Pole kunywa maji usife na stress dada!Usifanye watu wapumbavu MSHENZI WEE
Tushafika kukiwasha.Ninacho kuuliza, kama ni dhuluma, kwanini mtaani kimetulia sana?. Kwenye kata yetu ameshinda diwani wa cdm lakini hakuna mtu anauliza matokeo ya urais kwa lissu.
[emoji3][emoji3][emoji3] andaeni pambano mpiganeMje wewe na nani?
Halafu kama unaiweza ligi njoo dm tupange mimi na wewe tukutane kuoneshana uwezo.
Mkuu hili watu walidharau ila lilikuwa na madhara,Watu wameona isiwe tabu, mtu umepigwa risasi na bado hujapona vizuri halafu tena tukuongezee majukumu ya urais, afadhali tukuonee huruma kwa kumpa kura magufuli ili ukatibiwe vizuri
Alitegemea ashinde kwa kupewa kura za huruma kwamba huyu alipigwa risasiMkuu hili watu walidharau ila lilikuwa na madhara,
Kuna ambao walikua wanauliza kabisa,
Ataweza kazi huyu mbona anaonekana Mgonjwa??
Mkuu, hizo nguvu za kumnasa kibao unaonaje ukazitumia kuandamana.? Nadhani utakuwa shujaa sana ili unayemtaka ashindeYaani wewe ndo TAHIRA kupindikia.
Ungekuwa karibu yangu hata makofi ningekunasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tume huruHapo mwisho ndio nakupa zaidi. Watu hawajapiga kura kabisa. Kwamba upinzani hauaminiki tena. Bora kuchagua Ccm au kutopiga kura kabisa
Tume huruUpinzani watajua hawajui.
Baada ya miaka miwili, kachero wetu tunamrudisha CCM kama lowassa
Tume huruMi nilimsoma siku nyingi kachero km kule kaenda kuwapiga bao la tiktaka then anarudi kijiweni kutulia,eti karudisha kadi thubutuu,mbobezi bana[emoji28][emoji28][emoji28]
Mungu anamuona
Mtu mwenyewe unatumia itel afu unasema mtunyooshe[emoji119][emoji119][emoji119] kweli umaskin wa akili n tatizo kuliko wa mfukoWajinga nyie tulieni dawa iwaingie, mlidhani hizo multiple accounts zenu humu ndo zingepiga kura? mnajitekenya na kucheka wenyewe si tunawachora tu, the majority tumeamua, ingieni road na huko tuje tuwanyooshe.
Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app