Kila mtu ashushe mzigo mpakani Rwanda wakija na mzigo wauache mpakani tutauchukua na sisi tushushe mpakani wao wachukue mizigo yao sisi hatuendi Kwao na wao hawaji kwetu ila kila mtu anapata mzigo wake case closedMkuu kwani tumeshamaliza kuzichunguza testing kits zetu hadi tuweke one stop center? By the way Tanzania Kuna corona?
Hahah daah hapo kwny wazee wa jalalani umeua aisee.Not easy as that!! Vita kisa malori kuzuiwa? Mahiga ndiyo zilikuwa kazi zake hizo. Wazee wa jalalani wao wako bize kwenye mazishi!!
Mkuu kwenye hiyo root Tanzania haina mzigo,only revenue but mzingo unsoingia na kutoka wote ni wa RwandaKila mtu ashushe mzigo mpakani Rwanda wakija na mzigo wauache mpakani tutauchukua na sisi tushushe mpakani wao wachukue mizigo yao sisi hatuendi Kwao na wao hawaji kwetu ila kila mtu anapata mzigo wake case closed
Kwahiyo kama bado kuna hata watu 10 tu wenye maambukizi si watawaambukiza watu waliotoka lockdown? , na mlipuko unarudi pale pale huku uchumi ukiwa taaban, si uwendawazimu huo?
Haina shida kila mtu ashushe border Halafu mwenzie abebe awe na mzigo mkubwa au mdogoMkuu kwenye hiyo root Tanzania haina mzigo,only revenue but mzingo unsoingia na kutoka wote ni wa Rwanda
Uko sahihi solution kila mtu ashushe mzigo border unapoenda kila nchi ichukulie border case closedhumo kwenye clip kuna mtu kauliza swali muhimu sana.
Kama Rwanda inaogopa corona kwa kuzuia wageni wasiingie kwao,iweje wao wanataka kuja na kuingia huku kwenye corona?si yale yale tu?
You are right scratch my back I scratch yours .life is not a one way traffic!!!Sasa kama madereva wa tz wanazuiwa Kuingia rwanda, kwanini wa rwanda waingie tz nao wapigwe pini
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna nchi zina asili ya vita amani sio chaguo lao.kuna hitajika utatuzi wa hili seke seke haraka mno.
Amani itawale.
Solutions Kila nchi Lori lishushe mzigo border mwenye corona abebe mzigo wake na asiye na Corona abebe mzigo wake case closedMadereva wa TZ wana Korona wataambukiza Wanyarwanda kila watakapokwenda
Nashauri tuitwange Rwanda kijeshi, tuweke Rais kibaraka wetu then reli itapita kibabe mpk Congo Mashariki,easy as that.
Huko mbali, Madereva wapimwe, wenye korona watulize ball, wasio na korona wachape kaziSolutions Kila nchi Lori lishushe mzigo border mwenye corona abebe mzigo wake na asiye na Corona abebe mzigo wake case closed
Sasa usipothibitiwa kwa nini usiue wote? Laiti ingekuwepo dawa ya kueleweka au vaccine ungesema mtu utaumwa utapona na hutougua tena au utaendelea kumeza dawa ili upone.Umeandika nini hiki mdau?
Aliyekwambia Corona itatuua Watz wote hivyo itabidi rai wa Rwanda waje kurithi nchi yetu ni nani?
No, boda zote mbili kuu zinafanya kazi. Alafu ujue na Tanzania kama nchi haiwezi kukubali kumpoteza mteja wao kirahisirahisi eti madereva hawamtaki.Then ikishatoka Mombasa itapitia njia gani? Maana kwa M7 walishafungiana boda.
Hatujasema wazuiwe kuingiza magari, bali dereva wao apokelewe nna dereva wa Tz ili kuepusha wasituletee Corona toka Rwanda, kama Kenya watakubali dereva wao wazuiwe mpakani ila wa Rwanda wawe free kuingiza Corona Kenya then so be it.., wapitishie Mombasa
Hujui kama uchumi pia unahusika kutunza uhai? Kifupi vinategemeanaMkuu unaongea uchumi ukiwa bado inapumua,Ila ukishalala hatuna Cha uchumi Wala revenue.Nothing is expensive kuliko kupoteza uhai