Bendera ya Israel ndani ya magari ya Dar ni siasa tu au kuna la zaidi?

Bendera ya Israel ndani ya magari ya Dar ni siasa tu au kuna la zaidi?

Misaada inayopata Israel toka Marekani siyo misaada kama tunayopewa sisi. Marekani inalazimika kupeleka misaada Israel kwa sababu walipa kodi wakubwa kwa maana ya matajiri wakubwa wa Marekani, watunga sera wa Marekani, wataalam wakubwa kwenye taasisi za kisayansi Marekani, ni Waisrael. Waisrael wa Israel wanapokea hela kutoka kwa Waisrael wenzao wa Marekani.

Waisrael wote ni raia pia wa Marekani, unaelewa maana yake nini?

Israel inapokea msaada wa mabilioni ya dola kila mwaka kutoka marekani ikifuatiwa na misri,sasa kama ina uwezo na kujitegemea ingekuwa inasaidiwa kama hivyo? Nionavyo na kuhusiana na swali la mtoa mada ni ushirikina tu ndio unawasumbua watu si kingine chochote
 
Kila Muisrael ni raia wa Marekani. Israel inapokea pesa toka kwa Waisrael wenzao walioko Marekani.

Usidanganyike ukadhani Israel inapokea misaada kama nchi nyingine yoyote ile Duniani. Israel inaongoza Dunia, Huko Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, wayahudi mdio waliopo kwenye top positions.

Wayahudi ndiyo watu wanaoaminika kuwa na IQ ya hali ya juu kuliko wengine. Binadamu anayeaminika kuwa ndiye alikuwa na akili ya hali ya juu kuliko wote, Mwanasayansi Eisten alikuwa Jewish.

Waisrael ndio watu wanaoongoza kwa ugunduzi wa kisayansi kuliko Taifa lolote lile
www.israel21c.org/israels-top-45-greatest-inventions-of-all-time-2/

Israel inaogoza kwa kupokea misaada mikubwa ya kiuchumi na kijeshi kutoka marekani na misaada isiyo na masharti. waafrika tumedanganywa kuwa tunapewa misaada walati Israeli government inanufaika na misaada ya kweli sisi tunaambulia misaada midogo tena yenye masharti magumu. ikitokea siku ambayo Marekani atasitisha misaada na uhusiano na Israel huo ndio utakuwa mwisho wa Israel.

Amini usiamini Israel inapokea misaada kuliko nchi yoyote ile Afrika, Tanzania tunapokea misaad a kidogo kuliko Israel inavyopokea misaada kutoka Marekani
 
Tafuta kwenye Biblia mwanzo hadi mwisho hukiti jina la Tanzania wala Tanganyika,,

Israel ni jina teule limetoka kwa MUNGU YEHOVA mwenyewe kapewa mzee Jacob,, Tanzania ni jina tu kama ulivyo jiita wew Emmadogo,,

Mataifa yote yanayo ichukia Israel hulaaniwa na Mungu ,, vita haiishi nchi mwao,, Libya, Misri,, Syria,, Iraq,, Lebanon,, Yemen,,Afganstan,, Somalia,, Sudan nk.

Lakini nchi zote duniani zenye mapenzi mema na Israel zina wingi wa Amani na furaha kwa raia wao,, na ndio limbo lip kwa watu wa mataifa yenye chuki dhidi ya Israel,,
Kwani hiyo Israel wana amani waangalie hapa walipata kichapo kizuri 2006

 
Umeandika ya kujifurahisha lakini sidhani kama una elimu yoyote kuhusu Christianity na Judaism.

kwanini ulimsikiliza Mtumishi mjinga na muongo.... hana akili pia.... hajui kuwa vizazi vya waisrael ndio hivyo hivyo hadi leo hii.... Most of christian followers hawajui Mungu wao anaitwa jina gani na anataka aabudiweje.... Roman empire ilifanikiwa kuwapumbaza ili kuenda tofauti na Mungu wa Waisrael so watumishi wake hubabaika na majibu ya kijinga kama hilo alilokupa.... Waisrael ndio Wenye Mungu huyo ambaye Yesu Myahudi alikuwa akimuabudu tena Siku ya Saba ya Juma... siku hiyo kazi unasema basi yaani ni kuget rest. ndio imeandikwa hivyo... Roman akaipindisha watu waende maboya hao hao Watumishi Wakiulizwa hujibu kijinga ati siku zote ni za Mungu sio ya Saba pekee....Wao ndio waliotoa maagizo ya uungu? STUKA.. kwa akili ndogo Watumishi ni wapotofu... na ukiwafuata ndio njia potofu.... Ukitizama Mafundisho ya Wayahudi ni tofauti na huu uitwao Ukristo yaani ni total different yaani hapo unabakia kutowaelewa wakristo hizi njia za kuabudu wanafuata Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo? maana wanaofuata ni Waisrael wao wana Mungu wao? Mkuu kama Dini watu wengi wanapotoshwa sana sometimes huwa Natamani Nilie maana ni Sawa na mtu unasafari ya kwenda Arusha kibao cha kuelekea Mtwara ndio kimeandikwa ARUSHA ukishika njia hiyo Arusha hufiki hakika.... STUKA ndugu
 
Kwani wote wanaondika maneno ya kiarabu kwenye magari yao ni waarabu?
Cha msingi kila MTU ana Uhuru wa kufanya chochote ilmradi hajavunja sheria
 
Hao wanaoweka bendera ya Israel kwenye hayo nadaladala ni wakuhadi wa Al Shabab, wanafanya hivyo kutafuta kisingizio cha ndugu zao Al Shabab kuja TZ kutega mabomu na kuweka nchi yetu kama Somalia.
 
Karatasi tu au kitambaa kidogo wanaweka, nini kinakukwaza.
 
na ukiwauliza wanatokwa na povu na kutukana mbaya
Maana mi mwenyewe ni mkristo but kuna kitu hakieleweki na watu wanafuata kama mkumbo tu. Kuna jamaa juu kaelezea vzr kuna the government of Israel na kuna taifa LA Israel na kinachoongelewa kwenye bible ni Taifa LA Israel . na government ndiyo satanic na ndio walioitengeneza hiyo bendera na hiyo nyota ni satanic symbol na hilo ndilo shetani alipowazidi ujanja waisrael kama taifa. Anawaongoza bila wao kujijua. Na sisi vilevile bila kujua tunafuata kama upepo we don't think we don't ask. Stupid of us
 
Hiyo nchi ilibalikiwa from beginning that's why. Unavoona sayansi na teknolojia, chanzo ni Israel. na wavumbuzi wa mambo mengi duniani ni Wayahudi. so unavoona bendera nyingi kwa daladala ni wanapata mibaraka coz Israel. maana Sir God alisema JAMAA ZOTE ZA DUNIA ZITABARIKIWA KUTOKANA NA TAIFA LA ISRAEL
We mwenyewe ushachemka utamuitaje MUngu sir?? Hicho ni cheo cha kibinadamu na ndio maana yupo shoga ambye ni sir.
 
Tafuta kwenye Biblia mwanzo hadi mwisho hukiti jina la Tanzania wala Tanganyika,,

Israel ni jina teule limetoka kwa MUNGU YEHOVA mwenyewe kapewa mzee Jacob,, Tanzania ni jina tu kama ulivyo jiita wew Emmadogo,,

Mataifa yote yanayo ichukia Israel hulaaniwa na Mungu ,, vita haiishi nchi mwao,, Libya, Misri,, Syria,, Iraq,, Lebanon,, Yemen,,Afganstan,, Somalia,, Sudan nk.

Lakini nchi zote duniani zenye mapenzi mema na Israel zina wingi wa Amani na furaha kwa raia wao,, na ndio limbo lip kwa watu wa mataifa yenye chuki dhidi ya Israel,,
Kwahiyo hata shetani akiipamba Israel Leo nae atabarikiwa!?? Maana kwa jinsi andiko.linavyosema halikuweka mpaka wa nani abarikiwe. Na ndio maana USA ambayo ndio mpango wa shetani kutekeleza satanic missions zake nao wanaisapoti Israel ili watimize mambo yao na MUngu anawabariki pia!??
 
Haa huu uzi wakina
Cc
FaizaFoxy
kahtaan
big SHOW
[emoji2]

waje kuutafuna mapema ha ha ha .. Kama kawa
Wakija huko juu wachangiaji wote wata stop. Manake wanakomalia ile mbaya . mbavu zangu mie
 
kun

nadhani ni kasumba tu kwa baadhi ya wafuasi wa yesu kudhani bendera ya kizayuni ya israeli inawakilisha israel ya ndani ya biblia takatifu. israel ya leo ni nchi ya mazayuni wabaguzi wakubwa. ni nchi sawa na apartheid south africa.
Ni Nchi teule ndugu ni taifa la Mungu kubali usikubali huo ndio ukweli! hata siku 1 maneno ya Mungu huwa hayafutiki kabisa na kiapo chake huwa hakitenguliwi! POLE SANA!
 
Misaada inayopata Israel toka Marekani siyo misaada kama tunayopewa sisi. Marekani inalazimika kupeleka misaada Israel kwa sababu walipa kodi wakubwa kwa maana ya matajiri wakubwa wa Marekani, watunga sera wa Marekani, wataalam wakubwa kwenye taasisi za kisayansi Marekani, ni Waisrael. Waisrael wa Israel wanapokea hela kutoka kwa Waisrael wenzao wa Marekani.

Waisrael wote ni raia pia wa Marekani, unaelewa maana yake nini?
Hata Russia ilikua inalipwa pesa na UsA. Baada ya kuanguka.soviet union.

Sasa ni kuangalia nini nyuma ya haya malipo. Ndio kitu cha Msingi. Utakuta kuna stipulation mahali kwamba ni lazima kwa USA kuwapa posho ya kujikimu misri na Israel like wise Russia.
Wakati wa vita ya mwaka 90 Israel ilishambuliwa na sadam haikujibu.kwakua USA aliiomba isijibu atailipa kwa hasara itakayojitokeza. Israel ikawa inajihami.na makombors ys patriotic. Hapa sio kwamba Israel NJ lele mama, Bali hii mikataba yao Ina string attached ndio maana kuna utulivu fulani...
 
It wasn't by chance
Mie ndio kabisa sitaki kufungamana na huyo mungu wenu kuwa kuwa Israel ni Taifa lililolaaniwa na Mungu! Sitaki kabisa kufuata hicho kitabu chako kwani mie naamini ktk maandiko kuwa 'atakaeilaani Israel nae amelaaniwa'
 
Maana mi mwenyewe ni mkristo but kuna kitu hakieleweki na watu wanafuata kama mkumbo tu. Kuna jamaa juu kaelezea vzr kuna the government of Israel na kuna taifa LA Israel na kinachoongelewa kwenye bible ni Taifa LA Israel . na government ndiyo satanic na ndio walioitengeneza hiyo bendera na hiyo nyota ni satanic symbol na hilo ndilo shetani alipowazidi ujanja waisrael kama taifa. Anawaongoza bila wao kujijua. Na sisi vilevile bila kujua tunafuata kama upepo we don't think we don't ask. Stupid of us
Sio kila unachoamini wakristo wengine wanaamini. Iwe satanic iwe sio, jua wasio amini wapo. Soma historia kamili ya bendera ya Israel.wikipedia..
Achana na conspiracy. Shetani hana bendera
 
Back
Top Bottom