Bendera ya Israel ndani ya magari ya Dar ni siasa tu au kuna la zaidi?

Kuwapo kwa bendera hiyo inamaanisha kuwa wao wanafurahia Kimtindo waisrael wanavyowafanyia wapalestina, kindanindani watu hao pia ni wadini na ni lazima watakuwa Christian's extremists.
 
Nani kakwambia Sayansi na Technologia imeanza na Israel. Fuateni mdundiko tu. Dah ndio mkapelekwa ugahibuni katika Utumwa Mamboleo

Might is not right
 
Pumba!!!
 
Msambichaka Mkinga kaongea jambo LA KWELI mkuu... Fuatilia historia utasoma hii kitu.
 
Cc kahtaan FaizaFoxy big show Elungata
 
Utafsiri wa biblia ni mpana sana.Israel sio tu mahali pale ni dunia nzima na watu wake .atakaye wapenda watu wangu atabarikiwa.atakaye walaani watu wangu naye atalaaniwa pia
 
Cc

kahtaan
Pol Pot
Mahmood
FaizaFoxy
Elungata

[emoji2] [emoji2]
 
kinachokuuma katika hilo ni kipi? Na wewe si uweke bendera unayoitaka katika gari lako?
Hivi hujui Tanzania una uhuru huo? Kinachofuata ni kipi? Kuhoji kwa nini jirani zako wanakula kuku kila siku au?
 
Kwani wewe ni nani hata kuwapangia watu jinsi ya kutumia resource zao au vitu vya kubandika? Waislam wengi wana picha ya Al Kaaba. Ni Hiyari yao hakuna tatizo. Rastafarians wanapenda kuweka Bendera sijui ya nchi gani ile (Ethiopia?) Na hakuna shida. Kuna wanaoweka picha za Osama, ni hiari yao pia. Hata hao wakristo wanaoweka bendera ya Israel ni hiari yao pia.

Wewe kinakuuma nini? Hangaikia maisha yako badala ya kufuatilia ya wengine. Watanzania kwa usakubimbi hatujambo.
 
TAIFA LA WAYAHUDI LA ISRAEL NI SAFI NA TEULE.HILI TAIFA SIO JIPYA NI LA ZAMANI SANA.WANAOSEMA NI JIPYA WANA HILA ZAO.
HII BENDERA YAO INAPATIKANA WAPI.NAIHITAJI PIA
 
Kitu kilichotuchelewesha Tanzania mpaka kuzalisha umaskini, vita, maradhi ufisadi unaanza pale tulipovunja uhusiano na Israel ashukuriwe
Mungu uhusiano wa kibarozi unarudi, kwa maana hiyo tumeji connect na baraka miaka michache ijayo hatutakuwa kama tulivyo.
 
Watu wenye mawazo mgando kama wewe ndo sababu kuu ya Tanzania kua maskini
 
Sijui tulipatwa na nini sisi watu weusi,dini za babu zetu inaelekea zilikuwa nzuri sana hawa waisrael na waarabu na wazungu na wahindi wanatubagua sana watu weusi hadi wana tu classify kwenye kundi moja la wanyama lakini sie sasa kushbikia nakufia dini zao dah,kama tungekuwa conscious tungejua kuwa tunakitu kizuri sana katika utamaduni wetu ambao umefutwa na hao watu wa races zingine sasa babu pamoja nakutuonea kwa kubaka, kuuzwa, utumwani, kutu rank watu wamwisho kabisa duniani bado hatauna chuki nao.inawezekana utamaduni wa mtu mweusi ulikuwa sahihi sana.kuliko huu ujinga tunaoshabikia sasa.mtizamo tu msijinge chuku mnaoamini dini za wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…