TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Tutakukumbuka kwa kauli yako Konki ya jangwani 2015 bila kusahau kututangazia kifo cha muasisi wa taifa hili tukufu la Tanzania.
Aise ile siku anatangaza kifo cha Mwalimu, ile picha imeniganda kichwani. Nadhani ilikuwa ndo mara yangu ya kwanza kukaa na kumsikiliza raisi wa nchi akiongea. Ilikuwa kama naota. Apumzike kwa amani kwa kweli.
 
Kibaya sio kutangulia kama umri unaruhusu. Kibaya ni kijana kutangulia na jinsi anavyotangulia. Simanzi ni pale mtu anapoondoka bila kurealise potential yake. Kwa mfano mtoto wa CDF japo sikumjua, nilisikitika kwakuwa alikuwa kijana mdogo with his whole life ahead of him. Pia jinsi alivyoondoka nilijiweka kwenye nafsi yake, nikaumia.

Mzee Mkapa amepitiliza maisha ya kuishi. Tumeshauona mchango wa nguvu zake hapa duniani. It´s ok apumzike.
And make sure u die empty...
Msijaza mawazo mazuri na utajiri makaburini.

Pumzika mzee BWM miaka 70 na 80 mkiwa na nguvu umetimiza andiko.
 
Aise ile siku anatangaza kifo cha Mwalimu, ile picha imeniganda kichwani. Nadhani ilikuwa ndo mara yangu ya kwanza kukaa na kumsikiliza raisi wa nchi akiongea. Ilikuwa kama naota. Apumzike kwa amani kwa kweli.
Ile taswira na sauti haviwezi kufutika kirahisi kwa wengi.
 
Watanzania tumepata msiba wa kuondokewa na Rais wetu wa awamu ya tatu ndugu Benjamini William Mkapa kilichotokea jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo tarehe 24 julai, mnamo majira ya saa 6:20 usiku. Sababu za kifo chake bado hazijajulikana. Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi, Amina. Poleni Watanzania kwa msiba mzito.
 

Attachments

  • WA-IMG-20200724-35ebb6b7.jpg
    WA-IMG-20200724-35ebb6b7.jpg
    29.6 KB · Views: 2
Watanzania tumepata msiba wa kuondokewa na Rais wetu wa awamu ya tatu ndugu Benjamini William Mkapa kilichotokea jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo tarehe 24 julai saa 6:20 usiku. Sababu za kifo bado hazijajulikana. Mungu aiweke roho yake mahala pema peponi, Amina.
RIP our baba
 
Kilichoniamsha saa sita kuwasha TV Ni baada ya kuwaza Mambo ya kifo na Mwili Uliokufa (Maiti).. nikakosa usingizi nikasema ngoja niwashe TV nicheki Muvi.. ikaibukia kwenye TBC na Sura ya Mkuu akitoka taarifa.

Salamu Maria Umejaa Neema , Bwana yu Nawe. Umebarikiwa Kuliko wanawake wotena Yesu Mzao wa Tumbo lako Amebarikiwa. Maria Mtakatifu Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu Sasa na saa ya kufa Kwetu. Amina.

ATUKUZWE BABA na Mwana na Roho Mtakatifu Kama mwanzo na Sasa na siku zote na Milele. Amina.
 
Mwisho wa mwanadamu ni kulala chini ya tabaka za udongo.
Tumetoka kwake Mola na kwake ndio marejeo.
 
I will remember you,pamoja na sera za chama by then you were the Prezo,u did the best. Benjamin Mkapa umenitangulia kila kitu,mpaka mauti,nakuombea sana huku ahera ikiwezaekana,upate pumziko. Ulichoka kwa uliyoyakuta........tuachiie uliyoyaacha,tutaelewana tu. The serventa has being called back home,may the bunch of angels sing thee to thy place.
 
I will real remember you,pamoja na sera za chama chako by then you were the gud Prezo,u did the best. Mr Benjamin Mkapa umenitangulia kila kitu,mpaka mauti,nakuombea sana huko ahera ikiwezaekana,upate pumziko. Ulichoka kwa uliyoyakuta na mliyofanya........tuachiie uliyoyaacha,tutaelewana tu. The servent has being called back home,may the bunch of angels sing thee to thy place.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom