The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Ban ya miezi miwili iliisha leo maamaee.Ulikuwa wapi au ban mwanangu, manaake ulipotezaš¤£
Watu wanaliwa vichwa tu
Nimerudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ban ya miezi miwili iliisha leo maamaee.Ulikuwa wapi au ban mwanangu, manaake ulipotezaš¤£
Watu wanaliwa vichwa tu
Hebu maguey Allah akufire Wewe umepoteaKina vitu vingine vina chekesha
1.Irani kwa ukubwa ni mara 80 ya nchi ya Israel,Hata Mkoa wa Dodoma ni mkubwa mara 2 kuliko Israel.
2.Population ya Taifa la Irani ni mara 10 zaidi ya la Israel.
3.ukija kwenye capability za uwezo wa kijeshi,Irani anapambana na NATO nzima kwenye nyanja hizo.
Sasa wakienda one to one eti Israel ashinde,itakuwa vichekesho vya mwaka.
Nilihisi tu kumbe kweliBan ya miezi miwili iliisha leo maamaee.
Nimerudi
Hao walio Tangaza kuifuta Israel mbona wamesha tangulia labda wajukuu wao.Hapana. Kama unyama ule wa October 7 usingefanyika na Hamas, Waisraeli wangeanza vipi kuivamia Gaza au Lebanon ? Waisraeli wamekubali gharama ya uchumi na vifo. Israeli Ina watu karibu mil 8 tu. Kifo chochote cha raia wake kinawauma sana ila hawana jinsi ila kujitetea. Sababu mwarabu ametangaza kuwafuta katika uso wa dunia.
Palestinian ndo Taifa fake, Jerusalem ipo hapo tangu enzi na Hadi utawala WA mwisho wa ottoman baadaye uingereza hakujawahi kuwa na palestina, kwahiyo Jerusalem ambalo ni ya wayahudi ,jenini, Nazareth ni ya wapii? Palestine ni waarabu walowezi tu paleeMazayuni bila mabwawa zake USA na Umoja wa Ulaya angeshafutika kwenye ramani feki ya taifa liliobuniwa na wazungu kwa maslahi ya wazungu.
Wazungu wanailinda Israel kwa gharama kubwa mno kwasababu tu aidhoofishe Iran lakini hilo limeshindikana.
Wamemuwekea kila aina ya vikwazo Iran ili wammalize lakini imeshindikana jamaa ndio kwanza anarutubisha masilaha ya nyuklia yasiyozuilika na defense system yoyote ulimwengu huu.
Meanwhile wanajeshi wanaisha Israel wanataka kuchukuwa wakimbizi na wahindi huko. Sasa sijui inakuwaje wao hawauliwi wala kuumizwa. Au tuseme wamechoka tu."Umetupiga, tunakupiga tena.
Hakuna mahali unapoweza kujificha kutoka kwetu, tunapokuja kwa ajili yako."
Hii ni dalili tosha ya mambo yajayo.
Roketi za Hezbollah zimewaua Waisraeli 5. Wanapigwa mara kwa mara, uongozi wao wa juu unaondolewa, Israeli inasonga kutoka juu kwenda chini hadi inakamilika kutoka ngazi ya chini.
Shambulio la roketi la Iran lilimuua mmoja, na mtu huyo alikuwa Mpalestina. Kwa hivyo, mgomo wa kurudi labda hautakuwa dhidi ya uongozi wa juu wa Irani na watu, lakini juu ya uendelevu wao, miundombinu na tija, kwa ujumla.
Hivi bado anabwabwaja tu au anabuy time Mmarekani amsaidie alafu yeye aje ajisifu mbele ya kameraš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£. Taifa teule linategemea misaada.Kweli wajinga ndo waliwao.
Ina maana wewe hii habari mdiyo imekufikia leo?"Umetupiga, tunakupiga tena.
Hakuna mahali unapoweza kujificha kutoka kwetu, tunapokuja kwa ajili yako."
Hii ni dalili tosha ya mambo yajayo.
Roketi za Hezbollah zimewaua Waisraeli 5. Wanapigwa mara kwa mara, uongozi wao wa juu unaondolewa, Israeli inasonga kutoka juu kwenda chini hadi inakamilika kutoka ngazi ya chini.
Shambulio la roketi la Iran lilimuua mmoja, na mtu huyo alikuwa Mpalestina. Kwa hivyo, lipizo la kurudi labda halitakuwa dhidi ya uongozi wa juu wa Irani na watu, lakini juu ya uendelevu wao, miundombinu na tija, kwa ujumla.
Myahudi kachapika nini makombora 400 hayajaua hata myahudi mmoja yamepanguliwa na kutupwa bahariniAyatollah katulia zake kimya hana ngonjera..Myahudi kachapika aache ngonjera na vitisho vingi kama iran