TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Sawa mkuu.
Hapa duniani hatuna muda mrefu wa kuishi.
Ukiishi sana ni 100 tena upo choka mbaya..
KUNA WATU waliishi MPAKA MIAKA 1,000 NA kuendelea lakini nao walikufa..
Jeuri kibri vyote vina mwisho.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Yes ni ujinga tu kumuuwa mwenzio sababu ya tumbo lako,Hali nawe ni maiti mtarajiwa,
 
Matusi ya nini? Jifunze kauli njema kinywani

Matusi ni dalili ya hasira. Inashangaza na kusiko kusikitisha kwa nini pana wanaokasirika hivi kukitokea msiba.

Yote hii ni kutotaka kushikia ya mabarakoa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom