Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Walioshiriki Kumuua Ben wote wataondoka na vifo vya Taabu sana angali wakiwa Vijana,Haiwezekani uue mtu mweye A+ Flat kuanzia Form Four hadi Chuo kikuu kisa kuchallenge Phd feki ya Kutu za Maganda ya Korosho.
Hizo A+ zake alizipata kwa ajili ya kuchallenge PhD za watu !? Angesoma yake ya maganda ya kahawa basi !
Alikuwa simply hana adabu.
 
Tukienda mbele na kurudi nyuma.... Kuna Mambo hata Mbele za Haki utaulizwa unekufa kwaajili ya Nini?
 
Unakuta lijitu linatukana wakuu wa nchi kama apendavyo.



Apandaye mahindi huvuna mahindi.


Kila MTU avune kile alichopanda.


Kwa ujinga wenu, mtasalimu amri tu maana hakuna namna nyingine.

Shenzy nyie
hivi kazi ya mahakama na polisi nini hasa? Boga kazi yake ni kuliwa na sio sehemu ya ubongo
 
Sometimes ushahidi wa kimazingira unakuwa ni mkubwa kuliko ushahidi wa kuona!
Mwenye masikio na asikie,na mwenye macho na aone
2025 kama tutakuwa HAI tutajua kila kitu kuhusu nn kilimkuta Ben Saanane
Na kuna vijana watafungwa!
Tunza hii thread
Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom