jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,839
- 2,963
Daaah . . . so sad.
Kwangu mimi nitamkumbuka kama mmoja wa wahariri bora wa habari za kiuchunguzi wakati ule akiwa pamoja na mwandishi mwenzie (Nsa Kaisi ambaye naye ni marehemu) kwenye gazeti la the nationalist (kama sijakosea). Alihariri story moja mpaka Nyerere akaukubali mzigo kwa jinsi ulivyosimama...
Tumepoteza mtu haswa [emoji27]