Wekeni wazi chanzo cha kifo.
Apumzike kwa amani.
Hadi hapo chanzo cha kifo kitakapowekwa wazi hiki ni moja ya vifo vya ghafla.
Eeh mola wetu na ukatujalie ujasiri wa kuwa wazi na wakweli. Ili ukatujalie nusura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wekeni wazi chanzo cha kifo.
Ilitokana uzito uliokua nao juu yao lakini hakuna msiba mwepesi uwe unakuhusu ama la, sembuse huu wa aliewahi kua rais? +haiba yake alio kua nayo kimataifa na taifa kwa ujumla.
Daaah chanzo Cha kifo chake please
Hahahaha Magoloto ni Muheza na huku ni Lushoto. Hayo mengine sasa....Tuko msibaniOhh kitu kinaenda TA kumbe? Dah utalii wa ndani huu aisee..kutoka hapo msibani kwenda magoloto Kuna umbali gani?, Mie nipe lift tu mengine yatajiedit mbele kwa mbele
Kuuliza sio ujinga. Kama unajua mjulishe kama hujui piga kimya.... kauli yako sio nzuri....Ujue chanzo upate faida gani?? Umbwa wewe
Hata Mimi naona huwa wanawaza kuacha legacy aisee
Ni kweli, wengine tuna historia naye maskini BenHuenda
Acha matusi wewe mfuasi wa CCMUjue chanzo upate faida gani?? Umbwa wewe
Sina hamu na Wajumbe, ukute ndio wataandaa mazishi ya mzee wetu. Wajumbe si watuNdo nawaomba wanakamati Kama wamo humu wanipe tenda nilete Sato mie
Mungu Amlaze pema peponi Mzee wa Ukweli na Uwazi.... Ame acha pengo kubwa mno.. Magufuli kapoteza mshauri muhimu sana
Tulia basi utaelezwa chanzo cha kifo chake lkn usitake kulazimisha ugonjwa ambao ww unao kichwani mwako...
Matusi ya nini? Jifunze kauli njema kinywaniUjue chanzo upate faida gani?? Umbwa wewe
Apumzike kwa amani.
Hadi hapo chanzo cha kifo kitakapowekwa wazi hiki ni moja ya vifo vya ghafla.
Eeh mola wetu na ukatujalie ujasiri wa kuwa wazi na wakweli. Ili ukatujalie nusura.