I meant exactly every word.Mkuu soma tena ulichokiandika kama ndicho ulitaka kuandika.
Unajua kuna mpango wa kujenga Reli kwenda Rwanda? Unajua unapoitaja Rwanda unaitaja Mshariki ya Kongo? Mbali ya hizo nchi nyingine ni Rwanda ndiye inategemewa mizigo mingi kupitia kwake.
I meant exactly every word.
Rwanda ana options za kutumia Mombasa, Beira or even Durban or Angola.
Tanzania akisusiwa na all landlocked countries kwa sababu za kizwazwa maana yake bandari zake zitakuwa zina operate under capacity na kwa hasara, etc.
...ndiyo hivyo sasa - mkiboa wanatumia bandari nyingine halafu mtabaki na magofu yenu shubaaaamit!!hata akita pia aruke, lakan hawezi leta huo ujinga kisha tunyamaze kwakua anazo options.
sisi tuna korona, basi wachukue mizigo yao boda na sisi tutawasombea kutoka port. Kinacho waleta huku kwny maambukizi ni kipi?
Tatizo hapo ni umakini ......umakini wa kimataifa unaanzia kwenye kukubaliana na taratibu za kimataifa zidi ya kitu fulani....approach yetu kwenye korona ndio imefanya tuonekane kuwa hatujui hata kujisanitaizihumo kwenye clip kuna mtu kauliza swali muhimu sana.
Kama Rwanda inaogopa corona kwa kuzuia wageni wasiingie kwao,iweje wao wanataka kuja na kuingia huku kwenye corona?si yale yale tu?
Na kama una bandari unaenda rwanda kufanya nini kaa na bandari yako upige picha unapiga mbizi ferry hapo
Blackberry
...ndiyo hivyo sasa - mkiboa wanatumia bandari nyingine halafu mtabaki na magofu yenu shubaaaamit!!
Kagame ni kichwa. Kesha ng'amua hawezi ku deal na Jiwe la Tanzania.
jiwe ni kichwa haswaa,kama alikiwa anazomea jk,hapa kakutana namhutu sasa[emoji23][emoji23][emoji23].Kagame ni kichwa. Kesha ng'amua hawezi ku deal na Jiwe la Tanzania.
Hapo juzi, M7 kawapia ma Rais kuongelea masuala hayo.
Wote tumeona tweet yake. It seems kwa Jiwe hakuambulia kitu. Too sad?
corona yenyewe itafanya natural selection,kama ilivyofanya kwa US baada ya china,hawaamui wahanga bali yenyewe,ni corona ndio itamchagua bwana wake.Tatizo hapo ni umakini ......umakini wa kimataifa unaanzia kwenye kukubaliana na taratibu za kimataifa zidi ya kitu fulani....approach yetu kwenye korona ndio imefanya tuonekane kuwa hatujui hata kujisanitaizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu achana naye huyo ameathirika kisiasa.Umeandika nini hiki mdau?
Aliyekwambia Corona itatuua Watz wote hivyo itabidi rai wa Rwanda waje kurithi nchi yetu ni nani?
Yani mtu kapiga nchi lockdown ili kudhibiti Corona halafu mtu mwingine ambaye wala hajali maisha yake aje aniletee magonjwa? Hata hivyo Rwanda wamewavumilia sana wa Tz. Watu maisha yenu wenyewe hamuyajali itakuwa ya wenzenu?
unapopambana na hali yako usitikise za wengine,vinginevyo utajivirugia mikakati.Rais wa nchi akiwa shetani hata raia wanakuwa mashetani. Sasa kwa nini mnataka Kagame asichukuwe hatua za kulinda watu wake. Yaani hii ni kama Rais wa nchi kuwakoromea wachungaji na maimam kwa kufunga sehemu za ibada.
Rais wa nchi akiwa shetani hata raia wanakuwa mashetani. Sasa kwa nini mnataka Kagame asichukuwe hatua za kulinda watu wake. Yaani hii ni kama Rais wa nchi kuwakoromea wachungaji na maimam kwa kufunga sehemu za ibada.
Mpaka leo Rwanda wana 0 deaths. Kagame keep doing what you are doing.
Sent From Galaxy S20 Ultra
sawa alinde raia wake hatujamkatalia, huku kwny korona wanafuata nini?
mizigo yao tunaiacha boda, wao wanaanzia hapo kupeleka kwao
unapopambana na hali yako usitikise za wengine,vinginevyo utajivirugia mikakati.
kaamua kukinga watu wake,kama ambavyo wewe unatamani kukingwa,halafu anataka madereva wake waingie huku tusikokingwa.
nyie wapinzani stress hata hamuelewi kama jamaa anapuyanga.
Sent using Jamii Forums mobile app