Benard Membe: Trump alishindanishwa na wenzake na akashinda kugombea awamu ya pili

Umekuja Tanzania lini ?

Mangula alirudishwa na JK kuwa makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara , 2012 na JPM kaendelea naye
 
Mwambieni membe aache uwoga awe jasiri
Fomu ya dola au urais? Pia kuna taarifa kua printer ya kuprint fomu nyinigine imeharibika ,kirusi kimeitafuna file yenye fomu na ile iliyotolewa imeisha jazwa.
Tupo Dodoma maana tumehamia huko sio kukaa DSM
 
Kwa hiyo Trump anagombea awamu ya 3 sio ya 2 ?
 
sasa anajua kuna tofauti za tamaduni anachoshangaa ni nini?? huwa naelewaga kushindwa kumuelewa mtu, membe akae kimya tu ni busara pia kuliko huku kulialia kila siku wenzake wanafanya kweli, si akachukue hiyo fomu ...
Achana namambo ya utamaduni angalia katiba inasemaje.kama enzi za jakaya mgombea mwenza hakuwepo unalazimisha na sasa asiwepo.
 
Hii TANZANIA SIO MAREKANI... mbona hajatumia mfano wa China au Urusi ( Demokrasia sio kama chupa ya coca cola ifanane kila nchi) ... Tanzania has its own model of Democracy Zwazwa mkubwa
Acha uppuuzi Urusi na Uchina hakuna demokrasia. Ukandamizaji kwa kwenda mbele.
 
jiwe anajua kwamba jamaa ana mtandao mkubwa ccm kuliko yeye kwa io anajua akikubali tu membe agombee uhakika wa kupita kwnye kura za maoni ni mdogo
 
CCM waliona mapema kumkata miguu huyu jamaa. Angewasumbua sana kama bado angekuwa ndani ya chama.
 
Mmh njaa mbaya sana...si muwapeleke mahakamani sasa?si facts mnazo?kwann mnakaa nyuma ya Keyboard?
 
Kwa hiyo Trump anagombea awamu ya 3 sio ya 2 ?
Heading yako inasema "...na akashinda kugombea awamu ya pili" , ni wapi kwenye hiyo tweet amesema "ameshinda kugombea awamu ya pili"?
 
Ulikokuwa umejificha! Naona ulienda Kenya au Uganda na Rwanda kujificha corona
Sasa hoja ya corona na huu mjadala vinahusiana vipi?! Btw, umetowa wapi dhana ya eti "...nililokokuwa nimejificha"?!
 
Heading yako inasema "...na akashinda kugombea awamu ya pili" , ni wapi kwenye hiyo tweet amesema "ameshinda kugombea awamu ya pili"?
Nanukuu *Chama Cha Republican kimempitisha Donald Trump kuwa Mgombea kwa sharti la kushinda* mwisho wa kunukuu

Swali
Mgombea wa Republican nafasi ya Urais mwaka huu Ni Nani ?
 
Sasa hoja ya corona na huu mjadala vinahusiana vipi?! Btw, umetowa wapi dhana ya eti "...nililokokuwa nimejificha"?!
Mbona jiwe alijificha chato na alikaa kimya.achananae shemeji yetu huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…