TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Matusi ni dalili ya hasira. Inashangaza na kusiko kusikitisha kwa nini pana wanaokasirika hivi kukitokea msiba.

Yote hii ni kutotaka kushikia ya mabarakoa?
What is the cause of death?
 
Ni kosa kubwa sana amefanya Rais Magufuli kutangaza we are Corona free akijua sio kweli. Corona ipo na ina endelea kutushambulia. Tuwe waangalifu Sana. Mikutano hii ya kampeni itatupa majibu vizuri tusubiri coming 10 days. Madaktari acheni unafiki semeni na kusimamia taaluma zenu sio siasa. Semeni with disclaimer.
 
Wewe jamaa kwa kutangaza vifo ni no one.
 
Wakati tunakaribia uchaguzi wa 2015 alikufa Captain komba ghafla na yeye, uchaguzi wa mwaka huu amefarika Mkapa 😥😥 RIP mzee wetu
 
Thubuutuuuuuu, nani ajitoe mhanga?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…