Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Mkivuta bhangi laleni. Ona sass mnaandika bhangi mitandaoni.
Nyinyi ndiyo mlikuwa mkihadaa watu kuwa ni kiki eti ana nini huyo mpaka awindwe, onyesheni alipo basi au ndiyo ile jamii ya cannibalism wala nyama za watu. Maana hata Jiwe kwa ukatili ule obvious alikuwa ni cannibal, Sukuma gang kadri ushenzi wenu unavyozidi kuibuliwa ndiyo mnavyozidi kuchanganyikiwa.
 
MamaSamia2025 kasema anamjua mhusika sisi nani kutomsikiliza?

Angalia posts #1481 na 1484.
Wewe ni mpumbavu sana. Vijana wengi wa CHADEMA mmenyimwa akili na busara. Hata Beni alionywa na kushauriwa kuacha upuuzi akakaidi matokeo yake ni kuleta kilio kwa wazazi. Siasa sio kutukana watu.
 
Wewe ni mpumbavu sana. Vijana wengi wa CHADEMA mmenyimwa akili na busara. Hata Beni alionywa na kushauriwa kuacha upuuzi akakaidi matokeo yake ni kuleta kilio kwa wazazi. Siasa sio kutukana watu.

Kwenye mipumbavu wewe mbona ni baba lao. Kwani kuna hata haja ya kukuelezea lolote zaidi?
 
Kwa hiyo mnaanza kukiri kwamba Ben saa8 mlimla nyama? Jitokezeni tuwajue.
Alikula Mbowe baada ya kushindwa kumlipa 800m za kuzunguka ulaya kuipaka matope serikali Tz ikose misaada.

Baada ya plan kufeli, Mbowe hakutaka kumlipa ben wenu. Dawa ikawa kumwua ili asijemwaga mboga.
 
Nyinyi ndiyo mlikuwa mkihadaa watu kuwa ni kiki eti ana nini huyo mpaka awindwe, onyesheni alipo basi au ndiyo ile jamii ya cannibalism wala nyama za watu. Maana hata Jiwe kwa ukatili ule obvious alikuwa ni cannibal, Sukuma gang kadri ushenzi wenu unavyozidi kuibuliwa ndiyo mnavyozidi kuchanganyikiwa.
Hapa umetoka kuvuta kitu cha mtaa wa mabanda. Cha lilongwe siyo kikali hivi.
 
Alikula Mbowe baada ya kushindwa kumlipa 800m za kuzunguka ulaya kuipaka matope serikali Tz ikose misaada.

Baada ya plan kufeli, Mbowe hakutaka kumlipa ben wenu. Dawa ikawa kumwua ili asijemwaga mboga.

Ndiyo maana alipo ripoti polisi kuwa anatishiwa kuuwawa polisi was Mbowe wakaendelea kumpuuza na wanaendelea kumpuuzia hata leo?
 
Huyu mtu washammaliza kitambo pengine saivi kabakia mifupa tu.
Tena nahisi muhusika itakuwa ni yuleyule Chatu Mkuu, Na mihasira yake ile alitumia mikono yake mwenyewe kulipiza kisasi kisha akammeza mzimamzima.

Nyiee! Na siku wakikutana tena huko walipoenda zao lazima watakinukisha upya.
 
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko

Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.

Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"

He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu

Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.

Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.

As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo

Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.

Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.

Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour

Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."

Mlale salama marafiki zangu wapendwa.

Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)

Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.

Ben Saanane
Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.
 
Mungu aliamua ugomvi tarehe 17,/03....pale alipomfyeka yule mwendawazimu Pumzika kwa amani Ben saanane[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Huu uzi wa Ben.. SukumaGang unawauma, mtakufa vifo vibaya sana nyinyi na familia zenu kwasabab ya roho mbaya zenu na kukosa akili...
 
Back
Top Bottom