Benjamin Mkapa: Natamani kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi, Wapinzani wahusishwe kwenye kupiga na kuhesabu kura na kutangazwa mshindi

Kudai tume huru ni kazi kubwa kuliko hata kudau uhuru kutoka kwa mkoloni.

Na ccm hasa magufuli hawezi kukubali kuweka tume huru ya uchaguzi

Na alishasema kuwa yeye hakuahidi tume huru ya uchaguzi.

Kiufupi mwka huu hakuna uchaguzi.
Kama wapinzani wetu ndio hawa wanacheza mdaku waoga wanaogopa risasi bsi utegemew magu atawqpiga mchana kweupe n wananchi hawataemda kupiga kura kwa sababu wanayajua matokeo
 
kweli watapata msuko suko lakini ndo pona yao hakuna mkato wowote ninaoona mimi afadhali wafe wakidai tume na wahesabike katika historia ya nchii
 
Una akili zinafanya kazi vizuri sana.. Kula na kunywa chochote utakacho utastaajabu kuona hiyo bili ikilipiwa in a short while!
 
ninaumwa sana kuona nchi yangu nzuri sana ikipoteta kwa kuwa na watu wanaofikiri umbali wa kivuli ndo wanaoiongoza
Ndo madhara ya elimu bure... Elimu substandard walopewa na wanayoendelea kupewa watu wetu!
Wapo ambao hadi sasa wanaona nchi ipo vizuri kuliko wakati mwingine wowote kwenye historia ya Taifa hili.
 
Una akili zinafanya kazi vizuri sana.. Kula na kunywa chochote utakacho utastaajabu kuona hiyo bili ikilipiwa in a short while!
bili ya tume huru ni kubwa sana mkuu lakini wasiiogope lazima wailipe ili waingie mlango wa mashujaa wa nchi. nyerere pale mbele wao wakifuata nyuma yake
 

I wish viongozi wetu wote vibaraka na hata manguli watauona ukweli hii.

Eeh mola wetu hebu utujalie hekima hii.
 
I wish viongozi wetu wote vibaraka na hata manguli watauona ukweli hii.

Eeh mola wetu hebu utujalie hekima hii.
mkuu mimi nakuambia kutoka bottom of my heart ninaumwa sana naipenda nchi yangu sana mno ila ccm naomba kwa mungu wangu ninayemuamini aiondoe kwa amani maana imetufilisi
 
Bila kuwa na KATIBA MPYA ILE YA WANANCHI pamoja na TUME HURU YA UCHAGUZI

Hakuna hata haja ya kupiga kura.

Ni kupoteza muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo madhara ya elimu bure... Elimu substandard walopewa na wanayoendelea kupewa watu wetu!
Wapo ambao hadi sasa wanaona nchi ipo vizuri kuliko wakati mwingine wowote kwenye historia ya Taifa hili.
ndo maana wakiona unahoji mambo nyeti ya taifa wanatukana tu hawana hoja wameishiwa kabisa wamelewa madaraka
 
ndo maana wakiona unahoji mambo nyeti ya taifa wanatukana tu hawana hoja wameishiwa kabisa wamelewa madaraka

Wanakutukana wakijua wamekushinda kwa hoja...
Ukiendelea wanakudhuru ili ukome...
Ukiendelea zaidi wanakupoteza wakijua utapotea na hoja...
Si upinzani wala watawala... Ukiwapa ushauri mzuri na adhimu wanakuona wewe kama si raia wa nchi hii.. Na huwatakii mema...!
 
tukutane kesho wadau napunzika kwa kuwa nimechoka na pilika za siku
 
Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu Elimu
Kutokana na Elimu duni; Watanzania wengi wanamsikiliza Diamond kuliko hata nafsi zao!
Hapa tunaongelea elimu ipi mkuu?

Maana hii elimu za siku hizi hata mtu akiwa na PH.d hana tofauti na la 7.

Nadhani mifano ya hao watu unaielewa vzr mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…