Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu siku zake za kuishi duniani si nyingi sana.OMG! Rest easy Mzee Mkapa..it is not easy to believe though!
Dodoma juzi tumemuona public Mara ya Mwisho skiwa na afya teleWOW! Alikuwa anaumwa nini? Mbona haikutangazwa rasmi kama alikuwa mgonjwa!? 😢
Unajuaje alikuwa na afya tele? Wewe ndo daktari wake?Dodoma juzi tumemuona public Mara ya Mwisho skiwa na afya tele
Anyway maisha ya binadamu hayana dhamana...
Rest in peace B. Mkapa
Sasa subiri utangaziwe baadaye; kwa nafasi yake kitaifa lazima tutaambiwa. Halafu tukubali tutakachoambiwa; siyo kuwa na mindests zetu kiasi cha kupinga kila tutakachoambiwa kama hakiendani na mindests zetu hizo.Sio kutafuta mchawi, kila jambo linachanzo na kama chanzo ni uzee isimwe.