Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwakweli sijaelewa.Hakuna anayepinga unachokisema uko sahihi, lakini ninachopinga ni wewe kukataa kuwa ubalozi wa Syria uliopo urusi umepandisha bendera mpya na ukasema kuwa kuwa ubalozi wa Syria umepandisha bendera Syria wakati ubalozi upo urusi
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Putin anakuwa mtu wa kushirikiana na hata fisi ilimradi tu yeye mambo yake yawe sawa, maana huko anakoenda anakujua mwenyewe
Ahsante!Wewe ndio umeongea ukweli
Kama urusi hautambui ubalozi hakuna wa kulazimisha bendera ipandishwe. Bendera imepandishwa kwa sababu Urusi imekubali ubalozi wa Syria
Hatutumii nguvu huo ndio ukweli wamesema hawatashambulia kambi zake na majeshi yake yaendelee kukaa. Hayo mengine umesema weweMnatumia nguvu nyingi kumsafisha Urusi na aibu. Urusi mabomu yake hayakufua dafu dhidi ya Waasi.
Ila kuipandisha ni lazima kwanza serikali ya nchi ambako ubalozi upo itambue serikali inayo tumia bendera hiyo.Kwenye diplomasia ubalozi unachukuliwa ni territory ya nchi husika sio ile host state. Kwa hivyo waliopandisha bendera ni wa Syria sio urusi.
Wewe ndiyo unataka kuleta ubishi usiokuwa na maana, suala la ubalozi wa tz kuwepo marekani Lile eneo la ubalozi linatambulika ni ardhi ya tz lakini haiondoi maana ya kusema Hilo eneo la tz lipo marekani,
Hapo ubalozi wa Syria uliopo urusi ulipandisha bendera mpya, hapo limetaja urusi ili kuleta maana
Labda nikuulize ubalozi wa Syria uliopo urusi, marekani na ufaransa kwa mtazamo wako unaweza ukaelezea vipi kwa pamoja na ukaeleweka????
Hamna cha chess wala nini Pro NATO mmepigwa chenga za maudhi na DUBU,ngoja mtaona baadae kwamba chui kavishwa ngozi ya kondoo kwanza
Mkifanya hivyo mtakuwa mmetumia hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja na kuthibitisha kuwa hamna mantiki wala ukweli wa hoja.Nina wazo...
Kwanini tusitafutane wana jf kama watano hivi alafu tumkamate huyu Kiranga tumpigee weeeeh....
Alafu tunamfunga kamba tunamchapa bakora za mgongoni...
Haiwezekani anatufanya sisi watoto na mambo yake ya mantiki sijui ukweliπππππππππ
Hakuna anayepinga Hilo nakubaliana nae kabisa,Wewe ndio hujaelewa. Kidiplomasia pale ni Syria. Nikupe mfano Kipindi cha mauaji ya kimbari pale Rwanda, wale interahanwe walishindwa kuingia kwenye ubalozi wa Tanzania na kuwaua watutsi au watanzania waliokuwa wamejificha mle. Kwa sababu kuvamia mle ingekuwa ni sawa na kuvamia territory ya Tanzania. Kasome kesi ya Kimataifa ya the asylum case Peru v Colombia.
Hiki ndicho alichokiandika jamaa kupinga alichokiandika mleta mada, Sasa hii comment halafu linganisha na alichokiandika mleta mada πππWewe ndio hujaelewa. Kidiplomasia pale ni Syria. Nikupe mfano Kipindi cha mauaji ya kimbari pale Rwanda, wale interahanwe walishindwa kuingia kwenye ubalozi wa Tanzania na kuwaua watutsi au watanzania waliokuwa wamejificha mle. Kwa sababu kuvamia mle ingekuwa ni sawa na kuvamia territory ya Tanzania. Kasome kesi ya Kimataifa ya the asylum case Peru v Colombia.
Una elimu ndogo juu ya dipromasia huwezi kupandisha bendera kwenye nchi fulani bila serikali ya nchi hiyo kuitambua serikali yenye bendera hiyo bendera.Hiki ndicho alichokiandika jamaa kupinga alichokiandika mleta mada, Sasa hii comment halafu linganisha na alichokiandika mleta mada πππ
Hilo eneo ilipopandishwa bendera SIO Russia bali ni Syria. Hivyo Russia HAWEZI kwa namna yoyote kuwazuia Wasyria kufanya chochote kwenye ardhi yao ili mradi tu hawavunji makubaliano ya "The Vienna Convention".
Yaani hiyo mantiki utajua wewe ila naandaa mpango tukikukamata ni misumari tuu..Mkifanya hivyo mtakuwa mmetumia hoja ya nguvu badala ya nguvu ya hoja na kuthibitisha kuwa hamna mantiki wala ukweli wa hoja.
Ndiyo hivyoo hata mkinisulubu mtakuwa mna prove point yangu tu bado.Yaani hiyo mantiki utajua wewe ila naandaa mpango tukikukamata ni misumari tuu..
Haiwezekani unasumbua wenzako hiviππππ
Ulichokifanya juu pale kwa Yahya Al Sinwar unaona sawa au ni kutaka ugomvi na watu humu ππNdiyo hivyoo hata mkinisulubu mtakuwa mna prove point yangu tu bado.
Hahaa. Kwa nini unaandika hivyo mkuu?Ulichokifanya juu pale kwa Yahya Al Sinwar unaona sawa au ni kutaka ugomvi na watu humu ππ
Mwenzako anasema ishu ya mantiki.. wee unasema ndo ukweli...Hahaa. Kwa nini unaandika hivyo mkuu?
Hata ukinipiga kunipiga kwako hakubadili mantiki ya ukweli πππMwenzako anasema ishu ya mantiki.. wee unasema ndo ukweli...
Akisema akubali ni ukweli. Wewe unasema ukweli wa mantiki .
Unakua unamuacha mwenzako njia panda that why nasema kuna siku tutakushika tukupige kwanza π
Umeanza sasa...Hata ukinipiga kunipiga kwako hakubadili mantiki ya ukweli πππ