Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

Benjamin Natanyahu: kaburi lako halitajaa mchanga

shida umebanwa mavi ya njaa
1000212538.jpg
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Mbona hutaji Hamas,au wao hawauliwi?
 
sio kosa lako maana hata hiyo dini ya kiislamu huijui na hata dini ya kikristo ambayo ndio dini yangu huijui,unaropoka kama ambavyo umevimbewa kwa msosi na bia za bure shubamiti
Hiyo dini ya Kiislam mbona haina shida? Shida ipo kwa waliomo hawaielewi.
Dini ya Kikristo ndo dini ambayo mm ni muumini wake na naijua japokuwa sio kwa undani kivile.
Ni kweli inawezekana ninaropoka lakini si nimeshiba? Raha jipe mwenyewe bro.
We komalia kuwatetea magaidi ambao hata cjui wamekupa nini.
 
Hiyo dini ya Kiislam mbona haina shida? Shida ipo kwa waliomo hawaielewi.
Dini ya Kikristo ndo dini ambayo mm ni muumini wake na naijua japokuwa sio kwa undani kivile.
Ni kweli inawezekana ninaropoka lakini si nimeshiba? Raha jipe mwenyewe bro.
We komalia kuwatetea magaidi ambao hata cjui wamekupa nini.
hakika wewe una shida mie ni mkatoliki kwa kuzaliwa mie sio muislamu,uovu wanaofaniwa wapelestina hauhusu dini ni udhalimu na ujahili wa natanyahu
 
Watu hamna dogo aise nimecheka knoma. Siwez shangaa kuna mmoja anaitwa Oustadhi Simba nilimkuta hayo maeneo nikamuuliza hata ww unakula kitimoto? akanijibu umeona wapi simba anazila nyama?
hoja sio nani anakula nini hoja ni haki ya taifa la wapalestina
 
Bado hamjasema mtasema vizuri akishamalizwa Kobazi Houth kisha gwaride likielekezwa kwa kobazi kuu Ayatollah
usipotoshe hoja hapa hatutaji dini ya mtu tunataja haki ya wapalestina,huo upofu wako juu ya aina ya mavazi ya waislamu,ndio unaokunyima fursa ya kujua ukweli kwamba wanauawa wapelestina ambao wengi wao pia ni wakristo,lakini kwakuwa huhanya yapata mwezi mzima,inabidi natanyahu aje akuchokonoe unye kwa urahisi
 
Kwahiyo wale Waisrael waliokufa October 7 2023 sio watu, hivi unajua BWANA wa majeshi ya MUNGU aliye hai?
 
Kwahiyo wale Waisrael waliokuwa October 7 2023 sio watu, hivi unajua BWANA wa majeshi ya MUNGU aliye hai?
Hakuna Mungu wa majeshi aliye mbaguzi,kwani huyo Mungu wenu wa majeshi huwa hajui kuwa aliumba wapalestina wanaouawa kama kuku? acheni ujinga nyie
 
Kwa uovu na ujahili unaoufanya kwa wapalestina,fimbo ya Mungu inakusuburi,utakufa vibaya na kaburi lako halitajaa mchanga,unaua watoto,wazee,waandishi wa habari,modokta,manesi,wanawake wenye mimba,vikongwe hakika Mungu anakuona siku yako ipo karibu
Lakini hiyo fimbo ya Mungu haitawachapa Wapaleatina kwa mauaji ya 0ktoba 2023?
 
Back
Top Bottom