Huyo aliyeanzisha uzi ni utopolo mwenzako, kwa hiyo usiseme 'mmeanza'Mmeanza sasa,mbona sikuona dalili yoyote ile ya hayo unayosema,Kipa alilala chini kusogeza muda angalau waende kwenye matuta baada ya kuona wale jamaa wanakuja Kwa speed sana.Hata angeingia Beno angeweza kufungwa tu,samtaimzi tukubali matokeo ya mpira wa miguu......tuache kutafuta mchawi
mshale wa Kibu dengaLabda angedaka DIARA mdaka mishale
Labda Mgunda angejitahidiHata angedaka Nani .....lazima wangepigwa tu...
Labda angedaka DIARA mdaka mishale
Mkuu umeandika kwa hisia sana.Acheni hizo bnana!!huyo manula mwaka jana aliokoa penalty ngapi?!!Tulisha wachoka na mambo yenu hayo.
Kweli kabisa mkuu upo sahihi.Nilidhan jana makolo wangefuzu ½ fainali, ila kadri dakika zilivyoenda nikagundua bench la ufundi hawana akili, coach wa makipa wa Simba apigwe makofi hakumuandaa dogo kudaka penat, coach apigwe makofi angecheza Psychological game angemtoa Dogo angemuingiza Kakolanya adake penat, inshort jana coach alikua anauwezo wa kulazimisha afuzu kwa kupata sare ya 1-1... Wydad jana walicheza kawaida sana ni vile simba walifeli kimbinu...
Hayo maswali unamuuliza nanUjinga mtupu
Kwaiyo before huyo dogo ajadaka Simba imeingia nusu fainali mara ngapi?
Hii hata mimi nililiona ila bado nikashangaa hawakufanya hvyo.Dakika za mwisho kabisa muda wa lala salama keptein Mohammed Hussein alimfuata kipa wake Ally Salum nakumuuliza kuwa ataweza kudaka penati
Ally Salum alisema/alionyesha ishara ya kuwa hatoweza kudaka penati.
Keptein Mohammed Hussein alimwambia jidondoshe ili ufanyiwe sub aingie kipa mwingine.
Bwana mdogo alitii agizo kutoka kwa keptein na akawa anaonyesha ishara ya kufanyiwa sub na keptein alionyesha ishara ya sub lakini benchi la ufundi Lili kaidi kwa kile alichokua anakiomba keptein Mohammed Hussein (Tshabalala)
Kwa hiki lawama ziende kwenye benchi la ufundi Simba sc kwa kukaidi maelekezo kutoka kwa keptein kwani bwana mdogo Hana experience ( uzoefu) katika kudaka penati lakini benchi la ufundi lilifumba macho.
Hata Yanga anatolewa Yanga na Simba Ni timu uchwara
Hivi zile Penati zenyewe ulibahatika kuziona au ulikua ukizisikiliza kwa matangazo ya redioni tu?Dakika za mwisho kabisa muda wa lala salama keptein Mohammed Hussein alimfuata kipa wake Ally Salum nakumuuliza kuwa ataweza kudaka penati
Ally Salum alisema/alionyesha ishara ya kuwa hatoweza kudaka penati.
Keptein Mohammed Hussein alimwambia jidondoshe ili ufanyiwe sub aingie kipa mwingine.
Bwana mdogo alitii agizo kutoka kwa keptein na akawa anaonyesha ishara ya kufanyiwa sub na keptein alionyesha ishara ya sub lakini benchi la ufundi Lili kaidi kwa kile alichokua anakiomba keptein Mohammed Hussein (Tshabalala)
Kwa hiki lawama ziende kwenye benchi la ufundi Simba sc kwa kukaidi maelekezo kutoka kwa keptein kwani bwana mdogo Hana experience ( uzoefu) katika kudaka penati lakini benchi la ufundi lilifumba macho.
True colours za Makolo fc ndo hivi mitusi grade one! Mbumbumbu fc wanatisha kwa matusi! Bila Kutukana Raha hamna!We ulimsikia nani utopolo big. Mechi ya Simba we inakuwasha nini mbwa wewe
Sis WaTz ni wakarimu sana ni desturi yetu kumuonea huruma marehemu na kumuombea na kumpa Maua yake!!Usituzungumzie sisi Simba hayakuhusu kwanza..tufungwe sie nyie ndo muumie hii imakaaje..
Fuatilia vizuri utagundua kibu alikua ameshatoka ule muda wanaingia Moses phiri kuja kupiga penatiZimbwe jr alitoa ishara abadirishwe KibuD na sio Kipa.
Nyie basi ni majeneza..wote kwa pamoja vinaozaSis WaTz ni wakarimu sana ni desturi yetu kumuonea huruma marehemu na kumuombea na kumpa Maua yake!!
Mkuu mbona unatumia hasira sana [emoji16]Nyie basi ni majeneza..wote kwa pamoja vinaoza