TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Tumepokea habari ya kusikitisha ya kifo cha Rais mstaafu Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania 1995-2005. Ni pigo kubwa kwa watanzania. Rais Mkapa kipindi cha karibuni amekuwa mstari wa mbele kupigania haki na demokrasia ikiwa ni pamoja na kushauri Tume Huru ya Uchaguzi na haki za wananchi. Salamu za rambirambi kwa familia, jamaa na watanzania wote. Pumzika kwa Amani mzee Mka
IMG_4238.jpg

pa.
 
Nilibahatika kukutana Mara kadhaa na mama Anna mkapa nikiendaga shopping soko la kinondoni, huwa anakujaga shopping Sasa Kuna duka moja huwa anapenda sana pia Kuja kununua vitenge jirani kna duka la mshkj mmoja anaitwa John huwa midaa ya saa tatu au nne

huwa Napenda kutoa lock, Sasa Kuna ijumaa moja alinipa dongo akadai wewe kila nkikuona wewe ni kunywa tuuu duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nkamjibu mama hii ndy starehe yangu basi tukaa kama DK 15 tu kapiga sana story na mzinga alinichukulia.

Nikijaonana naye tena ntampa pole zake physicaly

Ova
 
Benjamin William Mkapa

President of Tanzania (1995-2005)

Date and Place of Birth:

12 November 1938, Masasi (Tanzania).

Education:

Mr. Mkapa holds a Bachelor of Arts degree in English from Makerere University College in Uganda (1962).

Professional Experience:

Benjamin Mkapa worked as a civil servant in the district of Dodoma and Dar es Salaam, which united with Zanzibar in 1963 to form present day Tanzania. In August of 1962, he was recruited for Exterior Services and four years later he specialized in journalism as the editor of the daily governmental Tanzania Nationalism and Uhuru (1966). Previously he worked for the Daily News and the Sunday News (1972). In July of 1974 he was appointed Secretary of Press for President Julius Nyerere and in July of 1976 he launched the Tanzana News Agency (Shihata).

Political Career:

Benjamin Mkapa was a member of the Tanganyika African National Union (TANU) since the beginning of the 1960s. Named High Commissioner to Nigeria in 1976, Mr. Mkapa also occupied a number of important government posts in the late 1970s and 1980s, serving the political party Chama Cha Mapinduzi (CCM, State Revolutionary Party) in the areas of Foreign Affairs, Information and Culture, Information and Broadcasting as well as Science, Technology, and Higher Education. He was also the High Commissioner in Nigeria (1976), Canada (1982) and the United States Ambassador (1983-1984), all the while belonging to the “Bunge” or Parliament since 1985.

In 1987 Mr. Mkapa became an elected member to the central committee of the Revolutionary Party of Tanzania. In November 1995, Mr. Mkapa won the first democratic elections in Tanzania, as a candidate for the CCM. During his first term, he continued the economic liberalization program initiated by his predecessor, Ali Hassan Mwinyi. In the 2000 elections, Mkapa was elected for a second term which concluded at the end of 2005.

President Mkapa continues to be very active regionally and internationally. He is Chairman of the South Centre, Co-Chair of the Investment Climate Facility for Africa, and Co-Chair of the Africa Emerging Markets Forum (AEMF). He is a member of the board of trustees of the Africa Wildlife Foundation (AWF), a Commissioner on the United Nations Commission on the Legal Empowerment of the Poor (2006-2008), a member of the InterAction Council as well as of the Africa Forum.

In 2005, he was a member of the Panel of Eminent Persons appointed by the UNCTAD Secretary-General to review and enhance the role of UNCTAD within the United Nations reforms. In 2006, he served as a member of the High-level panel on UN System-wide Coherence in areas of Development, Humanitarian Assistance and Environment, appointed by the United Nations Secretary-General. President Mkapa was appointed in 2006 to be Patron of the UN committee of 2008 International Year of Planet Earth.

In September 2010, President Mkapa was appointed by UN Secretary General Ban Ki-Moon to lead a special panel to monitor the January 2010 referendum in Southern Sudan.

Others:

President Mkapa holds several honorary doctorate degrees from Soka University in Japan (1998), Morehouse College, Atlanta, USA (1999), the Open University of Tanzania (2003), the National University of Lesotho (2005), Kenyatta University (2005), the University of Dar Es Salaam, Tanzania (2006) and Newcastle University, United Kingdom (2007), The University of Cape Coast, Ghana (2008). In October 2007, the Jane Goodall Institute gave him the Global Leadership Award for his leadership in wildlife conservation
IMG_4240.jpg
 
R l P Former Tanzania President Benjamin W Mkapa
I and millions of Tanzanians will forever remember your philanthropic contributions to almost every field. You were a great good human being
 
Mkapa nilimpenda rip mzee Mara ya mwisho nilikuona Edinburgh Scotland nimeumia Sana . Dah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom