Benjamin Netanyahu: Ukitupiga tunakupiga, hakuna sehemu ndani ya Iran ambayo hatuwezi kufika

Benjamin Netanyahu: Ukitupiga tunakupiga, hakuna sehemu ndani ya Iran ambayo hatuwezi kufika

Kina vitu vingine vina chekesha
1.Irani kwa ukubwa ni mara 80 ya nchi ya Israel,Hata Mkoa wa Dodoma ni mkubwa mara 2 kuliko Israel.
2.Population ya Taifa la Irani ni mara 10 zaidi ya la Israel.
3.ukija kwenye capability za uwezo wa kijeshi,Irani anapambana na NATO nzima kwenye nyanja hizo.
Sasa wakienda one to one eti Israel ashinde,itakuwa vichekesho vya mwaka.
Hebu maguey Allah akufire Wewe umepotea
 
Hapana. Kama unyama ule wa October 7 usingefanyika na Hamas, Waisraeli wangeanza vipi kuivamia Gaza au Lebanon ? Waisraeli wamekubali gharama ya uchumi na vifo. Israeli Ina watu karibu mil 8 tu. Kifo chochote cha raia wake kinawauma sana ila hawana jinsi ila kujitetea. Sababu mwarabu ametangaza kuwafuta katika uso wa dunia.
Hao walio Tangaza kuifuta Israel mbona wamesha tangulia labda wajukuu wao.
 
Mazayuni bila mabwawa zake USA na Umoja wa Ulaya angeshafutika kwenye ramani feki ya taifa liliobuniwa na wazungu kwa maslahi ya wazungu.

Wazungu wanailinda Israel kwa gharama kubwa mno kwasababu tu aidhoofishe Iran lakini hilo limeshindikana.

Wamemuwekea kila aina ya vikwazo Iran ili wammalize lakini imeshindikana jamaa ndio kwanza anarutubisha masilaha ya nyuklia yasiyozuilika na defense system yoyote ulimwengu huu.
Palestinian ndo Taifa fake, Jerusalem ipo hapo tangu enzi na Hadi utawala WA mwisho wa ottoman baadaye uingereza hakujawahi kuwa na palestina, kwahiyo Jerusalem ambalo ni ya wayahudi ,jenini, Nazareth ni ya wapii? Palestine ni waarabu walowezi tu palee
 
"Umetupiga, tunakupiga tena.
Hakuna mahali unapoweza kujificha kutoka kwetu, tunapokuja kwa ajili yako."
Hii ni dalili tosha ya mambo yajayo.

Roketi za Hezbollah zimewaua Waisraeli 5. Wanapigwa mara kwa mara, uongozi wao wa juu unaondolewa, Israeli inasonga kutoka juu kwenda chini hadi inakamilika kutoka ngazi ya chini.

Shambulio la roketi la Iran lilimuua mmoja, na mtu huyo alikuwa Mpalestina. Kwa hivyo, lipizo la kurudi labda halitakuwa dhidi ya uongozi wa juu wa Irani na watu, lakini juu ya uendelevu wao, miundombinu na tija, kwa ujumla.
 
Tupo live , tatizo huwezi kuwatoa spirit yao iko moyoni ....Wenzio moto ni ule ule .

Just imagine utoke bara la mbali ukapigane kweny ardhi isiyokuwa yako ni utaahiri huo ?
 
"Umetupiga, tunakupiga tena.
Hakuna mahali unapoweza kujificha kutoka kwetu, tunapokuja kwa ajili yako."
Hii ni dalili tosha ya mambo yajayo.

Roketi za Hezbollah zimewaua Waisraeli 5. Wanapigwa mara kwa mara, uongozi wao wa juu unaondolewa, Israeli inasonga kutoka juu kwenda chini hadi inakamilika kutoka ngazi ya chini.

Shambulio la roketi la Iran lilimuua mmoja, na mtu huyo alikuwa Mpalestina. Kwa hivyo, mgomo wa kurudi labda hautakuwa dhidi ya uongozi wa juu wa Irani na watu, lakini juu ya uendelevu wao, miundombinu na tija, kwa ujumla.
Meanwhile wanajeshi wanaisha Israel wanataka kuchukuwa wakimbizi na wahindi huko. Sasa sijui inakuwaje wao hawauliwi wala kuumizwa. Au tuseme wamechoka tu.
 
Hivi bado anabwabwaja tu au anabuy time Mmarekani amsaidie alafu yeye aje ajisifu mbele ya kamera🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Taifa teule linategemea misaada.Kweli wajinga ndo waliwao.
 
Hivi bado anabwabwaja tu au anabuy time Mmarekani amsaidie alafu yeye aje ajisifu mbele ya kamera🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Taifa teule linategemea misaada.Kweli wajinga ndo waliwao.

Asipopata sapoti ya USA kamwe Israel haiwezi kuigusa Iran..

Kupigwa kapigwa yeye lakini anapambana amuingize America kwenye vita. Ila America na yeye anahofia maslahi yake hapo middle east kwani anajua wazi kuwa Iran sio Hamas.

Ikiwa Iran inaweza kuipiga Israel kwa misile zinazopita nchi 3 ili kuifikia Israel vipi hizo American bases zote zilizopo hapo middle east zitapona? America naye sio mjinga anaangalia maslahi yake kwanza kabla ya kujiingiza
 
Israel hamna kitu. Jeuri yake anamtegemea USA. Hata hizo interceptions ya missiles za juzi nyingi ni from USA destroyers.
 
"Umetupiga, tunakupiga tena.
Hakuna mahali unapoweza kujificha kutoka kwetu, tunapokuja kwa ajili yako."
Hii ni dalili tosha ya mambo yajayo.

Roketi za Hezbollah zimewaua Waisraeli 5. Wanapigwa mara kwa mara, uongozi wao wa juu unaondolewa, Israeli inasonga kutoka juu kwenda chini hadi inakamilika kutoka ngazi ya chini.

Shambulio la roketi la Iran lilimuua mmoja, na mtu huyo alikuwa Mpalestina. Kwa hivyo, lipizo la kurudi labda halitakuwa dhidi ya uongozi wa juu wa Irani na watu, lakini juu ya uendelevu wao, miundombinu na tija, kwa ujumla.
Ina maana wewe hii habari mdiyo imekufikia leo?
 
South Korea imekuwa impressed na performance ya Iron Dome, hakuna skrepa ya Iran iliyopenya, inataka kuzinunua kujikinga na NK


 
Ayatollah katulia zake kimya hana ngonjera..Myahudi kachapika aache ngonjera na vitisho vingi kama iran
 
Back
Top Bottom