Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,601
- 2,354
Aumzike kwa aman mzee wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pepo ipi umesahau Yale aliyowafanyia wa Zanzibar mwaka 2001 January 27 kule pembaSad indeed. Pumzika kwa amani baba. Ulikuwa mzalendo na mapenzi mema sana kwa nchi yetu. Mungu akupe pepo njema mzee wetu.
Hakuna hata matonye ya povu hapo.Kwanini unatokwa povu zito kuhusu swali rahisi kabisa kuhusu chanzo cha kifo? Duh! Baadhi ya Wabongo noma sana mtu anataka kuanzisha ligi kwa swali rahisi kabisa ambalo Watanzania wengi kama siyo Walimwengu wataliuliza!!! 😳😳😳
HahaaaHaya mambo ya kuandika vitabu vya maisha yako ni kama kujiitia kifo