Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,240
- 2,010
Na mimi mkuu naomba kukumbushwa, nmefatilia sana ila sioni wagombea wengne walo mchallenge Mzee wa msoga 2010.....Kwanini hakuyasema haya Kikwete alipokua anagombea term ya pili? Kikwete aligombea na nani term ya pili?
Daaah!! User name inasadifuKama chama cha republican wanaruhusu huo utaratibu, aende huko akagombee urais wa marekani. CCM ipo TZ na inautaratibu wake ambao si lazima ufanane na chama kingine. Kama anateseka na muwasho wa kugombea urais wa TZ, ahamie chadomo au kile chama cha mkongoman Zitto, huko atakunwa vizuri tu na atafurahia show.
Vipi utampa kura Membe au Lisu?MATAGA lazima watage safari hii!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ITATEGEMEA NIMEAMKAJE SIKU HIO.
sasa anajua kuna tofauti za tamaduni anachoshangaa ni nini?? huwa naelewaga kushindwa kumuelewa mtu, membe akae kimya tu ni busara pia kuliko huku kulialia kila siku wenzake wanafanya kweli, si akachukue hiyo fomu ...Mwanasiasa ambaye anaonekana Msumbufu kwa kipindi hiki , ameandika huko katika mtandao was Twitter kuhusu Mchakato wa Kumpata Rais Trump wa Marekani kugombea awamu ya pili
View attachment 1487440
Shibuda alichukua fomu na mtu mwingine ambaye simkumbukiNa mimi mkuu naomba kukumbushwa, nmefatilia sana ila sioni wagombea wengne walo mchallenge Mzee wa msoga 2010.....
Wajuvi wa mambo nisaidien hii historia.
Hata 2015 mlisema hivyo hivyo matokeo yake Lowasa akawatagisha nyie.MATAGA lazima watage safari hii!!
Mwambie Membe aende dodoma kuchukua form aache kubwabwajaFomu ya dola au urais? Pia kuna taarifa kua printer ya kuprint fomu nyinigine imeharibika ,kirusi kimeitafuna file yenye fomu na ile iliyotolewa imeisha jazwa.
Tupo Dodoma maana tumehamia huko sio kukaa DSM
Mkuu John shibuda si alkua CHADEMA.Shibuda alichukua fomu na mtu mwingine ambaye simkumbuki
Naona umeibuka! Vipi corona?Hivi umeelewa alichoandika?! Hilo suala la awamu ya pili uliloandika kwenye heading umelitoa wapi wakati kwenye twee hajaandika hivyo?!
Kilichopo ni kwamba, officially Donald Trump anajitambulisha kama Florida Resident. Sasa Republican Florida hawakuangalia urais wake na badala yake wamewapitisha Bill Weld, Joe Walsh, na Rocky De La Fuente kupambana na Trump equally at "home" ground badala ya kumpitisha Trump peke yake kama wanavyofanya CCM!
Membe anabweka tu ila **** sehemu wakimtekenya lazima anyeSASA NAANZA KUPATA PICHA, SUMU YA MANGULA!
Ni katika awamu ya nne ya kaka yako na wewe ukiitwa waziri mwandamizi ndani ya serikali ndipo mlipomtimua mzee huyu akaenda kulima nyanya kijijini kwake.
Na JPM kwa kuujua uadilifu wa mzee huyu pasi na shaka alipochukuwa uongozi alimrudisha kutoka shambani.
Ili amsaidie majukumu anayotekeleza mpaka sasa.
Staili ya sumu imekuwa mtindo wa wabobezi,...na msimamo wa mzee huyu wabobezi waliujua na huenda ndio mojawapo ya mbinu hiyo ilipokuwa na lengo la kuondoa vigingi ili kutomzuia mbobezi.
Tunaposema kuna wahuni wachache ndani ya chama na serikali huenda humaanisha hili.
Ila Membe wa chadema ndio anawezaCcm wote ni weupe hakuna mwenye uwrzo binafsi wa kuongoza ncgi. Mfano akina Jpm, mwigulu, makonda na akina Gambo et al.
Walimzuia wapi? Anafikiri form zinapatina twitter?Atachukua wapi kama wanamzuia?? Kama hawamwogopi wafanye uchukuaji fomu uwe huru.Kwanini unataka achukue fomu nyuma ya pazia??
Kuibuka toka wapi?!Naona umeibuka! Vipi corona?
Ok.. Sikujua hilo, mwambie achukue tu sisi chadema tuta mpigia kura kwani Lisu ni mani mbele ya Mangula!Ndio.
Fomu nyingi zipo Zanzibar huku Bara imeprintiwa moja tu.mjomba ako jiwe muoga sana maana alijua kabisa kuwa hakubaliki na yeyote ila analazimisha tu.
ITATEGEMEA NIMEAMKAJE SIKU HIO.Ok.. Sikujua hilo, mwambie achukue tu sisi chadema tuta mpigia kura kwani Lisu ni mani mbele ya Mangula!
Kafananisha kwa sababu mfumo wa vyama unafanana vyama vingi ila sio kwa utajiri au kitukingine.sasa unataka tufananishe na china kweli.najua ulikuwa kujaelewa nini kinaendelea ulikulupuka.Kufananisha Marekani na Tanzania huo utaratibu aliwafunza nani tangu lini MAREKANI NA TANZANIA ZIKAFANANA ...toeni hoja zinazoeleweka NYUMBU
Ulikokuwa umejificha! Naona ulienda Kenya au Uganda na Rwanda kujificha coronaKuibuka toka wapi?!