Benjamin Netanyahu: Je, ni Kivuli cha Mfalme Daudi Kwenye Biblia?

Sasa kama unamkubali Daudi mbona mnasema ile Ardhi ni ya Wapalestina πŸ˜‚
Babako akiwa na wake wawili akafariki akaacha nyumba moja wewe ukaondoka kwenda kutafuta maisha miaka mingi ikapita haujapata kitu ila unakonnection na watu wenye ela ukarudi nyumbani utaishi na ndugu zako waliobaki hapo nyumbani au utawafukuza wote ubaki mwenyewe kwenye nyumba?
 
Mbona Daudi anaelezwa kama ndiye mfalme aliyepigana vita vingi na kuua watu wengi kuliko mfalme yeyote duniani kwa enzi zile? Kwani ndugu unaijua kweli Biblia au unabisha kutoa usingizi alfajiri hii
alikuwa anaua wanajeshi vitani,sio wanawake na watoto wasio na hatia.
 
Hata mimi naijua Israel kwa kuitembelea na ninajua hata diaspora yao miaka zaidi ya 1700 baada ya Byzantine and crusader eras. Wewe huijui definition y Jew ni nani
 
Ukiona hivyo siyo kinyangarika kama wewe!
Kama ulimaaanisha Colin Powell aliyekuwa ndiye first black Chaiman wa Joint Chiefs of Staff wa US Army, then tambua kwamba huyo alikufa mwaka 2021
 
Kama ulimaaanisha Colin Powell aliyekuwa ndiye first black Chaiman wa Joint Chiefs of Staff wa US Army, then tambua kwamba huyo alikufa mwaka 2021

Kufa kwake hakubadili ukweli kuwa hakuwa myahudi.

Kwa mwendelezo huo tambua Marekani na Israel ni madola 2 tofauti.
 
Kufa kwake hakubadili ukweli kuwa hakuwa myahudi.

Kwa mwendelezo huo tambua Marekani na Israel ni madola 2 tofauti.
Acha uwongo ndugu. Colin Powell HAKUWA Myahudi bali ni Mjamaica mwenye asili ya Afrika

Colin Powell, the former U.S. Secretary of State and military leader, was of Jamaican descent. His parents, Maud Arial (nΓ©e McKoy) and Luther Theophilus Powell, were both Jamaican immigrants of African and Scottish ancestry who moved to the United States. They settled in New York City, where Colin was born in Harlem in 1937. His ancestry reflects the diverse heritage typical of many Caribbean families, with a mix of African, European (Scottish), and possibly other influences common in Jamaica due to its colonial history.

Powell often spoke about his pride in his Jamaican roots and how his parents' hard work and values shaped his character and career.
 

Fuatilia yalikotokea hayo ndugu kabla ya kupurukuka nje ya reli
 
Weka ushahidi wa uyahudi wake hapa niuone siyo kuandika hisia tu

Wapi niliposema ni muyahudi?

Siyo wewe uliyesema wamerekani ni wayahudi?

Kwamba chigafla umesahau huyo aliingia je hapa?
 
Mlipigwa ktk biblia, bado mnaendelea kupigwa hata baada ya elimu na utandawazi
 
Ukisikia mkristo anasema Nabii Ibrahim na Daudi wazinifu usiwashangae sana si umeona wanamfananisha kichaa na Mitume πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…