TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Kuna mahali nimesikia kichaa fulani ameota akisema huenda ni COVID imeua mtu.....
Sababu zake ni hizi.

1. Kwa kuwa Covid ipo duniani, na sisi tumekataa kukubali kuwa hapa kwetu ipo pia, sasa mtu akiugua (hasa kiongozi) itabakia kuwa ni siri.

2. Marehemu sio mtu wa kuugua na kulazwa hospitali ya kibongo kwa zaidi ya wiki halafu iwe siri ya nchi.

3. Katika mazingira ya sasa ya COVID duniani, mgonjwa wa COVID kutoka afrika hawezi kusafirishwa kwenda ulaya kutibiwa.

4. Kwa kuwa mpaka sasa hatujaambiwa nini kimemuua, pasipo sababu yoyote, kwanini tusihisi ni COVID?


Hayo ni masimulizi ya vichaa, hivyo tuyapuuze!!!!
Kuna ukweli flani hivi, ila hatuko nae tena
 
Kibaya sio kutangulia kama umri unaruhusu. Kibaya ni kijana kutangulia na jinsi anavyotangulia. Simanzi ni pale mtu anapoondoka bila kurealise potential yake. Kwa mfano mtoto wa CDF japo sikumjua, nilisikitika kwakuwa alikuwa kijana mdogo with his whole life ahead of him. Pia jinsi alivyoondoka nilijiweka kwenye nafsi yake, nikaumia.

Mzee Mkapa amepitiliza maisha ya kuishi. Tumeshauona mchango wa nguvu zake hapa duniani. It´s ok apumzike.
wewe ni shetani!
 
Niongezee moja nililosikia hivi karibuni..., kuhusu "Tume Huru ya Uchaguzi." Alilipenda hilo.

Hata hivyo, katika hawa waliobaki (Marais wastaafu), hakuna hata mmoja wapo mwenye sauti yenye kusikika nchi nzima kama aliyokuwa nayo Ben, hata kama hakuitumia ipasavyo.
Dah kazi ipo, ukute ni "Tume ya Uchaguzi"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom