Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini

Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini

I meant exactly every word.

Rwanda ana options za kutumia Mombasa, Beira or even Durban or Angola.

Tanzania akisusiwa na all landlocked countries kwa sababu za kizwazwa maana yake bandari zake zitakuwa zina operate under capacity na kwa hasara, etc.
Kwani wakati ule wanauana, sisi Bandari yetu ilikuwa imefungwa.

Mzigi wao ni 14% ya mizigo yote. Wawepo wasiwepo, maisha yetu yataendelea tu.
 
Bwana dereva, Wanyarwanda hawana kosa lolote hapa. Kuna visa vingi sana vya madereva wetu vya corona huko Uganda, Malawi na Rwanda. Malawi mpaka sasa, kati ya wagonjwa 41 wa corna, 13 ni maderva kutoka Tanzania. Sasa mnataka nchi zote ziwe kama ya kwenu. Kama ndio mawazo yenu haya, kumbe huyu Rais wenu pia alitakiwa kuwa dereva.

Mnafikiri nyie ndio mna bandari tu? Ngoja waende Mombasa na Beira muone. Yaani nchi kuchukuwa hatua sitahiki za kujilinda, nyie inawakera. Mlitaka iwe kama Tanzania, siyo? watu waanze kuzika usiku Rwanda, Uganda, Malawi.... Siyo sahihi kabisa.
Beira hawawezi kwenda kwa sababu ya umbali,na Mombosa ni option ya 3 baada ya DSM.
Si unakumbuka 2014 walibeep kususia Bandari ya TZ, kilichofuata?
Baada ya kuona maisha yao yapo hatarini kwa kupitia Maraba na Busia, wenyewe wakarudisha Ringi DSM.
Haw wetu, hawana ujanja
 
Kwa hiyo unataka kusema Beira ni mbali kutoka nchi zote nilizotaja hapo? Utakuwa haufahamu gografia.
Beira hawawezi kwenda kwa sababu ya umbali,na Mombosa ni option ya 3 baada ya DSM.
Si unakumbuka 2014 walibeep kususia Bandari ya TZ, kilichofuata?
Baada ya kuona maisha yao yapo hatarini kwa kupitia Maraba na Busia, wenyewe wakarudisha Ringi DSM.
Haw wetu, hawana ujanja
 
Haya bwana dereva umeshinda na bila shaka Rais wako atakupigia makofi kwa vile mawazo yenu yanafanana. Endeleeni kunyanyasa wateja wenu na kupima mapapai corona huku wafu wakibebwa na malori na kuzikwa usiku. Mimi niko mbali huku napambana. Huku niliko maziko yanafanyika mchana.
Pamoja na kuwa Tanzania imezisadia sana nchi jirani kwa hali na mali, lakn hizo nchi zimekuwa zikinyanyasa raia wetu, na pia huwa hawatuongelei zuri kwa lolote. Hivyo, kusema nusu ya cases zao ni maderva wa Tanzania siyo jambo la kushngaza.

Kosa lao Rwanda ambao wanajiona wako salama zaidi, ni kunawa mikono kisha kushika matope kwa kuja Tz.

Hawana Corona, lakn wanataka madereva wao walio salama, waje kujiambukiza Tanzania kuliko chafuka. Kwani hao maderva wao wakija Tanzania hawato ambukizwa Corona na kisha kwenda kuusambaza kwao?

kama jibu ni ndiyo, kuna tofauti gani na dereva aliyetoka tz na lory na kwenda kwao?
Kwahiyo, chako ni cha kwako ila chetu huku pia unataka?

Mm sio dereva, ila tumechoka kuona raia wetu wakinyanyaswa kwny nchi za kijinga, wakt raia wao wakija hapa nchini tunaishi nao kama ndgu bila manyanyaso.
 
Kagame ana akili.

Namuunga mkono sana kwenye hili
Yaani mimi nisacrifice kuthibiti Korona hadi kufikia kuwapunguzia watumishi mishahara halafu mijitu ya nchi nyingine ije iharibu sacrifice yoote eti tu. kwa sababu raisi wao anatafuta shortcut ya tatizo

Kagame tuko pamoja, uko sahihi mara mia na nakushauri ili kulinda Afya za Wanyarwanda pitisha mizigo Mombasa mpaka ujiridhishe kuwa Tanzania ni salama.

Endeleeni kujilinda sana ili sisi watanzania tukishakufa kwa korona sababu ya uzembe wa serikali yetu nyie mje mkalie na muishi katika ardhi hii maana nyie ni waafrika wenzetu. Bora nyie waafrika wenzetu mje muirithi nchi hii kuliko Wachina na Wazungu

Wacha uzuzu kwenye mambo nyeti. Hamia basi Kigali kama utaweza kumudu mikwara ya huko japo kwa mwezi mmoja.
 
Pamoja na kuwa Tanzania imezisadia sana nchi jirani kwa hali na mali, lakn hizo nchi zimekuwa zikinyanyasa raia wetu, na pia huwa hawatuongelei zuri kwa lolote. Hivyo, kusema nusu ya cases zao ni maderva wa Tanzania siyo jambo la kushngaza.

Kosa lao Rwanda ambao wanajiona wako salama zaidi, ni kunawa mikono kisha kushika matope kwa kuja Tz.

Hawana Corona, lakn wanataka madereva wao walio salama, waje kujiambukiza Tanzania kuliko chafuka. Kwani hao maderva wao wakija Tanzania hawato ambukizwa Corona na kisha kwenda kuusambaza kwao?

kama jibu ni ndiyo, kuna tofauti gani na dereva aliyetoka tz na lory na kwenda kwao?
Kwahiyo, chako ni cha kwako ila chetu huku pia unataka?

Mm sio dereva, ila tumechoka kuona raia wetu wakinyanyaswa kwny nchi za kijinga, wakt raia wao wakija hapa nchini tunaishi nao kama ndgu bila manyanyaso.
hapana tz hatutosaida tena,hawa watu wanaroho za kinyama.wakianza kuchinjana tu dawa ni kufunga mpaka wasiingie huku tanzania kuna corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usinunue mashine wala kuchimba kaburi.
Nawa mikono kwa maji safi na tiririka hata ilibidi kunawa mara Mia au Mia mbili kwa siku fanya hivyo.
Tumia vitakasa mikono mara kwa mara kila unapogusa mahali unapopatilia shaka.
Vaa barakoa kila mara unapotoka nyumbani na usikubali kukaribiana na mtu asiyevaa barakoa.
Zingatia umbali kati yako na jirani yako.
Epuka misongamano.
Baki nyumbani kama huna sababu ya maana ya kutoka.
Fanya mazoezi ya mwili mara kwa mara na epuka kuwa mtu wa kukaa kwenye kiti kwa muda mrefu bila kutembea tembea.
Hakikisha kabla hujalala unakunywa walau glasi moja ya maji vuguvugu.
Corona ipo, jilinde wewe na familia yako na usikubali kusikiliza taarifa zilizojikita kwenye upotoshaji.
Na mwisho kuwa na Corona si kuwa ni lazima ufe, watu wanapata na wanapona kwa nini isiwe wewe?

Mkuu itakapokupata usiyasahau maneno ya RC Mghwira: "sijui ni wapi sikuzingatia masharti". Mwisho wa kumnukuu.

Huu ugonjwa ungali mpya sana mtu awaye yote kujimwambafai kama unavyojaribu kufanya.

Ni upya huo huo wa ugonjwa huu ambao uliigutua dunia na hatimaye ikadhihirika kuwa kumbe takwimu zote za mchina kuhusiana na vifo na maambukizi zilikuwa zote fix.

Mkuu wenzio wanaponyelewa .. chunga!
 
Updates kutoka medani za vita (benako); wanaume wangali wameumana, pembe zimefugana (lhorns locked), hakuliki, hakukaliki

Ngoma bado mbichi.

Hakuna lori kupita kwenda Rwanda wala kuingia tokea pande za Rwanda.

Hii ndiyo piiipooos! Siyo ile ya wale jamaa wa posho.

Bila shaka hapa tulipo mrejesho unasubiriwa tokea pande za Chatto si Dodoma wala Dar tena. Kwa maana maji kwisha zidi unga..!
 
Aliyekwambia wamedhibiti nani? Matapeli tu. Hizi takwimu ni za wanyarwanda au watanzania?
Yani mtu kapiga nchi lockdown ili kudhibiti Corona halafu mtu mwingine ambaye wala hajali maisha yake aje aniletee magonjwa? Hata hivyo Rwanda wamewavumilia sana wa Tz. Watu maisha yenu wenyewe hamuyajali itakuwa ya wenzenu?
Screenshot_20200506-150824~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya bwana dereva umeshinda na bila shaka Rais wako atakupigia makofi kwa vile mawazo yenu yanafanana. Endeleeni kunyanyasa wateja wenu na kupima mapapai corona huku wafu wakibebwa na malori na kuzikwa usiku. Mimi niko mbali huku napambana. Huku niliko maziko yanafanyika mchana.

Mkuu dereva wao akina huku anabakia huku huku. Akirudi wanaenda quarantine 14days.

Hivyo wao walikuwa kisungura sungura wengine wawe huku wanabadilishania malori boda.

Nadhani utakuwa umewasoma so issue ya kwenda kusambaza kwao haipo.
 
Usinunue mashine wala kuchimba kaburi.
Nawa mikono kwa maji safi na tiririka hata ilibidi kunawa mara Mia au Mia mbili kwa siku fanya hivyo.
Tumia vitakasa mikono mara kwa mara kila unapogusa mahali unapopatilia shaka.
Vaa barakoa kila mara unapotoka nyumbani na usikubali kukaribiana na mtu asiyevaa barakoa.
Zingatia umbali kati yako na jirani yako.
Epuka misongamano.
Baki nyumbani kama huna sababu ya maana ya kutoka.
Fanya mazoezi ya mwili mara kwa mara na epuka kuwa mtu wa kukaa kwenye kiti kwa muda mrefu bila kutembea tembea.
Hakikisha kabla hujalala unakunywa walau glasi moja ya maji vuguvugu.
Corona ipo, jilinde wewe na familia yako na usikubali kusikiliza taarifa zilizojikita kwenye upotoshaji.
Na mwisho kuwa na Corona si kuwa ni lazima ufe, watu wanapata na wanapona kwa nini isiwe wewe?
Nyie msicheze na corona. Kifupi hazuiliki kwa hizo mbwembwe zenu za masks wala sanitizers. Imagine usa wamefunga siku ngapi? Walipunguza maambukizi? Spain, Uk, Rwanda, South Africa, wote walifunga nchi zao, maambukizi yalisimama? Why?
IMG-20200418-WA0067.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kama una bandari unaenda rwanda kufanya nini kaa na bandari yako upige picha unapiga mbizi ferry hapo


Blackberry
Mnajionaga mna akili sana nyie kenge, ndomana mahutu yalikuwa yanawachinja kama kuku, Mende mkubwa wewe.
 
Usichojua ni kuwa Mombasa ndo kitovu cha covid east Africa
Kagame ana akili.

Namuunga mkono sana kwenye hili
Yaani mimi nisacrifice kuthibiti Korona hadi kufikia kuwapunguzia watumishi mishahara halafu mijitu ya nchi nyingine ije iharibu sacrifice yoote eti tu. kwa sababu raisi wao anatafuta shortcut ya tatizo

Kagame tuko pamoja, uko sahihi mara mia na nakushauri ili kulinda Afya za Wanyarwanda pitisha mizigo Mombasa mpaka ujiridhishe kuwa Tanzania ni salama.

Endeleeni kujilinda sana ili sisi watanzania tukishakufa kwa korona sababu ya uzembe wa serikali yetu nyie mje mkalie na muishi katika ardhi hii maana nyie ni waafrika wenzetu. Bora nyie waafrika wenzetu mje muirithi nchi hii kuliko Wachina na Wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wazuie watu wao kukanyaga tzania. Tutaheshimiana tu. Yaani watu wana 270 cases hafu unasema wamedhibiti? Wao walichofanikiwa ni kuficha taarifa za waliokufa
Hatua wanayochukua sio sahihi au wanaogopa kuchukua hatua sahihi.
Hapo wakataze malori kutoka Tanzania kuingia Rwanda kabisa Watakua wako serious.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kama una bandari unaenda rwanda kufanya nini kaa na bandari yako upige picha unapiga mbizi ferry hapo


Blackberry
Kwa akili zako unazani sie tunashida hicho kimkoa kinachozidiwa eneo na wilaya ya mafia. Sie hatuwahitaji kwa lolote ni wafanyabiashara uchwara wa hicho kimkoa ndo wanunua Huduma za usafirishaji kwa matajiri wa malori tz, wasipokuja kununua hii Huduma wala hatuna habari nao kabisa
 
[emoji16][emoji16][emoji16]kumbe haujui hata dunia inaenda vipiPia nina ujumbe wako kutoka GERMAN.
Njia unazo taka tupite wenzetu wameshaanza KUZIACHA.
CORONA BYE BYE View attachment 1440089View attachment 1440090

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unatafuta mtu akutafsirie taarifa za habari, Lockdown imewasaidia kuflatten the curve.

Hii ni model ya kudeal na magonjwa ya maambukizi kama Covid-19.

Sasa wanaingia hatua nyingine ya kuruhusu shughuli za uchumi step by step.

Hii model ya kwenu sijui mmeitoa wapi. Kuanza na maombi ya miungu mbalimbali, Allah, Mizimu, Krishna, etc na kuignore WHO advise.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom