Benjamin Mkapa: Natamani kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi, Wapinzani wahusishwe kwenye kupiga na kuhesabu kura na kutangazwa mshindi

Tutafika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani BWM ameshafanya kazi yake na yeye ndiye aliyemlea na kumfikisha hapo. Sasa kamchoka. Amesema mpira kwenye penalty spot. Ni juu ya Watanzania kama CCM hawataki. Kimsingi BWM hamtaki Jiwe
 
Jamani BWM ameshafanya kazi yake na yeye ndiye aliyemlea na kumfikisha hapo. Sasa kamchoka. Amesema mpira kwenye penalty spot. Ni juu ya Watanzania kama CCM hawataki. Kimsingi BWM hamtaki Jiwe
Acha upunguani. Mkapa hana lolote. Kwanini hakuruhusu tume huru alipokuwa na mamlaka. Atulize tako kwenye sofa ale supu ya mafao aache uropokaji. Tume tutaipigania sisi makapuku hata ikibidi tutatiana vilema au kuiangamiza nchi alimradi uhuru na demokrasia vipatikane.

Hatutaki demokrasia ya kupewa kama fadhila za watawala. Demokrasia yetu ni ile tutakayoamua wenyewe baada ya kutiana majeraha na kutoana ngeu. Siyo hii ya kuamrishwa na mjinga mmoja anayejiita jiwe kama mmasai anayechunga mbuzi zake.

Hata Ghadafi alijitia upofu akajiona anamiliki kondoo, ila ilipofika siku ya kufika walimwokota kwenye kalvati kama kenge.
 
Hawa watu akili zao huwa sizielewi kabisa.Yaani wakiwa madarakani wanakuwa vipofu na viziwi kabisa.Yeye si alikuwa Rais,na alichokuwa nacho wakati ule kama tume ya uchaguzi alikiita tume huru ya uchaguzi,which was obviously not.Hivi watumishi wa serikali wataundaje tume huru jamani,let us be serious.Hawa si lazima watetee kitumbua chao?How can they logically be against their master.Mkapa ingekuwa busara akanyamaza,hana moral authority ya ku-demand tume huru,ingawa kweli tunaihitaji.

Let me very clear about this,hakuna uchaguzi huru na haki na uhuru wa kuchaguliwa, kama hakuna tume huru ya uchaguzi,huu ndio ukweli.Frankly, namshangaa sana mtu anayetetea tume tuliyo-nayo sasa kwamba ni huru.

Nampenda sana Magufuli,lakini nataka ionekana kwamba kachaguliwe kwa haki,sio kwa mizengwe mizengwe,hapo ndipo nitakapo kuwa na ujasiri wa kusema Rais wangu wananchi wanampenda.Kwani tunacho ogopa ni nini,kama kweli wananchi wanampenda?
 
Mmm kwani wakati anapiga mabomu pemba hakubakiza mengine huko ghalani
 
Mkapa alikuwa nani, na sasa ni nani? Tuanzie hapo.
Mkapa ni rais mstaafu wa Serikali ya Mwuungano wa Jamhuri ya Mwuungano wa Tanzania, na in kada wa CCM.

Leo amekuwa muumini wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa! I would not believe him. Ana ajenda iliyofichika.

Amekemea yanayoendelea nchini?Hayaoni? Yeye na Disciple wake wanashea common interest. Tuseme anataka kumkana ili kuepuka kikombe cha nyumba za serikali na ubinafsishaji wa viwanda vya Nyerere?
 
Mnafiki tu huyu hana kutubu chochote. Kama yuko serious basi aanzishe petition yeye awe wa mwanzo kusaini. Nafasi aliyonayo anao ushawishi mkubwa tu wa kulifanya hilo likatimia. Yeye si ndio aliyechafua mchakato ndani ya CCM na kuwaambia watu asiyetaka kupiga kura atoke, keshasahau leo? Aache kumfanyia Mungu usanii asubiri tu kifo akaonane uso na macho na asiyechukuwa hongo huko!
 
Kwanza ujiulize mtu anayeogopa kuwaachia wananchi wajichagulie mjumbe wa mtaa au mwenyekiti wa kijiji atakuachia eti uchague diwani, mbunge au rais?

Kwa Magufuli sahau mambo ya uchaguzi. Ikiwezekana yeye atapita bila kupingwa na asilia 90 ya wabunge na madiwani watapitishwa kwa lazima.

Magufuli hata umpende yeye hapendeki. Ana mawazo ya kimaskini na hofu kubwa ya kuondolewa endapo ataruhusu uchaguzi huru.
 
Viongozi wote waliopo sasa, hata wale wa Tume wanasema hii tume ni Huru. Hii inasigana na anachokinena Mzee Mkapa
 
Umeniita punguani bila sababu japo fikra zako na zangu zina and outcome moja. Tofauti ni approach
 
Umeniita punguani bila sababu japo fikra zako na zangu zina and outcome moja. Tofauti ni approach
Pole sana. Sijakuita punguani. Nimekushauri usiingie kingi kirahisi kwa hoja ya huyu Mzee. Kwenye demokrasia huyu ni zero kabisa.
 
Kumbe huwa kauli inaangaliwa kaitoa nani
 
Umeenda bila kuona tume huru ya uchaguzi bila shaka viongozi walio baki watafanya kama ulivyo tamani iwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…