Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Kupotea kwa Beni inasikitisha sana ila pia kulikuwa na ulazima gani kuhoji elimu ya mtu tena kwa lugha kali kiasi kile? Mtu mwenyewe ni Rais ambaye kikatiba hashtakiwi. Mbowe na wakubwa wengine wa CHADEMA walishindwa kumshauri kijana kuachana na hilo suala? Au alishauriwa akakataa? Ninawalaani waliohusika na kupotea kwa Beni ila pia ninawalaani CHADEMA kwa kumwacha kijana aingie kwenye mtego mbaya kama ule. Hakuna ushujaa wowote ukishapotezwa. Vijana kuweni makini sana na upotoshaji wa viongozi wa CHADEMA. Wao wakiona hatari mara moja wanakata tiketi za ndege na kukimbilia kwa mabwana zao. Kumdhalilisha rais wa nchi ni hatari kwa maisha yako.

Una maana rais wa nchi alikuwa na mkono wake kwenye kupotea kwa Ben?
 
Kupotea kwa Beni inasikitisha sana ila pia kulikuwa na ulazima gani kuhoji elimu ya mtu tena kwa lugha kali kiasi kile? Mtu mwenyewe ni Rais ambaye kikatiba hashtakiwi. Mbowe na wakubwa wengine wa CHADEMA walishindwa kumshauri kijana kuachana na hilo suala? Au alishauriwa akakataa? Ninawalaani waliohusika na kupotea kwa Beni ila pia ninawalaani CHADEMA kwa kumwacha kijana aingie kwenye mtego mbaya kama ule. Hakuna ushujaa wowote ukishapotezwa. Vijana kuweni makini sana na upotoshaji wa viongozi wa CHADEMA. Wao wakiona hatari mara moja wanakata tiketi za ndege na kukimbilia kwa mabwana zao. Kumdhalilisha rais wa nchi ni hatari kwa maisha yako.
zitto junior JokaKuu Erythrocyte ....Mbowe na Chadema wamebakia kimya kuhusu suala la Saanane hata baada ya JPM kufariki.
 
zitto junior JokaKuu Erythrocyte ....Mbowe na Chadema wamebakia kimya kuhusu suala la Saanane hata baada ya JPM kufariki.

..wanaopaswa kulaumiwa ni MAMLAKA ZA UCHUNGUZI kwani wanazo taarifa juu ya kupotea kwa Ben Saanane.

..Chadema, Mbowe, Lissu, Mnyika, wamepiga kelele sana na ndio maana leo hii umma unajua kuhusu kupotea kwa Ben Saanane.

..Moja ya mambo ambayo Chadema wanayataka kwenye maridhiano ni kuundwa kwa Tume ya Haki, Ukweli, na Upatanishi, itakayoangazia masuala ya uonevu na uvunjwaji wa haki za binadamu kama kilichotokea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, etc.
 
Walioshiriki Kumuua Ben wote wataondoka na vifo vya Taabu sana angali wakiwa Vijana,Haiwezekani uue mtu mweye A+ Flat kuanzia Form Four hadi Chuo kikuu kisa kuchallenge Phd feki ya Kutu za Maganda ya Korosho.
Kwa hakika nabii si Lema peke yake
 
Kupotea kwa Beni inasikitisha sana ila pia kulikuwa na ulazima gani kuhoji elimu ya mtu tena kwa lugha kali kiasi kile? Mtu mwenyewe ni Rais ambaye kikatiba hashtakiwi. Mbowe na wakubwa wengine wa CHADEMA walishindwa kumshauri kijana kuachana na hilo suala? Au alishauriwa akakataa? Ninawalaani waliohusika na kupotea kwa Beni ila pia ninawalaani CHADEMA kwa kumwacha kijana aingie kwenye mtego mbaya kama ule. Hakuna ushujaa wowote ukishapotezwa. Vijana kuweni makini sana na upotoshaji wa viongozi wa CHADEMA. Wao wakiona hatari mara moja wanakata tiketi za ndege na kukimbilia kwa mabwana zao. Kumdhalilisha rais wa nchi ni hatari kwa maisha yako.
wewe ni chawa nahujielewi, vatar yako inajielekeza hivyo:
Umehusisha kupotea kwake na elimu, how?
 
..Moja ya mambo ambayo Chadema wanayataka kwenye maridhiano ni kuundwa kwa Tume ya Haki, Ukweli, na Upatanishi, itakayoangazia masuala ya uonevu na uvunjwaji wa haki za binadamu kama kilichotokea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, etc.
Nitaungana nao kwa 100% kama hiyo tume itaanza kazi kuanzia nyuma kabla ya awamu ya 5.
 
Kupotea kwa Beni inasikitisha sana ila pia kulikuwa na ulazima gani kuhoji elimu ya mtu tena kwa lugha kali kiasi kile? Mtu mwenyewe ni Rais ambaye kikatiba hashtakiwi. Mbowe na wakubwa wengine wa CHADEMA walishindwa kumshauri kijana kuachana na hilo suala? Au alishauriwa akakataa? Ninawalaani waliohusika na kupotea kwa Beni ila pia ninawalaani CHADEMA kwa kumwacha kijana aingie kwenye mtego mbaya kama ule. Hakuna ushujaa wowote ukishapotezwa. Vijana kuweni makini sana na upotoshaji wa viongozi wa CHADEMA. Wao wakiona hatari mara moja wanakata tiketi za ndege na kukimbilia kwa mabwana zao. Kumdhalilisha rais wa nchi ni hatari kwa maisha yako.
Upumbavu huu uliouandika hapa,hii inaonyesha wewe ni jitu katili, shetani na usiyejali kabisa wajibu wa kisheria, kama dictator magu angeona amevunjiwa heshima yake kuhusiana na elimu yake (yes kasomea CM&Ed pale Mkwawa CNE, sorry ladies ila hii combination iliitwa ng'ombe, huwezi kulinganisha na PM au PC)angetumia mawakili wake kwenda kwa court SIO kupeleka henchmen to silence Mr. SAANANE, magu ni cold blood killer
 
..wanaopaswa kulaumiwa ni MAMLAKA ZA UCHUNGUZI kwani wanazo taarifa juu ya kupotea kwa Ben Saanane.

..Chadema, Mbowe, Lissu, Mnyika, wamepiga kelele sana na ndio maana leo hii umma unajua kuhusu kupotea kwa Ben Saanane.

..Moja ya mambo ambayo Chadema wanayataka kwenye maridhiano ni kuundwa kwa Tume ya Haki, Ukweli, na Upatanishi, itakayoangazia masuala ya uonevu na uvunjwaji wa haki za binadamu kama kilichotokea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, etc.
CHADEMA wanataka sawa... Mbowe atakubaliana na mnayotaka akiwa kama mmiliki wa chama?
 
Upumbavu huu uliouandika hapa,hii inaonyesha wewe ni jitu katili, shetani na usiyejali kabisa wajibu wa kisheria, kama dictator magu angeona amevunjiwa heshima yake kuhusiana na elimu yake (yes kasomea CM&Ed pale Mkwawa CNE, sorry ladies ila hii combination iliitwa ng'ombe, huwezi kulinganisha na PM au PC)angetumia mawakili wake kwenda kwa court SIO kupeleka henchmen to silence Mr. SAANANE, magu ni cold blood killer
Tatizo lenu mkishauriwa kabla ya matatizo mnajiona mashujaa.. kuna ushujaa gani wa kujiingiza kwenye matatizo kwa mambo binafsi yasiyokuhusu? Kwanini mnajidanganya kuhusu nguvu alizo nazo Rais... ingawa bado hatuna uhakika wa sababu iliyofanya Beni apotee lakini hii ishu ya kuhoji elimu ya rais inapewa nguvu zaidi kuliko sababu nyingine. Tukumbuke Rais ana familia, ndugu, jamaa, marafiki, na wafuasi wake wa kisiasa. Je, makundi yote hayo yaliridhishwa na kudhalilishwa kwa mpendwa wao? Vijana wa CHADEMA hakuna ushujaa wowote kwenye uhai wako. Linda uhai wako kuliko kitu chochote. Hamuoni kina Lema na Lissu wanavyokimbia wakiona hatari?
 
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko

Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.

Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"

He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu

Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.

Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.

As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo

Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.

Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.

Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour

Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."

Mlale salama marafiki zangu wapendwa.

Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)

Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.

Ben Saanane
Shida huyu mwamba alivuka mipaka..
 
Back
Top Bottom