Msambichaka Mkinga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 1,649
- 2,911
Misaada inayopata Israel toka Marekani siyo misaada kama tunayopewa sisi. Marekani inalazimika kupeleka misaada Israel kwa sababu walipa kodi wakubwa kwa maana ya matajiri wakubwa wa Marekani, watunga sera wa Marekani, wataalam wakubwa kwenye taasisi za kisayansi Marekani, ni Waisrael. Waisrael wa Israel wanapokea hela kutoka kwa Waisrael wenzao wa Marekani.
Waisrael wote ni raia pia wa Marekani, unaelewa maana yake nini?
Waisrael wote ni raia pia wa Marekani, unaelewa maana yake nini?
Israel inapokea msaada wa mabilioni ya dola kila mwaka kutoka marekani ikifuatiwa na misri,sasa kama ina uwezo na kujitegemea ingekuwa inasaidiwa kama hivyo? Nionavyo na kuhusiana na swali la mtoa mada ni ushirikina tu ndio unawasumbua watu si kingine chochote