FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Labda huna habari; mbio za urais wa Brazil zimeshaisha, na mshindi ameshatangazwa.Naona Brazil ,Lula da Silva anaongoza mbio za urais , anaenda kumng'oa Bosonaro
Tusubiri USA labda Trump naye anaweza rudi
Acha ujuaji wakati hakuna ulijualo.Sio kuwa Mungu ana upendeleo la hasha
Baba yao wa wayahudi Ibrahim ndio alikuwa mtu mwenye Imani kwa Mungu peke yake wakati dunia yote ilikuwa imeacha kuamini Mungu wakiwemo mababu na mabibi zako wewe wakageukia kuabudu mizimu
Mzee yule na kizazi chake walisimama na Mungu Miaka mingi kuliko ukoo wenu wa waabudu mizimu mliojua dino juzijuzi tu iwe uislamu au Ukristo
Mlikuwa wapagani tu hadi Miaka ya karibuni hamjui cha Mungu wala shetani naishi kama wanyapori wasio na dini wala kistaarabu
Wayahudi wamekuwa consistent kwenye imani for centuries ndio maana Mungu baadaye alifikia agano nao la urafiki wa yeye na wao forever. Sharti likiwa wakimheshimu atawageshimu wakivunja agano warakiona cha mtema kuni watapigwa na kuuawa na kukimbizwa nchini kwao na kusambaa dunia nzima ila wakitubu atawakusanya toka kila pembe ya dunia warudi kwao ndicho kilitokea 1948 wayahudi kurudi nchi yao ya asili.ambayo walipoondoka ilikaliwa na wafilisti ambao leo wanajiiita wapalestina
Mkurudi wapi weweAcha ujuaji wakati hakuna ulijualo.
Ibrahim hakuwa myahudi bali alikuwa mkurudi.
Unawafahamu waumini walio kaa pale kwenye garden ya airport terminal 2 mwakaule.Mkurudi wapi wewe
Ulkizaliwa mara ya pili na kuwa na uhusiano mpya na Mungu unabadilishwa na Mungu kuanzia jina kama Ibrahim na kabila na taifa
Ndio maana kwenye Biblia wote waumini Mungu ni wana wa Ibrahim ni wayahudi kwa Imani na sio raia wa Dunia hii wako tu hapa kimwili lakini wenyeji wao mbinguni
Ndio Maana Yesu aliagiza chochote wakihitaji wasali baba yetu uliye mbinguni utupe riziki yetu hapa duniani atawaonyesha riziki iko wapi na kuwapa
Sababu yeye ndio source .ambaye Fedha na dhahabu na vyote vijazavyo Ulimwengu ni vyake
Balozi wa Marekani mfano Tanzania Pesa yake na Riziki zake hutoka Marekani kwao sio Tanzania.Tanzania hata iwe na hali ngumu vipi haiwezi athiri maisha ya balozi wa Marekani!!
Vivyo kwa wakristo waamini Mungu si wenyeji wa hii dunia ni mabalozi wa Yesu tu duniani wenyeji wao uko Mbinguni wana prrivellege zote za ubalozi kama kama Balozi wa Marekani na kumzidi riziki zao hazitegemei uchumi.wa Tanzania ukoje hata Ukauke vipi Mungu atawatuma kunguru wawaletee mkate kipindi cha ukame.ambacho hata wakilima kwa bidii vipi hawawezi pata riziki zao !!
Sana tu...imekuuma?Ushamtamani[emoji15]
Sura na umbo...so handsomeKwa kazi au kwa sura...?
Kabisa mkuu....niwe mkweliKwa hiyo ukimuona tu kyupi kinalowa mkuu?
Am so obsessed miss[emoji3531]Unaimwa witty?[emoji23][emoji23] i never saw this coming
Ukurudi ni kabila pia ni asili na siku zote asili ya mtu huwa haibadiliki hata akihamia sehemu nyingine.Mkurudi wapi wewe
Ulkizaliwa mara ya pili na kuwa na uhusiano mpya na Mungu unabadilishwa na Mungu kuanzia jina kama Ibrahim na kabila na taifa
Ndio maana kwenye Biblia wote waumini Mungu ni wana wa Ibrahim ni wayahudi kwa Imani na sio raia wa Dunia hii wako tu hapa kimwili lakini wenyeji wao mbinguni
Ndio Maana Yesu aliagiza chochote wakihitaji wasali baba yetu uliye mbinguni utupe riziki yetu hapa duniani atawaonyesha riziki iko wapi na kuwapa
Sababu yeye ndio source .ambaye Fedha na dhahabu na vyote vijazavyo Ulimwengu ni vyake
Balozi wa Marekani mfano Tanzania Pesa yake na Riziki zake hutoka Marekani kwao sio Tanzania.Tanzania hata iwe na hali ngumu vipi haiwezi athiri maisha ya balozi wa Marekani!!
Vivyo kwa wakristo waamini Mungu si wenyeji wa hii dunia ni mabalozi wa Yesu tu duniani wenyeji wao uko Mbinguni wana prrivellege zote za ubalozi kama kama Balozi wa Marekani na kumzidi riziki zao hazitegemei uchumi.wa Tanzania ukoje hata Ukauke vipi Mungu atawatuma kunguru wawaletee mkate kipindi cha ukame.ambacho hata wakilima kwa bidii vipi hawawezi pata riziki zao !!
Yes babyHuyu mbaba huwaga mzuri
much possible,What a comeback
Tutegemee Trump kuongoza senate na house?
Bolsonaro kashaangukia pua huko.MBS wa Saudi Arabia kafurahi sana. Sasa ni zamu ya Trump kuungana nao 2024 halafu Bolsonaro Brazil 2026. Yani collabo moja matata maamae.
2026 anarudiBolsonaro kashaangukia pua huko.
Wewe ni mvivu wa kusoma vitabu mbalimbaliHakuna nchi inaitwa Palestine kwenye historia
Wale ni Philistines yaani wafilisti kwa kiswahili
Nchi ya Israel no kwa ajili ya wayahudu sio kwa ajili ya wafilisti yaani Philistines
Wawe tu walpole kwa wayahudi
Mipaka ya uyahudi ilichorwa na Mungu mwenyewe
Nchi pekee duniani ambayo.Mungu alisema mipaka yake inaanza wapi na Kuishia wapi ni Israel tu
Biblia shahidi na Joshua shahidi
Mipaka mingine yote binadamu ndio alichora kupitia Berlin Conference kwa Africa kwa nchi nyingine whatever lakini Mungu hakuwa involved kuchora hiyo mipaka
Alichora ya Israel tu
Trump anafanyiwa figisu sidhani kama atarudi WH. Watu wenye roho mbaya wako bize wanataka nyaraka zake za Kodi ziwekwe waziWhat a comeback
Tutegemee Trump kuongoza senate na house?
Umeandika upuuzi Tu 😀Mkurudi wapi wewe
Ulkizaliwa mara ya pili na kuwa na uhusiano mpya na Mungu unabadilishwa na Mungu kuanzia jina kama Ibrahim na kabila na taifa
Ndio maana kwenye Biblia wote waumini Mungu ni wana wa Ibrahim ni wayahudi kwa Imani na sio raia wa Dunia hii wako tu hapa kimwili lakini wenyeji wao mbinguni
Ndio Maana Yesu aliagiza chochote wakihitaji wasali baba yetu uliye mbinguni utupe riziki yetu hapa duniani atawaonyesha riziki iko wapi na kuwapa
Sababu yeye ndio source .ambaye Fedha na dhahabu na vyote vijazavyo Ulimwengu ni vyake
Balozi wa Marekani mfano Tanzania Pesa yake na Riziki zake hutoka Marekani kwao sio Tanzania.Tanzania hata iwe na hali ngumu vipi haiwezi athiri maisha ya balozi wa Marekani!!
Vivyo kwa wakristo waamini Mungu si wenyeji wa hii dunia ni mabalozi wa Yesu tu duniani wenyeji wao uko Mbinguni wana prrivellege zote za ubalozi kama kama Balozi wa Marekani na kumzidi riziki zao hazitegemei uchumi.wa Tanzania ukoje hata Ukauke vipi Mungu atawatuma kunguru wawaletee mkate kipindi cha ukame.ambacho hata wakilima kwa bidii vipi hawawezi pata riziki zao !!
Mkuu uko sahihi ,ila mambo ya kiroho ukiyaleta Huku kwenye kwenye siasa hautaeleweka,Hakuna nchi inaitwa Palestine kwenye historia
Wale ni Philistines yaani wafilisti kwa kiswahili
Nchi ya Israel no kwa ajili ya wayahudu sio kwa ajili ya wafilisti yaani Philistines
Wawe tu walpole kwa wayahudi
Mipaka ya uyahudi ilichorwa na Mungu mwenyewe
Nchi pekee duniani ambayo.Mungu alisema mipaka yake inaanza wapi na Kuishia wapi ni Israel tu
Biblia shahidi na Joshua shahidi
Mipaka mingine yote binadamu ndio alichora kupitia Berlin Conference kwa Africa kwa nchi nyingine whatever lakini Mungu hakuwa involved kuchora hiyo mipaka
Alichora ya Israel tu
Mpiga wagambo anaesifika kwa uwezo wa KIVITA.Palestina na Hisbolah watakuwa na hali mbaya kwa huyu jamaa
Kagame wa israel karejea kidemokrasia.Naftali ni mbabe na mkorofi kuliko Netanyahu ukimfuatilia sema tu Waarabu hawajaleta chokochoko akiwa madarakani na bado hakuungwa mkono sana kwenye uchaguzi mkali. Walirudia uchaguzi kama mara tatu hivi mshindi anakosa mpaka muungano wa vyama ambapo Naftali alikuwa awe Waziri Mkuu kwa nusu ya muhula na unaofuata Waziri Mkuu awe mwingine ambaye sasa ni wa Ulinzi. Hii serikali ilionekana ni ngumu kudumu ila walichoka chaguzi. Bibi mwenyewe kesi yake ya rushwa iliyokuwa inamuandamana haijafika popote kwahiyo ni msafi fulani hivi.
Headlines za Israel zitarudi