Benjamin Netanyahu: Ukitupiga tunakupiga, hakuna sehemu ndani ya Iran ambayo hatuwezi kufika

Benjamin Netanyahu: Ukitupiga tunakupiga, hakuna sehemu ndani ya Iran ambayo hatuwezi kufika

Israel wana haki ya kujilinda.
#blameitonhamas
#blameitonhizbolah
 
Acha wakong'otane tu, mbabe hawezi patikana kamwe kwenye vita ya kisasi...
 
Tatizo sio muisraeli tatizo mmarekani pesa aliyopewa leo dola b 9 kukunja mfukoni lakini whatever anapanga na kujimwambafy sio kwa uislam atakubali muda mwalimu
 
Vp wanaotekwa na kuuwawa huko kwenu matumbi

Siungi mkono utekaji au mauaji ya binadamu yeyote,. Ila kama imethibitika kuwa ni majambazi, wauawaji au wabakaji basi hao hawahitaji kuhurumiwa.
 
Israel unaijua ina hali gani mkuu!?
Vita vina gharama, naelewa. Israel alivamiwa 7.10,2023 na Hamas,hata wewe ungekuwa ndiye Netanyahuh ungetumia tone la mwisho kupigana. Baada ya vita na Uganda 1978-1979 uchumi wetu Tanzania, uliyumba mno. Lakini Mwl Nyerere angegafanyaje wakati Kagera, Amin alikwishaitangaza mali yake baada ya kuivamia.
 
Netanyahu hawajahi kuwa mpenda siku zote ni mpenda fujo yeye na taifa lao
Mkuu,
Tuwe wakweli, hiyo ni sifa ya Iran ambayo ni mhimili wa ugaidi duniani, maana wao ndo walezi, wafadhili na wafundishaji wa vikundi vingi vya magaidi duniani
 
Kina vitu vingine vina chekesha
1.Irani kwa ukubwa ni mara 80 ya nchi ya Israel,Hata Mkoa wa Dodoma ni mkubwa mara 2 kuliko Israel.
2.Population ya Taifa la Irani ni mara 10 zaidi ya la Israel.
3.ukija kwenye capability za uwezo wa kijeshi,Irani anapambana na NATO nzima kwenye nyanja hizo.
Sasa wakienda one to one eti Israel ashinde,itakuwa vichekesho vya mwaka.
Ukubwa wa pia sio wingi wa kamasi.

-DRC Congo hiyo hapo miaka nenda Rudi Rwanda anawaumiza kichwa.
- Supapawa wa mchongo mwaka sasa the so called special operation sasa hivi imehamia kwake anachapika isivyotarajiwa.

Vita ni mipango, mbinu, uwekezaji katika ujasusi na uimara wa taifa.

IDF wamefanya operations za kutosha hapo Iran na zingine zimeacha makovu mpaka leo kwahiyo kumtwanga Iran ni jambo linalowezekana kabisa.
 
Mkuu,
Tuwe wakweli, hiyo ni sifa ya Iran ambayo ni mhimili wa ugaidi duniani, maana wao ndo walezi, wafadhili na wafundishaji wa vikundi vingi vya magaidi duniani
Umefuatilia kwanini hivyo vikundi viliundwa!??
Au unaropoka tu bro!??
Jiulize kabla ya ujio wa Wamagharibi na uanzishwajiwa Zionism state je hayo makundi yalikuwepo!?
*Nikutolee mfano mmoja tu,Yemeni kipindi inataka kumtoa kiongozi wasiompenda Mansour USA alienda kuingilia kati kupitia Saudi Arabia na kumpa jeshi Mansour la kuzuia raia wasimtoe madarakani.
Houthi ndio wakashika silaha na kuingia vitani kumtoa.
Je ingekua USA na Saudi Arabia hawajampa nguvu Mansour za kupingana na raia wasiompenda Houthi wangekua washika silaha!??
Shida yenu muna elimu ndogo juu ya haya mambo.
Chanzo cha haya yote ni Westerners kuingilia siasa za mashariki ya kati.
Syria ilikua nchi moja inakua kiuchumi na imependeza sana kimajengo,nenda kaione sasa hivi.
Na ilianza kuporomoka kuanzia 1958 Damascus crisis,na walioleta hiyo Crisis Israel na USA.
Halafu unakaa kuropoka ropoka.
Itizame Libya ilikuaje kabla ya USA kuivamia.
 
Umefuatilia kwanini hivyo vikundi viliundwa!??
Au unaropoka tu bro!??
Jiulize kabla ya ujio wa Wamagharibi na uanzishwajiwa Zionism state je hayo makundi yalikuwepo!?
*Nikutolee mfano mmoja tu,Yemeni kipindi inataka kumtoa kiongozi wasiompenda Mansour USA alienda kuingilia kati kupitia Saudi Arabia na kumpa jeshi Mansour la kuzuia raia wasimtoe madarakani.
Houthi ndio wakashika silaha na kuingia vitani kumtoa.
Je ingekua USA na Saudi Arabia hawajampa nguvu Mansour za kupingana na raia wasiompenda Houthi wangekua washika silaha!??
Shida yenu muna elimu ndogo juu ya haya mambo.
Chanzo cha haya yote ni Westerners kuingilia siasa za mashariki ya kati.
Syria ilikua nchi moja inakua kiuchumi na imependeza sana kimajengo,nenda kaione sasa hivi.
Na ilianza kuporomoka kuanzia 1958 Damascus crisis,na walioleta hiyo Crisis Israel na USA.
Halafu unakaa kuropoka ropoka.
Itizame Libya ilikuaje kabla ya USA kuivamia.
Mkuu,
Hayo ni mawazo yako, nayaheshimu, ila kwangu hizo ni porojo tu kama pumba zingine 🚮

Kwani kwenye mataifa mengine hakuna watu wanaoonewa?
Kwanini ugaidi ujikite kwa waarabu na vibaraka wao pekee?

Tumia angalau akili kidogo, usikubali kugeuzwa msukule na kukaririshwa propaganda na narratives za uongo kila siku
 
Walipokuwa wanashambulia Israel mlikuwa mna kelele subirii kiwalambe
 
Netanyahu amesema Umoja wa Mataifa lazima "urejeshe" vikwazo dhidi ya Iran na "ni lazima sote tufanye kila tuwezalo kuhakikisha Iran haipati silaha za nyuklia".
Akihutumia Mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa, Waziri huyo mkuu wa Israel amesema amekuwa akiionya dunia dhidi ya mpango wa nyuklia wa Iran, ambao anasema "imeuchelewesha" kwa takriban muongo mmoja lakini hajausimamisha.
"Kwa ajili ya amani na usalama wa dunia nzima, hatupaswi kuruhusu hilo kutokea," anasema, akimaanisha Iran kupata silaha za nyuklia.
"Nina ujumbe kwa wadhalimu wa Tehran," anaongeza. "Ukitupiga, tutakupiga."
Awali alipoanza hotuba yake Netanyahu alisema kwamba "hakuwa na nia ya kuja" kwenye Baraza Kuu mwaka huu kwani nchi yake iko vitani "inapigania maisha yake".
"Niliamua kuzungumza katika Umoja wa Mataifa baada ya 'uongo' kuhusu Israel," asema
Hata hivyo, uamuzi wake wa kufanya hivyo ulifuatia kile alichokiita "uongo na kashfa" kuhusu nchi yake iliyosemwa na watu wengine waliosimama kwenye jukwaa, anasema.
Anaongeza kuwa anataka kuja na "kuweka rekodi" kwamba Israeli inatafuta amani.
Netanyahu alionyesha ramani huku akijaribu kutofautisha "baraka" ya maendeleo ya Israeli na "laana" ya ushawishi wa Iran katika eneo.
Uchokozi wa Iran utahatarisha kila nchi katika Mashariki ya Kati - na dunia nzima, Netanyahu ameuambia Umoja wa Mataifa.
"Iran inataka kulazimisha itikadi kali zaidi ya Mashariki ya Kati, na inatishia ulimwengu mzima."
Ulimwengu umeituliza Iran, anasema, na kufumbia macho ukandamizaji wa ndani wa Iran na uchokozi wa nje.

CHUMA NETANYAHU KIMEONGEA!!!

Credit: BBC Swahili
 
Ilirusha makombora 300 kati ya hayo 298 yalizuiwa

USSR
wacha kudanganywa...ukiona israel haitaki media kwenye hizi mbanga ujue anazuia aibu ya kuchapika,watu wapo kwenye mahandaki sasa kwa sababu wanajua magaidi silaha zao zinafika kokote ndani ya israel
 
Back
Top Bottom