Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kidooogo naanza kukuelewa mzee wangu.Kweli ndugu yangu; life expectancy ya watanzania ni miaka 66. Nyerere alikufa akiwa na miaka 77, Ruge alikufa akiwa na miaka 49, Amir Jamal alifariki na miaka 73, na Iddi Simba alikuwa na miaka 75. Kwa umri wa miaka 80 kweli hatuhitaji kutafuta mchawi tena.
Ben apumzike kwa amani; kuna mengi mazuri alifanya ingawa pia kuna mabaya alifanya. Tutamkumbuka sana kwa mazuri yake .
Narekebisha kauliUnajuaje alikuwa na afya tele? Wewe ndo daktari wake?
Naungana na weweRest in peace
Kweli kabisa. Ndiyo mentor wake mpaka kufika alipofika kulikuwana support kubwa mno. Usoni alipokuwa anatangaza nikiona kabisa huzuni ya kipekeeMungu Amlaze pema peponi Mzee wa Ukweli na Uwazi.... Ame acha pengo kubwa mno.. Magufuli kapoteza mshauri muhimu sana
Alafu ikishasemwa?Sio kutafuta mchawi, kila jambo linachanzo na kama chanzo ni uzee isimwe.
Aisee.. Kwenye hotuba ya Dodoma alionekana mzima kabisa..Imetangazwa na Rais Magufuli
Rais Magufuli kwa masikitiko amesema mzee Mkapa amefariki hospitalini jijini Dsm.
Taarifa zaidi zitatolewa baadae
Source Channel ten