Benjamin Netanyahu: Je, ni Kivuli cha Mfalme Daudi Kwenye Biblia?

Benjamin Netanyahu: Je, ni Kivuli cha Mfalme Daudi Kwenye Biblia?

Benjamin Netanyahu ni mwanasiasa maarufu kutoka Israel ambaye ameongoza siasa za nchi hiyo kwa miongo kadhaa. Alizaliwa tarehe 21 Oktoba 1949 huko Tel Aviv, Israel. Netanyahu ni mtoto wa mwanahistoria maarufu, Benzion Netanyahu, na amekuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za Israel kwa muda mrefu.

Netanyahu alihudumu kama afisa wa kijeshi katika Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF), akishiriki kwenye Operesheni maarufu ya Entebbe mnamo 1976. Baadaye, alisomea nchini Marekani, akipata shahada ya kwanza kutoka MIT na shahada ya uzamili katika usimamizi wa biashara kutoka Harvard.

Alianza kujihusisha na siasa mwanzoni mwa miaka ya 1980, akiwa balozi wa Israel katika Umoja wa Mataifa. Mnamo 1996, Netanyahu alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa Israel kwa mara ya kwanza, akiwa kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia, Likud. Huyu alikuwa Waziri Mkuu mdogo zaidi katika historia ya Israel.

Benzion Netanyahu​



Learn more

This article needs additional citations for verification. (October 2023)
Benzion Netanyahu (Hebrew: בֶּנְצִיּוֹן נְתַנְיָהוּ, IPA: [bentsiˈjon netaˈnjahu]; born Benzion Mileikowsky; March 25, 1910 – April 30, 2012)[2][3] was a Polish-born Israeli encyclopedist, historian, and medievalist. He served as a professor of history at Cornell University. A scholar of Judaic history, he was also an activist in the Revisionist Zionism movement, who lobbied in the United States to support the creation of the Jewish state. His field of expertise was the history of the Jews in Spain. He was an editor of the Hebrew Encyclopedia and
 
Mfalme Daudi ni moja ya watu mashuhuri katika Biblia, na vita alivyopigana vinaelezewa hasa katika vitabu vya 1 Samweli, 2 Samweli, na Zaburi. Hapa ni baadhi ya vita muhimu alivyopigana kwa mujibu wa Biblia:

1. Vita dhidi ya Goliathi (1 Samweli 17)

.Akitumia kombeo na mawe matano, alimshinda Goliathi, huku akithibitisha kuwa ushindi hauko kwenye ukubwa au silaha, bali kwenye imani kwa Mungu.

2. Vita na Wafilisti
Daudi alipigana na Wafilisti katika miji kadhaa kama Keila (1 Samweli 23:1-13) na alipokuwa akiwakimbia wafuasi wa Sauli.

Alishinda tena na tena dhidi ya Wafilisti baada ya kuwa mfalme (2 Samweli 5:17-25), akiwapiga sana na kudhoofisha nguvu zao.


3. Vita dhidi ya Sauli

Ingawa Daudi hakutaka kumdhuru Mfalme Sauli, alikimbia mara nyingi kutokana na majaribio ya Sauli ya kumuua kwa wivu na hofu ya kupoteza ufalme.

4. Vita dhidi ya Waamaleki (1 Samweli 30)
Daudi aliwafuata Waamaleki, akawashinda na kuwarudisha watu wake salama pamoja na ngawira.

5. Vita vya Kifalme

Baada ya kuwa mfalme, Daudi aliongoza Israeli katika vita mbalimbali ili kuimarisha na kupanua mipaka ya ufalme. Aliwashinda Wamoabi, Waedomi, Waaramu, na mataifa mengine yanayozunguka Israeli (2 Samweli 8).

6. Vita dhidi ya Absalomu (2 Samweli 15-18)
Absalomu, mwana wa Daudi, alijaribu kumpindua baba yake na kuchukua ufalme. Daudi alilazimika kukimbia Yerusalemu, lakini baadaye jeshi lake lilimshinda Absalomu katika vita,

Hitimisho
Kwa namna huyu mwamba Benjamni Netanyahu alivyokabiliana na Hamas pamoja na Hezbollah wanafadhiliwa na Utawala Iran, ninamuona kama vile ni Mfalme Daudi amekuja kwa sura ya Netanyahu
Hapana, Netanyau anafadhiliwa na Marekani kwa mabilioni ya Dola kifedha na silaha huku akiwashambulia Wapalestina na Walebanoni wasio hata na air defense hata moja huwezi kumfananisha na Mfalme Daudi aliyepambana na Goliath.

zitto junior Mathanzua
 
Waisrael wako vizuri wamesambaa duniani hivyo wakitaka kufanya jambo inakua rahisi kwao.

You can imagine kuna mmoja niliwahi kutana nae mwanza kaloea huko mpaka anaongea kiswahili.

Mwingine kaloea arusha huko kaoa mchaga.

Intel inawasaidia mno kufanikisha mambo yao.
Ukitoa taarifa kwa mamlaka husika kuwa kuna majasusi wa Israel nchini?
 
Hitimisho
Kwa namna huyu mwamba Benjamni Netanyahu alivyokabiliana na Hamas pamoja na Hezbollah wanafadhiliwa na Utawala Iran, ninamuona kama vile ni Mfalme Daudi amekuja kwa sura ya Netanyahu
Netanyahu ana kesi ya ufisadi kwenye mahakama za Tel Aviv aliamua kuingia vitani ili kupata uungwaji mkono na watu kusahau madudu yake. Sidhani kama Daudi alikua mla rushwa kiasi afananishwe na huyu tapeli kutoka Poland.

Kingine kupambana na Lebanon au Hamas kwa nchi inayopewa matrilion na USA kila mwaka sio muujiza. Sawa tu na Ukraine inapewa matrilion na mmarekani na unaona anavyohimili vita, wàla hakuna muujiza ni pesa za mmarekani tu zimesaidia
 
Nyie ndio mnaoabudu watu huyo mwehu kichaa aliyepewa rungu ndio umfananishe na Nabii Daud A.S nyie mnakufuru sana mambo ya kidunia yana wachanganya sana ndio maana kila mwamba anaejivika unabii nyie mnaruka nae mpaka kiboko ya wachawi nyie twende jifunzeni stamala basi mue na imani thabiti juu ya dini yenu mkakubali ichezewe
Daud A. S ndiyo nani? Mimi namuongelea Daudi mwana wa Yese, aliyekuwa Mfalme ya Wayahudi baada ya Sauli. Huyo kwenu hatumjui
 
Hapana, Netanyau anafadhiliwa na Marekani kwa mabilioni ya Dola kifedha na silaha huku akiwashambulia Wapalestina na Walebanoni wasio hata na air defense hata moja huwezi kumfananisha na Mfalme Daudi aliyepambana na Goliath.

zitto junior Mathanzua
Nakusahihisha kidogo, Israel haopambani na Walebanon bali inapambana na magaidi wa Hamas wanaooshi Lebanon.

Hata juzi Nasrallah alipouliwa wananchi wa Lebanon walisherehekea sana
 
Nakusahihisha kidogo, Israel haopambani na Walebanon bali inapambana na magaidi wa Hamas wanaooshi Lebanon.

Hata juzi Nasrallah alipouliwa wananchi wa Lebanon walisherehekea sana
Wananchi wa Lebanon wanalipia gharama kubwa za haya mashambilizi yanayofanywa na Israel.
 
Netanyahu ana kesi ya ufisadi kwenye mahakama za Tel Aviv aliamua kuingia vitani ili kupata uungwaji mkono na watu kusahau madudu yake. Sidhani kama Daudi alikua mla rushwa kiasi afananishwe na huyu tapeli kutoka Poland.

Kingine kupambana na Lebanon au Hamas kwa nchi inayopewa matrilion na USA kila mwaka sio muujiza. Sawa tu na Ukraine inapewa matrilion na mmarekani na unaona anavyohimili vita, wàla hakuna muujiza ni pesa za mmarekani tu zimesaidia
Kula rushwa kwa Benjamin Netanyahu hakuna tofauti na Mfalme Daudi alivyompeleka Front Uria ili auliwe na maadui kisha yeye amrithi mke wa Uria
 
Benjamin Benzion Mileikowsk na Daud wapi na wapi?!
 
Netanyahu ni mjinga sana hotuba zake ni kama vile sio kiongozi wa serikali ni kama katoka tu chumbani kwake mbio mbio kwenda kuongea na watu
 
Tupe summary ya Yoabu kidogo
Huyu mwamba kwa mm..nilivyo msoma hakuna kamanda aliyefanya makubwa kwa Israeli kwa wakati,wake kama huyu .nikamanda aliye vipiga vita vingi nakushinda vyote ,wakati wa Daudi mfalme kiasi ambacho kama angekuwa natamaa ya ufalme bhs ange chukua( haya ni mawazo yangu kwa jinsi nilivyo msoma) kwanza Kuna Uzi humu Kuna mtu alivyo muelezezea jinsi alivyo kwepa adhabu ya mungu
 
Benjamin Netanyahu ni mwanasiasa maarufu kutoka Israel ambaye ameongoza siasa za nchi hiyo kwa miongo kadhaa. Alizaliwa tarehe 21 Oktoba 1949 huko Tel Aviv, Israel. Netanyahu ni mtoto wa mwanahistoria maarufu, Benzion Netanyahu, na amekuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za Israel kwa muda mrefu.

Netanyahu alihudumu kama afisa wa kijeshi katika Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF), akishiriki kwenye Operesheni maarufu ya Entebbe mnamo 1976. Baadaye, alisomea nchini Marekani, akipata shahada ya kwanza kutoka MIT na shahada ya uzamili katika usimamizi wa biashara kutoka Harvard.

Alianza kujihusisha na siasa mwanzoni mwa miaka ya 1980, akiwa balozi wa Israel katika Umoja wa Mataifa. Mnamo 1996, Netanyahu alichaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa Israel kwa mara ya kwanza, akiwa kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia, Likud. Huyu alikuwa Waziri Mkuu mdogo zaidi katika historia ya Israel.
Bila kusahau Netanyau kaka yake alikuwa komando kiongozi, aliwawa na magaidi kina gadafi na wenzake ndo maana mdogo mtu akisikia gaidi ,haelewi ni anakichafua kwan. nini
 
Waisrael wako vizuri wamesambaa duniani hivyo wakitaka kufanya jambo inakua rahisi kwao.

You can imagine kuna mmoja niliwahi kutana nae mwanza kaloea huko mpaka anaongea kiswahili.

Mwingine kaloea arusha huko kaoa mchaga.

Intel inawasaidia mno kufanikisha mambo y

Waisrael wako vizuri wamesambaa duniani hivyo wakitaka kufanya jambo inakua rahisi kwao.

You can imagine kuna mmoja niliwahi kutana nae mwanza kaloea huko mpaka anaongea kiswahili.

Mwingine kaloea arusha huko kaoa mchaga.

Intel inawasaidia mno kufanikisha mambo yao.
Wapo wengi tu,na Wana akili kama majini
 
Kula rushwa kwa Benjamin Netanyahu hakuna tofauti na Mfalme Daudi alivyompeleka Front Uria ili auliwe na maadui kisha yeye amrithi mke wa Uria
Daudi alijutia makosa yake ila Netanyahu hajawahi jutia kuiba pesa za walipakodi wa Israel. Ni fisadi ambaye anajifichia kwenye vita kupata popularity.
 
Nyie ndio mnaoabudu watu huyo mwehu kichaa aliyepewa rungu ndio umfananishe na Nabii Daud A.S nyie mnakufuru sana mambo ya kidunia yana wachanganya sana ndio maana kila mwamba anaejivika unabii nyie mnaruka nae mpaka kiboko ya wachawi nyie twende jifunzeni stamala basi mue na imani thabiti juu ya dini yenu mkakubali ichezewe
Sasa kama unamkubali Daudi mbona mnasema ile Ardhi ni ya Wapalestina 😂
 
Back
Top Bottom