Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Ccm ni taasisi, haitegemei mtu mmoja kama ilivyo kwa chadema kumtegemea Mbowe pekee!Mwamba wa CCM mbuyu umeondoka sijui CCM itakuwa na Hali gani hasa Zanzibar. Sote tu wapangaji duniani kuna haja gani kuwatesa, kuwatendea mabaya wengine sababu ya tumbo?