoria ni muhimu sana. Kuna leo na kuna kesho
Sawa. Ngoja tuone.Hata keshokutwa! Aombaye hupewa, Bw Mwepesi atapewa kile anachokiomba