Bendera ya Israel ndani ya magari ya Dar ni siasa tu au kuna la zaidi?

Wewe ndio utakuta usali na kujiita mtu wa Dini na Mcha Mungu na hapa JF unashuhudia Uongo... ulevi hapa ni upi? na Matatizo ya akili ni yapi? Watu wa Dini siku zote ndio wakorofi na wasio amini hadith huwa wapo huru
Kasome ulichoandika katika post yako halafu utaelewa ninachouliza. Maana katika hiyo post umenitusi na kunisema vibaya kana kwamba tuna ugomvi. Bado najiuliza ni ulevi, hasira au matatizo ya akili?
 
Kasome ulichoandika katika post yako halafu utaelewa ninachouliza. Maana katika hiyo post umenitusi na kunisema vibaya kana kwamba tuna ugomvi. Bado najiuliza ni ulevi, hasira au matatizo ya akili?
Nadhani ungesoma wewe maana ndiye nilikuandikia... bora uendelee kujiuliza
 
Ibrahimu aliahidiwa na mungu mwenyewe atakae mbariki na yeye atabarikiwa na yeye atabarikiwa,akiilaani na yeye atalaaniwa.Vilevile kwa Israel
 
Na wewe weka bendera ya Hamas
 
Umejibu kwa hekima sana
 
Amina...
 
Katika mambo ambayo nayafuata na kuyatii ni hili la kuamini juu ya Taifa la Israel. Naamini kuwa ni Taifa teule la Mwenyenzi Mungu aliye hai na ninaamini kuwa juu ya Taifa hili kuwa Mungu aliye hai alijidhihirisha katika uandishi wa Maandiko Matakatifu yaani BIBLIA TAKATIFU na historia nzima ya Ukristo.

Ninakisihi wewe Mkristo mwenzangu usilidhihaki taifa hili wala kulisema vibaya, liheshimu sana na kuliombea. Taifa hili ni msingi mkuu sana wa Ukrisro wako.
Ameen...!
 
Ibrahimu aliahidiwa na mungu mwenyewe atakae mbariki na yeye atabarikiwa na yeye atabarikiwa,akiilaani na yeye atalaaniwa.Vilevile kwa Israel

Vizuri sana. swali linarudi palepale....Je, ni israeli hii iliyopo sasa au ni ile ya agano la kale?
 
Mbona hamswali kama Wayahudi?
Sisi tunaswali kama Injil inavyosema: Mathayo 6:10, na Luka 4:43.
Qur'an: Surat al Fatihaa:1.

'Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema na Mwenye kurehemu. (Baba yetu ilie Mbinguni jina lako litukuzwe)

Sifa zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa Viumbe vyote.

Mwingi wa Rehema na Mwenye Kurehemu.

Mwenye Kumiliki siku ya Malipo (Kiama)

Wewe tu (mwenyezi Mungu Mmoja) ndiye tunae kuabudu, na Wewe tu ndiye tunae kuomba msaada.

Tuongoze katika njia iliyo nyooka (Uislaam)

Njia ya wale ulio waneemesha (manabii na watu wema), siyo ya wale ulio wakasirikia (washirikina na waovu), wala wale walio potea (waabudu sanamu na miungu ya uzushi)

Mlaleo wayahudi wao sala yao imeandikwa wapi !?
 
Bendera ya Israel inaitwa 'the star of David.' Wanaoitundika popote pale ni wakristo na wanaihusisha na imani yao ya kikristo. Wengi wetu tunafahamu uhusiano kati ya mfalme na nabii Daudi na masihi Yesu Kristo. Hakuna siasa katika hili.
NITAWABARIKI WALE WATAKAO KUBARIKI
 
Mkuu ni kweli kabisa bendera ya Israel imepepea kwenye magari mengi lakini kumbuka Israel ni Taifa teule kama vitabu vitakatifu vinavoeleza wakati Tanzania au hispania ni mataifa ya kawaida
Haya mawazo ndio yana wapa kiburi waiziraeli kukiuka haki za binadamu na kufanya uhalifu wa kivita bila hata kushitakiwa kwasababu wao ni "WATEULE"
 
Alikuwa anasali msikiti gani?
'Na viliomo mbinguni na ardhini vinamsujudia Mwenyezi Mungu tu vikitaka au visitake. Na pia vivuli vyao asubuhi na jioni.
Qur'an: 13:15.
Je, wanataka dini isiyokuwaya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichopo mbinguni na ardhini kimesilimu kwa kumtii Yeye (Mwenyezi Mungu) kikipenda au kisipende, na kwake Yeye (Mwenyezi Mungu) watarejeshwa (watu woote).

Na anaye tafuta Dini isiyo kuwa Uislaam haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa ni mwenye khasara.
Qur'an:13:83-85
 
Vizuri sana. swali linarudi palepale....Je, ni israeli hii iliyopo sasa au ni ile ya agano la kale?
Mkuu Maswali yako yapo low sana... Unapozungumzia jina Israel basi unazungumzia Yakobo au Waislam huita Yakub... so Watoto na wazawa wa Yakobo ndio waliitwa Watoto wa Israel ambaye ni Yakobo... so ndio Maana Historia imewazungumzia tokea miaka hiyo 3500 iliyopita hadi leo hii vizazi vyake vipo so hawana Jina lingine zaidi ya hilo la Waisrael damu ni nzito kuliko maji... kama mawazo yako yanaweza kataa hili basi wewe ni mtu mwenye uwezo wa kukataa kila kitu utakachoambiwa hakika... Hawa Jamaa waliweza tunza record zao tokea vizazi vyao.... ila hamna Shida ya wewe kukataa au kukubali au kushangaa.. ila waweza pay a visit maeneo ya middle east kujionea Mambo...

Ukifuatilia sana before miaka 3500 iliyopita yasemekana Wayahudi walitokea Huko Perian na Uturuki na Uturuki ndio yasemekana Safina ilipotamia milimani juu Kwahiyo the first civilization after gharika ilikuwa ni katika nchi ya Uturuki
 
Unataka nianike uislam ulipotokea na ulianzaje acha uzushi Majini na Injili ni tofauti kabisa...
 
Mlaleo kuwa mpole,kila mwenye hoja alete tujifunze na kupata uelewa zaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…