Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kiherehere chake nani alimtumani zaidi ya miaka 3 hayupo. where are u ben?
Game chenger🚶🚶🚶
Entertainer🚶🚶🚶
Charismatic fella🚶🚶🚶
Pure talent🚶🚶🚶
Ndo we huyo
anaionea aibu hiyo post yake, hajawahi kuijibu(kuitetea)hata mara mojaGame chenger🚶🚶🚶
Entertainer🚶🚶🚶
Charismatic fella🚶🚶🚶
Pure talent🚶🚶🚶
Ndo we huyo
kuhoji tu imekiwa nongwa, kwanini asingemjibu kwa hoja kama yeye alivyomuhoji kwa hoja?Ni kiherehere chake nani alimtuma
Hizi hasira zako unamtolea nani sasa?Wewe ndiye wale watu mnaowaambia mama zenu kwa nini hakukulala na mkubwa fulani ili uzaliwe kwenye familia yenye madaraka.
Kutungwa kwa mimba yako kwenye mkesha wa mwenge kulikuwa na nia ya kukufanya ujitathimini ili upigane kupata elimu bora na hatimaye upate maisha bora,kwa jasho lako,ili muendelezo wa ufukara katika familia na kizazi chako usiwepo.
Tatizo ni kwamba kwa sababu upo sebuleni mwa bwana wako unakula makombo unayotupiwa,akili yako imefungwa ukiamini kuwa kwa vile unakula makombo na kuridhika,basi kizazi chako kitaendelea kunufaika na hali hiyo ya kula makombo.
Jikomboe kutoka kwenye laana.
We chekelea,kesho familia yako itakutafuta,wasijue pa kukupata.EndeleaNi kiherehere chake nani alimtuma
Ni kiherehere chake nani alimtuma
Mfalme ana phd ya kughushi. Hilo haliwezi kubadilika kwa kutoa uhai wa anayemuumbua.Ni kiherehere chake nani alimtuma
Anakuongoza wewe msukule mwenye chupi ya kijani kwenye hiyo Danganyika Republic (a supposedly dona kantri in magufuli's delusional alternative reality).Ila anakuongoza ww na ukoo wenu wote iliwamo mmeo lisu
Yaani huyu jamaa nimeanza kumjua vzur juz kwenye kurasa ya michezo bahati mbaya zaidi naiona comment take kwenye hii post yan daaaah🚶🚶🚶anaionea aibu hiyo post yake, hajawahi kuijibu(kuitetea)hata mara moja
Mkuu, kitufe cha dislike mbona kipo?Modes wekeni kitufe cha dislike ,nimetaka kuandika tusi baya sana hapa ila maadili hayarusu,wengi watapunguza hasira kwa dislike.
Huwa anajifanya mjuaji sana, ila ni mlemavu wa akiliyan huyu jamaa nmeanza kumjua vzur juz kwenye kurasa ya michezo bahati mbaya zaidi naiona comment take kwenye hii post yan daaaah🚶🚶🚶
Atleast they should have conscious and remorse and show us where his remainings are so that we can give our brother a decent burial.I real miss Ben Saanane
Aminaa!Tutazidi kukuombea hadi tujue hatima ya mahali ulipo uwe hai ama marehemu.
Ukweli utakuwa wazi maana Mungu anazidi kushughulikia walioshiriki ubaya juu yako.
Mkuu inakuwaje bro. Hii ishu ya Ben inaniuma sana. You can't take someone's life in vain like that.Kila nikiona hili bandiko naishiwa nguvu,naitafakari nchi yangu na sipati majibu!Nawaza kama ningepewa super powers na nikawajua wahusika,walah hakuna mtu angerudia kufanya unyama kama huu!
Dah MwangosiHivi yule alie pigwa bom akasambaratika kama udongo ni mwandishi gani ? Nimesahau jina lake.
Watu wanao fanya utetezi wa haki za wenzao ni hatare sana kwa maisha yao
KwendraaaKama huna muda na hayo magazeti yake sasa unajuaje kama ni magazeti kama hujayasoma?? Hopeless comment ever!!
Braza nyakageni Nakumbuka 2014-2015 avatar picha yako uliweka slaa kavaa bonge la suruali ya kitambaaRest easy kaka. Naumia sana kwa kutoweka kwako
MUNGU atatulipia
Pole sana. Kwa Mungu kila kitu kitalipwa, kizuri na kibayaI soo much miss u Ben my brother. It hurts.
In that Christmas nilitangulia Rombo nikiwa na matumaini nitakuona but it never happened. I logged in to social medias finding updates that you are missing.
Hoping to meet you one day my brother whether dead or alive.
I love you.