Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
hizi ndo comment za kishamba zinazoharibu mada, ko hata mwanao akikuuliza "baba kwa nin magari mengi siku hz yanabendera ya israeli, utasema kwa sababu ni taifa teule!!?" afu ndo mnasema walimu wanafelisha watoto wenu!Mkuu ni kweli kabisa bendera ya Israel imepepea kwenye magari mengi lakini kumbuka Israel ni Taifa teule kama vitabu vitakatifu vinavoeleza wakati Tanzania au hispania ni mataifa ya kawaida